Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Milioni 10 tu

Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Milioni 10 tu

MaweSaba

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2024
Posts
362
Reaction score
536
Kiwanja cha SQM 1,400 kinauzwa Dondwe, Karibu na Gereza la Mvuti, Ukanda Wa Chanika

Kiwanja kina miti mingi ya nazi, ndizi, mapapai, korosho.
Kipo barabarani kabisa

Nitumie message inbox if interested
 
Maeneo yanapanda sana thamani, leo hii dondwe kiwanja ni milioni 10, sio mchezo
 
Kiwanja cha SQM 1,400 kinauzwa Dondwe, Karibu na Gereza la Mvuti, Ukanda Wa Chanika

Kiwanja kina miti mingi ya nazi, ndizi, mapapai, korosho.
Kipo barabarani kabisa

Nitumie message inbox if interested
Weka picha mjomba. Biashara inanoga ukiweka na picha ya kusindikizia.
 
Kiwanja cha SQM 1,400 kinauzwa Dondwe, Karibu na Gereza la Mvuti, Ukanda Wa Chanika

Kiwanja kina miti mingi ya nazi, ndizi, mapapai, korosho.
Kipo barabarani kabisa

Nitumie message inbox if interested
Ingia google andika hii Geolocation
Coordinates za Eneo

 

Attachments

  • IMG_20250810_162245.jpg
    IMG_20250810_162245.jpg
    944.3 KB · Views: 9
  • IMG-20260629-WA0006.jpg
    IMG-20260629-WA0006.jpg
    137.8 KB · Views: 11
  • IMG-20260629-WA0005.jpg
    IMG-20260629-WA0005.jpg
    32.8 KB · Views: 9
Sqm 1400 hata nusu ekari bado, maana robo ni 1000sqm.
Dondwe kwa kiwanja icho mil10 nyingi, labda niwe sipajui kule, kama ni mvuti milioni 10 ni sawa kabisa ila dondwe gerezani hapana....labda kama utaongea na mteja vizuri, bei hizo za milioni 10 ni za viwanja vilivyo pimwa.

Kuanzia mvuti, kiboga, sabodo, mageti, dondwe stand kote kule napajua.
 
Sqm 1400 hata nusu ekari bado, maana robo ni 1000sqm.
Dondwe kwa kiwanja icho mil10 nyingi, labda niwe sipajui kule, kama ni mvuti milioni 10 ni sawa kabisa ila dondwe gerezani hapana....labda kama utaongea na mteja vizuri, bei hizo za milioni 10 ni za viwanja vilivyo pimwa.

Kuanzia mvuti, kiboga, sabodo, mageti, dondwe stand kote kule napajua.
Reasonable price shingap mkuu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom