kubwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Rebeca 83

    JamiiForums Tanzania Projects kubwa ziwe na wahandisi wa nje!

    Hello JF, Hili sio eneo ninalojua.. ila Sio kila saa mvua ikinyesha kuna janga mahali.. i think projects kubwa kama za kujenga madaraja ziwe zina involve wahandisi wa kigeni… I believe Mazingira yetu yana pose a challenge kwa wahandisi wa kigeni, Na pia,wahandisi wetu matokeo ya projects...
  2. Pdidy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania GSM anaachana na yanga kwasababu ya wajumbe hawa

    GSM ANAACHANA NA YANGA KWASABABU YA WAJUMBE HAWA. Wajumbe watatu wa Kamati ya Utendaji 1. Rodgers Gumbo 2. Richard Shija 3. Salum Rupia Walikuja na ajenda kwenye kikao cha Kamati ya utendaji kuwa Kampuni ya GSM inafanya usajiri bila kuitaarifu Kamati ya Utendaji. Wajumbe wengi ne walibisha...
  3. S

    JamiiForums Tanzania GE2020 Asilimia kubwa ya waliofananishwa na ng'ombe wasio na mkia huenda wakapigwa chini mchakato wa kupitisha majina ya wagombea utakapoanza

    Kwa mtu mwenye kufikiri kwa kina na kujiuliza mara kadhaa kabla ya kufanya uamuzi,ni wazi angeitumia kauli ile ya watu kufananisha na ng'ombe wasio na mkia kama hatari au ishara ya hatari kukubali kuwa ngo'mbe mpya asie na mkia mara tu baada ya kauli ile kutoka Mpaka sasa sitaki kuamini kama...
  4. Offshore Seamen

    JamiiForums Tanzania Kozi zenye fursa kubwa ya ajira na kujiajiri katika sekta ya Bahari

    Hizi ni kozi ambazo mtu anaweza akasoma kuanzia ngazi ya Certificate,Diploma, Bachelor au Masters na akawa name fursa kubwa ya kupata kazi nchi yoyote na ni rahisi kujiajiri kwenye sekta ya bahari. 1.Marine Survey Hii kozi ukisoma la kazi zako itakuwa ni kukagua meli kabla haijajengwa, Meli...
  5. jmushi1

    JamiiForums Tanzania Hili suala la kipimo pekee cha COVID-19 kuwepo Dar peke yake ni changamoto kubwa sana. Inawezekana maambukizi yakawa mengi zaidi!

    Wanajamvi, hili suala la vipimo vya Corona, hata Marekani wanapambana kuhakikisha vinapatikana nchi nzima kadri ya mahitaji. Trump yeye alilalamikiwa kwa kuzikataa zile walizotoa W.H.O hapo awali. Lakini leo nimemsikia Waziri Mkuu (na juzi Ummy), akisema sample za wanaohisiwa kuwa na Virusi vya...
  6. Jidu La Mabambasi

    JamiiForums Tanzania Tahadhari Kubwa: Morogoro, madaraja na mafuriko-nchi kukatika mawasiliano!

    (Mafuriko daraja la Dumila mwaka jana-mwaka huu kuna uwezekano kutokea tena mafuriko) Mkoa wa Morogoro umabahatika kupitiwa na barabara karibu zote zinazoingia Jiji la Dar es salaam. Barbara hizi zinavuka mito mingi inayoingia Bahari ya Hindi. Sasa hivi tunaona sarakasi za kukatika madaraja...
  7. Rockefeller

    JamiiForums Tanzania House4Sale Numba inauzwa Buguruni

    Habari za mida, Nyumba kubwa inauzwa ipo Buguruni - Rozana, Ni nyumba ya vyumba vitano ndani na nje kuna vyumba vinne ambavyo vitatu ni single na kimoja ni double room na kwa nje nyuma ya nyumba pia kuna eneo la kuweza kutoa vyumba vitatu single. Nyumba ipo Buguruni mtaa wa Azimio karibu...
  8. J

    JamiiForums Tanzania Wanawake kuwa jeshi kubwa la kisiasa haimaanishi kwamba watangulizwe mbele vitani haijulikani na adui atawatanguliza nani mstari wa mbele

    Nakubaliana kabisa na kauli ya mh Mbowe ambaye ni chairman wa Chadema kwamba Wanawake ni jeshi kubwa na ninaamini kabisa mh Mbowe aliitoa kauli hii kwa minajili ya kisiasa. Lakini ni vema wanawake wa Bawacha na wengine wote wakatambua kuwa wao ni jeshi kubwa kwenye mambo ya Hamasa na kupiga...
  9. S

    JamiiForums Tanzania Kama tunaendelea kuruhusu ndege kuingia nchini, serikali izuie ibada na mikusanyiko mingine yote isiyo ya lazima ikiwemo kudhibiti masoko

    Wakati baadhi ya nchi za wenzetu sasa zimefikia hatua ya kudhibiti raia wake kwa kuwataka wabakie majumbani, kufunga mashule na vyuo, kupiga marufuku mikusanyiko ya michezo kama soka, kufunga mipaka n.k zikiwa ni hatua za kudhibiti kusambaa kwa Corona, sisi tume-relax tukiamini udhibiti...
  10. Makirita Amani

    JamiiForums Tanzania Hivi ndivyo teknolojia mpya zinavyoua biashara kubwa na jinsi ya kuzuia biashara yako isife kwa mabadiliko ya teknolojia

    Maendeleo ya teknolojia yanatokea kwa kasi kubwa sana. Lakini kasi hii ya maendeleo na ukuaji wa teknolojia, pamoja na kuwa na manufaa kwa watumiaji wake wa mwisho, yamekuwa na maumivu makubwa kwa makampuni makubwa yaliyo kwenye sekta ambayo teknolojia mpya inaingia. Kuna mifano mingi sana...
  11. S

    JamiiForums Tanzania As Tanzania’s Magufuli attempts to fool the world, his secretary-general spills the beans

    Kabudi (2nd left) in one of his group photos on his recent trip to USA. Credit: Tibor Nagy THREE weeks ago, Tanzania’s President John Magufuli promised heaven on earth by telling the international community that he was committed to ensuring a free and fair election in October 2020. But two...
  12. S

    JamiiForums Tanzania Kutokana na gharama kubwa ya huduma za kisheria, haiwezekani kukawa na Bima ya Huduma za Kisheria kusaidia wananchi kumudu gharama hizo?

