Ukimsikiliza Tundu Lissu anavyowasema TRA kubambikizia wafanyabiashara kodi zisizolipika. Halafu TRA hao hao mikoa yote wanapita na magari ya matangazo wakitoa mkwara mzito wa kuanza kwa faini baada ya Septemba 30 bila shaka utajua wako kazini kwa kuongeza kuni kwenye chuki iliyotengenezwa na TAL.
TRA mngejifunza kwa Tume ya Ajira ambao wametangaza ajira 13,000 japo ni kwa walimu tu baada ya TAL kusema Serikali hii haiajiri.
TRA mngejifunza kwa Tume ya Ajira ambao wametangaza ajira 13,000 japo ni kwa walimu tu baada ya TAL kusema Serikali hii haiajiri.