kodi

  1. Return Of Undertaker

    Bajeti 2020/21 Watumishi wa Umma mwaka wa 5 hakuna nyongeza ya mishahara wala punguzo la kodi

    Awamu ya tano imeonysha kuwa wafanyakazi sio tu hawamnyimi usingizi bali hata hawana maana kwake. Ukiondoa uvunjaji wa sheria aliofanya kupandisha mishahara na madaraja hata ahadi zake za kupunguza kodi (PAYE) kwa wafanyakazi hajajigusa. Walidanganya uhakiki ndio kikwazo miaka mitano imepita...
  2. mkiluvya

    TRA yawaelimisha wafanyabiashara Jijini Dar es Salaam kuhusu kodi ya zuio

    Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imewaelimisha wafanyabiashara wa maeneo ya Tabata jijini Dar es Salaam kuhusu Kodi ya Zuio na kutoa wito kwa wamiliki wa majengo, fremu na ardhi kuwaruhusu wapangaji wao kuzuia kodi hiyo ambayo ni asilimia 10 ya kiasi cha malipo walichokubaliana katika mkataba wa...
  3. Miss Zomboko

    Diego Costa ahukumiwa miezi 6 kwa kosa la kukwepa kodi katika uhamisho wake mwaka 2014

    MSHAMBULIAJI wa Atletico Madrid, Diego Costa amehukumiwa kifungo cha miezi sita jela, amacho hatakitumikia na faini ya jumla ya Pauni 482,000 baada ya kukutwa na hatia ya kukwepa kodi zaidi ya Pauni 900,000 mwaka 2014. Kwa mujibu wa mahakama, mchezaji huyo wa kimataifa wa Hispania mwenye umri...
  4. mamii90

    Bidhaa ziingiazo nchini bila kodi

    Ndugu zangu naomba kujua ni bidhaa zipi zitokazo nje ya nchi bila kodi. Kwa mfano mimi nafahamu sanitary pads japo sijajua kama bado hazina kodi
  5. YEHODAYA

    Mlioikopesha hela Chadema mna leseni za kukopesha ? Riba mnayopata mnalipia Kodi TRA?

    Chadema kina mikopo ambayo kilikopeshwa na watu mbalimbali. Maswali yangu Kwao Ni kwanza je katiba ya chadema Ina kipengele kinaruhusu chama kukopa? Pili je hao wakopeshaji Wana leseni za ukopeshaji ? Kama leseni hawana walikopeshajje? Sio watakatisha pesa hao? Tatu Riba ambayo iko kwenye...
  6. AUGUSTINO CHIWINGA

    Wanaojenga hoja kuhusu Matumizi ya ruzuku kwenye vyama vya siasa wasikilizwe, ni fedha za walipa kodi lazima wajue zinavyotumika

    Nimekua nafuatilia mijadala mbalimbali inayohusu matumizi ya fedha za ruzuku kwenye vyama vya siasa. Wapo wanaosema kwamba fedha hizo ni jukumu la chama husika kupanga bajeti ya matumizi na haipaswa mtu mwingine kuhoji wala kujua matumizi yake, na lipo kundi la pili linalosema kwamba...
  7. Nazgur

    Je, ni sahihi mwenyekiti wa chama kinachotegemea kushika Dola anaposhauri chama chake kukwepa kodi?

    Tumemsikia mbunge Lijualikali akisema kuwa Mbowe alishauri wabunge ambao hawajatumia exemption kwa kununua magari basi watumie mwanya huo kwa kupitisha gari la chama bila kulipa kodi. Namkumbuka jambo hilo lilileta maswali kipindi cha CAG aliyepita lakini hakukuwa na majibu sahihi. Sasa je...
  8. Erythrocyte

    Makonda kabla ya kuudanganya umma kuhusu punguzo la bei ya nguo, tueleze kuhusu punguzo la kodi za nyumba kama ulivyoagiza

    Ikiwa kama watanzania wanaweza kudanganywa na mtu mmoja kama mazombie na bado wakakaa kimya , basi hii itakuwa bahati mbaya sana . Paulo Makonda ambaye ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam alitoa amri kwa wenye nyumba kuwapunguzia kodi wapangaji wao kutokana na ugumu wa maisha uliosababishwa na...
  9. Tumia akili

    Rais ambaye hajawahi kugombea, ilitokea Marekani, itatokea tena huku

    Wakuu, Mwaka 1973 Spiro Agnew alijiuzulu nafasi ya makamu wa Rais wa Marekani kufuatia skendo ya rushwa na matumizi mabaya ya ofisi ikiwemo kukwepa kodi alikofanya wakati ni governor wa Maryland. Rais Richard Nixon akamteua Gerald Ford kuchukua nafasi yake. August ya mwaka 1974, Rais Richard...
  10. Duniahadaa

    Awamu hii ukwepaji kodi bandarini umekua kwa asilimia 742

    Wakati macho na msikio yetu yapo kwenye korona, hebu tuendelee mdogomdogo kujikumbushia ripoti ya Ufiadi wa seikali ya CCM kama ilivyowasilishwa na CAG bungeni na nukuu kutoka kwa Zitto Kabwe. "Kila Mwaka CAG hukagua mizigo inayokwenda nje ya nchi kupitia bandari zetu, kujiridhisha endapo...
  11. Miss Zomboko