    Wakati mwingine uhitaji wa huduma za kisheria huja bila mtu kutarajia kama ilivyo kwa magonjwa au kifo vitu ambavyo huwekewa bima(bima ya afya na bima kwa ajili ya kifo) ukiacha mbali bima ya vyombo vya moto pale vinapopata ajali na bima nyinginezo. Moja ya sababu ya kuwa na bima ni gharama ya...
  13. polokwane

    JamiiForums Tanzania Kumtangaza mshindi wa mamilion kwenye vyombo vya habari ni kumuweka kwenye hatari kubwa sana

    Ndio hivyo ndivyo ninavyo weza kusema hasa ha makampuni ya KUBET maana baada tuu ya kutanganzwa misuko suko inaanza mara kabambikiwa kesi, mara matapeli wanamsakama, mara majambazi wanamuwinda nk Nadhani itafutwe njia mbadala ambayo taarifa zza msindi haziwi exposed sana kwenye jamii maana...
  14. Cvez

    JamiiForums Tanzania Corona Virus tishio la pili kubwa baada ya 9/11 katika sekta ya utalii

    Katika mwaka ambao sekta ya utalii itapata msukosuko ni huu hasa ukizingatia utalii si basic needs. Baada ya 9/11 Corona virus ni pigo la pili kubwa kuikumba sekta hii. Kutokana na takwimu za tovuti maarufu ya safari barani Afrika Safaribooking, kumekua na anguko la karibia 6% kutoka kipindi...
  15. Mzukulu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mashabiki wa Yanga FC wangekuwa na Akili Kubwa na hawana Unafiki kama Mshabiki Mwenzao Privaldinho ningewaheshimu sana

    Ifuatayo ni nukuu ya Shabiki wa Yanga FC na Mwandishi Mchambuzi Privaldinho aliyoiandika katika Ukurasa wake wa Instagram hasa baada ya Kuchoshwa na Uwendawazimu wa Mashabiki wengi wa Timu yake ya Yanga FC anayoishabikia..... " Namshangaa sana Shabiki wa Yanga FC anayetumia muda wake mwingi...
  16. S

    JamiiForums Tanzania Tanzania tuchukue tahadhari kubwa, Wakenya mbioni kutuletea Coronavirus Tanzania!

    Serikali ya Kenya, japo imesimamisha ndege zake za KQ kwenda China, imekuwa ikiruhusu abiria kutoka China kungia nchini humo bila kuwa na tahadhari zozote zaidi ya kuwapima joto wanapowasili uwanja wa Jomo Kenyatta au kuwadhibiti katika kile kipindi cha siku 14. Hii imezua taharuki kwa...
  17. Morning_star

    JamiiForums Tanzania Angalia akili kubwa inavyotawala akili ndogo

    Ukweli ni kwamba mtandao wa mawasiliano ya kompyuta ulimwenguni "Internet" hakuna mtu anayeumiliki. Waasisi wa mawasiliano ya internet ni jeshi la marekani katika mawasiliano ya vita ya pili ya dunia. Baadaye akatokea jamaa mmoja namkumbuka jina lake la mwisho "Lee" akauboresha kwa ajili ya...
  18. muzi

    JamiiForums Tanzania Kwa uamuzi huu wa kumfungia Paul Makonda kuingia Marekani sasa ni rasmi hawezi kuwa rais wa Tanzania, waziri mkuu, waziri wa mambo ya nje wala balozi

    NILIWAHI KUSEMA MAREKANI IKIPIGA CHAFYA DUNIA INAUGUA MAFUA Pole Paul Makonda! Kwa uamzi huu wa kumfungia Paul Makonda kuingia Marekani sasa ni rasmi hawezi kuwa rais wa Tanzania, waziri mkuu, waziri wa mambo ya nje wala balozi katika nchi yoyote ya Ulaya. (Nitafafanua). Wakati wa matamko ya...
  19. R

    JamiiForums Tanzania Wanaohamia CCM kutoka upinzani wanafanya hivyo kutafuta vyeo na masilahi mengine, wakiyakosa wataendelea kubaki?

    Nipe historia ya KANU, UNIP ya Kaunda etc! Historia ni mwalimu mzuri. CCM imesismama (kama kweli imesimama) kwa vile inapendwa na wanaohamia au ni kwa vile kuna "marupurupu" yanafuatwa? Kwangu mimi CHADEMA imesismama pamoja na kutokuwa na nguvu ya dola kwa vile walioko wana nia ya dhati na...
  20. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania TMA yatabiri mvua kubwa mikoa 12 ikiwamo Dar es Salaam

    Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetangaza hali mbaya ya hewa kwa siku tano kuanzia leo Jumatano Februari 12, 2020. Taarifa ya TMA imeitaja mikoa inayotarajia kunyesha mvua kubwa kwa baadhi ya maeneo ni mikoa ya Lindi, Mtwara, Mbeya, Songwe, Njombe, Iringa, Ruvuma, Pwani, Dar es Salaam...
Back
Top Bottom