kimsboy

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
8,992
17,892
Hivi kuna Mtanzania mzalendo kama Humphrey Polepole?

Huyu jamaa ni mzalendo kweli wa nchi yake japo ni chama cha mapinduzi lakini ni mzalendo

Hawa ni aina ya CCM ya kina Nyerere yaani wale wanaccm wenye uzalendo na utaifa na walobaki nchini

Kiukweli I declare interest kwamba namkubali Polepole sana

Hii nchi inahitaji kina Polepole kama 50 hivi

Huyu alitakiwa awe Waziri kabisa au mshauri wa Rais

Kwa hizi hoja kuna wa kumpinga huyu Jamaa? Anzia dk ya 14 hapo l's ?


 
Hivi kuna mtanzania mzalendo kama Humphrey polepole?

Huyu jamaa ni mzalendo kweli wa nchi yake japo ni chama cha mapinduzi lakini ni mzalendo

Hawa ni aina ya ccm ya kina nyerere yaani wale wanaccm wenye uzalendo na utaifa na walobaki nchini

Kiukweli I declare interest kwamba namkubali pole pole sana


Hii nchi inahitaji kina Polepole kama 50 hivi
huyu alitakiwa awe waziri kabisa au mshauri wa rais

Kwa hizi hoja kuna wa kumpinga huyu jamaa?



Kabla hujaenda mbali,tupe tafsiri ya uzalendo,isije kuwa unazungumzia uzalendo wa kitanzania.ule usio amini katika haki, na sheria, ule unaoamini katiba mpya itayaondosha maslahi ya wachache na kuzingatia maslahi ya taifa.
 
Mzalendo hawezi kuzungumza UPUMBAVU kama huu. Acha ujinga!!!

Hivi kuna mtanzania mzalendo kama Humphrey polepole?


Huyu jamaa ni mzalendo kweli wa nchi yake japo ni chama cha mapinduzi lakini ni mzalendo

Hawa ni aina ya ccm ya kina nyerere yaani wale wanaccm wenye uzalendo na utaifa na walobaki nchini

Kiukweli I declare interest kwamba namkubali pole pole sana


Hii nchi inahitaji kina Polepole kama 50 hivi
huyu alitakiwa awe waziri kabisa au mshauri wa rais

Kwa hizi hoja kuna wa kumpinga huyu Jamaa? Anzia dk ya 14 hapo l's ?


 
Hivi kuna mtanzania mzalendo kama Humphrey polepole?

Huyu jamaa ni mzalendo kweli wa nchi yake japo ni chama cha mapinduzi lakini ni mzalendo

Hawa ni aina ya ccm ya kina nyerere yaani wale wanaccm wenye uzalendo na utaifa na walobaki nchini

Kiukweli I declare interest kwamba namkubali pole pole sana


Hii nchi inahitaji kina Polepole kama 50 hivi
huyu alitakiwa awe waziri kabisa au mshauri wa rais

Kwa hizi hoja kuna wa kumpinga huyu Jamaa? Anzia dk ya 14 hapo l's ?



Yule aliyesema Tume ya uchaguzi ikiwa huru fisiemu wajiandae kukabidhi Ikulu au huyu mzee wa V8?
 
Vile MATAGA wanawahi kwenye uzi kuja kuunga mkono hoja😁😁😁
2021041122000.jpg
 
Hivi kuna mtanzania mzalendo kama Humphrey polepole?

Huyu jamaa ni mzalendo kweli wa nchi yake japo ni chama cha mapinduzi lakini ni mzalendo

Hawa ni aina ya ccm ya kina nyerere yaani wale wanaccm wenye uzalendo na utaifa na walobaki nchini

Kiukweli I declare interest kwamba namkubali pole pole sana


Hii nchi inahitaji kina Polepole kama 50 hivi
huyu alitakiwa awe waziri kabisa au mshauri wa rais

Kwa hizi hoja kuna wa kumpinga huyu Jamaa? Anzia dk ya 14 hapo l's ?




Tatizo chama alichopo
 
Hivi kuna mtanzania mzalendo kama Humphrey polepole?

Huyu jamaa ni mzalendo kweli wa nchi yake japo ni chama cha mapinduzi lakini ni mzalendo

Hawa ni aina ya ccm ya kina nyerere yaani wale wanaccm wenye uzalendo na utaifa na walobaki nchini

Kiukweli I declare interest kwamba namkubali pole pole sana


Hii nchi inahitaji kina Polepole kama 50 hivi
huyu alitakiwa awe waziri kabisa au mshauri wa rais

Kwa hizi hoja kuna wa kumpinga huyu Jamaa? Anzia dk ya 14 hapo l's ?



😲😲🤣🤣🤣
Acha maskhara mkuu khaaa......

Haya endelea kuamini hivyo....

#SiempreJMT
 
Back
Top Bottom