    Diamond Platnumz aanza kutoa msaada wa kodi ya miezi 3 kwa kaya 500

    Mkurugenzi wa kampuni ya Wasafi, msanii Diamond Platnumz ametoa msaada wa kodi ya pango kwa watu 57 ambao ni wajane, walemavu pamoja na wasiojiweza. Msaada huo ni awamu ya kwanza katika ile dhamira yake ya kusaidia kodi ya pango kwa kaya 500 nchini zilizoathirika kiuchumi na janga la mlipuko wa...
  12. Influenza

    Serikali: Tayari tumetoa Tsh. Bilioni 15.49 kwa ajili ya CoronaVirus na tumesamehe kodi kwa baadhi ya vifaa vya kujikinga

    Waziri wa Fedha, Philip Mpango amesema Serikali iliunda timu ya Kitaalamu inayochambua jambo hili kiumakini, na kipaumbele cha Serikali ni kukinga watohuduma za afya na Wananchi Amesema kwa makadirio ya awali katika kipindi cha Machi hadi Septemba mwaka huu zinahitajika Tsh. Bilioni 382.5 kwa...
  13. Pdidy

    DC Hai atengua uhamisho wa Mkuu wa Shule ya Sekondari Lyamungo, anusa harufu ya upigaji pesa ya ukarabati

    Iko hivi, Serikali ilitoa milioni 700+ kwa ajili ya ukarabati wa shule. Pesa imeingia kama leo, kesho yake headmaster anapokea barua ya uhamisho kwenda shule nyingine wilaya hiyo hiyo kama headmaster. Kisa cha kuhamishwa anadaiwa kutokuwa na mahusiano mazuri na wenzake, pia hakupewa muda wala...
  14. Return Of Undertaker

    Kichere: TRA imeshindwa kufikia lengo la ukusanyaji kodi kwa miaka minne

    Kichere: TRA imeshindwa kufikia lengo la ukusanyaji kodi kwa miaka minne ==== Wakati Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ikipitia mabadiliko makubwa ndani ya miaka mitano, Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) amesema imeshindwa kufikia malengo ya ukusanyaji mapato kwa kipindi hicho...
  15. Th los proffcnal

    Chanzo kingine cha kodi bila kuumiza mtu mmoja mmoja

    Serikali ingeanzisha utaratibu kodi zote za nyumba au frame za maduka ziwe zinalipiwa kwenye account bank ya mmiliki hii ingesaidia bank wangepata mapato na serikali nayo ingenufaika. Pia malipo ya mtandaoni yangehamasishwa sana yakitokea magonjwa ya mlipuko kama CORONA inakuwa nafuu watu...
  16. B

    Uwekezaji soko la nyoka, Serikali isaidie kupunguza kodi

    March 22, 2020 Serikali yaombwa ipunguze bei ya nyoka na viumbe wengine wanaopelekwa nje kuuzwa ili wawekezaji hao wachangie fedha za kigeni nchini. Hayo maombi yamesemwa na Paul Madinda mfugaji na muuzaji wa viumbe nje ya nchi wakati akimfahamisha Naibu waziri Costantine Kanyasu juu ya fursa...
  17. O

    Wataalamu wa kodi na payroll, msaada wenu unahitajika

    Ninaomba msaada kwa yeyote anayeelewa anasaidie kuelewa yafuatayo:- 1. Mwajiriwa anastahili kukatwa Kodi yoyote au Michango ya Mfuko wa Jamii wakati was Probation Period? 2. Posho anayolipwa mwajiriwa mfano Extra duty allowance inastahili kukatwa Kodi? 3. Wafanyakazi wanaolipwa kwa Siku na...
  18. Mkaruka

    Mwanaume kulazimisha utaratibu wa "Kodi ya Meza" kwa MKE ni kutafuta kuabudiwa sana. Ni utaratibu usiofaa

    Yes, Kuna taratibu nyingi kwenye jamii zetu, tumezaliwa tukazokuta na nyingine ni mila na desturi za kawaida na nyingine ni tamaduni za kidini. Baadhi ya hizi tamaduni zimejenga mazingira ya kuwaweka baadhi ya watu kuwa "Superior" bila hata sababu za msingi hususani wanaume. Mfano halisi ni...
  19. FRANCIS DA DON

    Nadhani mahakama ni njia nzuri sana ya kukusanya kodi za ziada, sikuwa najua hili kabla

    Inapotokea kuna uhitaji wa kutekeleza miradi miwili mitatu ya maendeleo , mfano ukarabati wa barabara za mitaani au madaraja madogo madogo yasiyohitaji zaidi ya bilioni 1, nadhani pangekuwa panafanyika coordination na mahakama ili kuangalia ni nani na nani (wenye kesi na wenye uwezo wa kulipa...
  20. Janja PORI

    Mabadiliko haya TRA aliyoleta Rais Magufuli hata aondoke leo yatadumu milele

    Kwanza kabisa nianze na swali, Kwa kasi hii ya mabadiliko katika mifumo mbali mbali hasa TRA, BRELA, BOT je kipindi cha nyuma tulikuwa hatuna watanzania wenye akili ? ama watu waliamua kuwa vipofu. Kama msomi na mchumi katika vitu ambavyo amefanya Raisi Magufuli ambavyo sitasahau ni 1...
Back
Top Bottom