A House to Call Home – For Sale!
📍 Location: Iyumbu , Dodoma
📐 Plot Size: 1,500 SQM
🏠 Structure:
5 Spacious Bedrooms
Servant Quarters (Self-contained)
Large Living Room
Dining Area
Kitchen + Store
Study Room
Garden & Ample Parking
💰 Goes Cheap! A rare opportunity for a serene home or...
Kiwanja Kinauzwa, kina msingi wa ukuta.
Mahali: Kimara Temboni.
Kipo km 1 kutoka barabara kuu ya Morogoro, Mita 300 kutoka barabara ya lami ya kuelekea kwa Mfugale.
Ukubwa wa Eneo: SQM 308.
Bei: Tzs Milioni 35.
Nyaraka: Hati ya mauziano ya Serikali ya mtaa.
Gharama ya kwenda kuona Eneo...
Habari za muda huu ndugu zangu,
katika pita pita zangu mitandaoni nimekutana na mtoa elimu kuhusu mambo ya upatikanaji wa hati miliki za viwanja (aridhi), alienda mbele zaidi akaelezea kuhusiana na issue za kufanya lamination kwenye document za ki-serikali kama Hati ya kiwanja (aridhi), vyeti...
Kiwanja kinauzwa Makongo juu. Ukubwa Sqm 500 KIMEPIMWA. Kiwanja kipo ktk mazingira mazuri yasiyokuwa na msongamano wa Majengo.
Kipo mita chache kutoka barabara kuu ya Lami iendayo Mlimani city.. Bei 75m Maongezi yapo... 0743941142.
Wakazi na wenyeji wa mji wa Lindi..
Kiwanja cha kujenga nyumba ya makazi kinahitajika..
Kama unacho au kuna mtu unayemjua anacho na anauza basi unakaribishwa mtu wa nguvu.!!
Hello all,
Natafuta kiwanja Dar es Salaam. Malengo yangu ni kujenga nyumba ya vyumba sita vya kukaribisha wageni wa mda mfupi (ex : Airbnb…)
Wapi Dar es Salaam naweza pata kiwanja kizuri kwa bei nafuu for my project?
Natanguliza shukran wakuu.
Hivi wadada izi akili mnazitoa wapi?? Unauza kiwanja ili ukafanye happy birthday ya mtoto ukweni kweli?
NI hivi huyu dada baada ya kuolewa huku dar, mwanaume aliemuoa alitoa mahari hio mahari alipewa yeye baada ya kuongea na dada yake wa mkoani akamshauri anunue kiwanja maana wanaume dar...
MWISHO WA MNADA, WA BEI RAHISI.
MTEJA UTAKAEKUJA FAHAMU BEI SIO TENA 10M
KAMA umejipanga na 10M usisumbuke Kunitafuta.
GHARAMA YA SASA NI 17M bei ikipungua itashuka MWISHO 16M
Na Sio HEKA 2 zote nikikuuuzia utanibakizia namimi eneo la 30 x 30
So katika HEKA 2 toa 30 x 30 inayobaki ndio ipo...
Kiwanja Chenye eneo la Mita za mraba 408 Kinauzwa sh.Milioni 3.7
Kipo Visiga madafu(Kwa usafiri wa daradara Unashuka Kwa kipofu au madafu Kwani eneo lipo Kati ya vituo hvyo viwili) ,umbali wa km 1 kutoka Barbara kuu (Moro road).
Huduma za msingi zipo kama vile maji ya DAWASCO,Umeme,Shule ya...
Mchekeshaji @stanbakora_ Agombea Nafasi Ya Udiwani Kata Ya Kiwanja Cha Ndege Morogoro
Ameyasema Hayo Kupitia Ukurasa Wake Wa Instagram Kwa Kuandika👇
“Wana MOROGORO MJINI Kata Ya KIWANJA CHA NDEGE Nipo Tayar Kuwatumikia”
Kiwanja hakijapimwa ila kipo surveyd, kina ukubwa wa 1500sqm+. Kipo karibu na shamba litakalo jengwa shule ya feza kigamboni. Kinataka 30ML. Zingatia kutoka barabara ya kibada mwasonga ni 450m only hakina udalali. Price included na ku process hati ni PM.
Wadau, natafuta kiwanja chenye sifa hizi:
1. Vipimo: Kuanzia square meter 750 (25×30)
2. Eneo lililopangika vizuri
3. Kiwanja kiwe flat na ardhi isiwe na maji maji
4. Documents ziwe clean na zimekamilika
Offer yangu ni milioni 18 mpaka 20.
Nicheki whatsap 0765137266
Kiwanja Kinauzwa, kina msingi wa ukuta.
Mahali: Kimara Temboni.
Kipo km 1 kutoka barabara kuu ya Morogoro, Mita 300 kutoka barabara ya lami ya kuelekea kwa Mfugale.
Ukubwa wa Eneo: SQM 308.
Bei: Tzs Milioni 35.
Nyaraka: Hati ya mauziano ya Serikali ya mtaa.
Gharama ya kwenda kuona Eneo...
Hi
------
Posti hii inaeleza jinsi hali ya kiwanja inavyoathiri bajeti ya ujenzi. Mambo muhimu yaliyoangaziwa ni:
1. Aina ya ardhi:
- Tambarare: Gharama hupungua.
- Mteremko/milima: Gharama huongezeka.
2. Aina ya udongo:
- Laini: Huhitaji msingi wa kina → gharama huongezeka.
-...
Nauza kiwanja.
Mahali: Chanika Lukooni nyuma ya stendi mpya inayojengwa ya Chanika. Kama unaelekea Mvuti unateremkia Videte.
Ukubwa: mita 12 kwa mita 18.
Bei: 7.5 m
Mawasiliano: +255788745213
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.