Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,017
- 9,885
Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya ADC, Queen Cuthbert Sendiga ameendeleza Kampeni jijini Dar ambapo Septemba 27 alitembelea soko la Stereo Temeke na kuongea na wafanyabiashara
Amewaahidi wafanyabiashara hao kufuta tozo na kodi zisizo na mashiko kwa wafanyabiashara wadogo. Hivyo amewaomba wampatie kura ili awe rais
Pila aliweza kufanya mkutano wa kampeni Mbagala katika viwanja vya Kurasini Mpya
Amewaahidi wafanyabiashara hao kufuta tozo na kodi zisizo na mashiko kwa wafanyabiashara wadogo. Hivyo amewaomba wampatie kura ili awe rais
Pila aliweza kufanya mkutano wa kampeni Mbagala katika viwanja vya Kurasini Mpya