kiwanja

  1. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Samia: Awali hatukufanya haki kwenye kugawana ardhi, kiwanja kimoja kinamilikishwa watu watatu watatu

    "Awali hatukufanya haki kwenye kugawana ardhi, kiwanja kimoja kinamilikishwa watu watatu watatu hasa hapa Dar Es Salaam, Migogoro ya ardhi unakuta shamba la mtu huyu anapewa hati mtu mwingine, lakini haya yote sasa yameondoka, ardhi yetu tumeipima, tunaendelea kuipima na kama mmesikia nilisema...
  2. Nangose 1

    Ramani nzuri ya kisasa kiwanja changu ni 840M²

    Wakuu, nimepata huu uwanja wenye ukubwa 840M² (Urefu 40×Upana 21). Hitaji langu nipate nyumba yenye sifa hizi. * Nyumba ya kisasa *Vyumba jumla 4, Master room 2 na kawaida 2 Sebule, Jiko, Stoo, ukumbi wa kulia chakula au kusomea vitabu na kazi za ofisini. Pia nyuma ya nyumba nijenge Banda lenye...
  3. Oscar Lyrics

    Umewahi kuuziwa kiwanja ambacho kina mgogoro?

    Ni mara chache hutokea ukanunua kiwanja kwa ajili ya ujenzi kisiwe na migogoro, aidha kwa aliyekuuzia au jirani yako akasogeza mpaka ili mradi mgogoro utokee, Wakati mwingine unaweza kuuziwa kiwanja kumbe ni cha mtu mwingine pasipo wewe kujua, Mimi binafsi jirani yangu alisogeza mpaka kisa...
  4. uberimae fidei

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Kibaha Picha ya Ndege

    Kiwanja kipo kibaha picha ya ndege. Kipo nyuma ya hospital ya wilaya Lulanzi. Kiwanja kina ukubwa Mita 30 kwa 20 Kutoka morogoro road km 2. umeme upo hapo hapo wa kuvuta maji yapo karibu. Bei milioni tatu na nusu.
  5. Sonship

    Kiwanja kinauzwa Kiluvya Madukani

    Kiwanja Kinauzwa Kiluvya Madukani Ukubwa Heka 1 yani mita 70x70 Huduma zote zinapatikana Umbali Kutoka Morogoro road km 6 Bei eneo linauzwa Mln 15 0775 179905
  6. Gumasa

    Swali la wazazi: Umeshanunua kiwanja huko unakoishi? Jibu hili hapa

    Yes,Ukiwa unaishi mjini au mahali popote mbali na wazazi au nyumbani ulipozaliwa,unaporudi nyumbani swali mhimu kutoka kwa wakubwa huwa ni...; umeshanunua kiwanja?? Kama bado hujapata jibu la swali hilo,usisite kunitafuta wakati wowote ili upate kumiliki kiwanja chako kwa gharama nafuu Sana...
  7. A

    Nimenunua kiwanja nikaanza kujenga bado natakiwa niende nikatafute kibali cha kujenga hii ikoje?

  8. Sonship

    KIWANJA KINAUZWA KILUVYA KWA KOMBA

    KIWANJA KINAUZWA KILUVYA KWA KOMBA KIPO MITA 600 TU KUTOKA LAMI _____________________________ ✅ KINA UKUBWA WA 25*30 ✅ KIPO KARIBU NA LAMI HAINA HAJA YA KUPANDA BODA MITA 600 TU KUTOKA MAIN ROAD. ✅ KIPO KWENYE BARABARA YA MTAA ✅ KIPO MTAA ULOCHANGAMKA ✅ HUDUMA ZOTE MUHIMU ZIPO...
  9. Kitomai

    House4Rent Nyumba 3 kwenye Kiwanja Kimoja, Ubungo Kibangu

    - Mpangaji Mmoja Mwenye Kukodisha Muda Mrefu Anahitajika! · Nyumba Kuu: Ina vyumba vitatu (3) vya kulala, jiko, sebule na eneo maalum la kulia. · Nyumba Ndogoo (2): Kila moja ina vyumba viwili (2) vya kulala vyenye ufanisi. · Bora kwa: Mpangaji anayetafuta kuchukua majengo mengi kwa mara moja...
  10. R

    kiwanja kinauzwa manyoni

    Kiwanja kinauzwa manyoni majengo satelite city sqm 1039. Makazi na biashara. Bei 3,000,000. Maongezi yapo
  11. M

    Natafuta kiwanja Cha 3M kibaha

    Naweza pata kiwanja Kwa shilingi 3M? Nakihitaji ASAP
  12. Bosspraise

    Madale kiwanja kizuri kinauzwa SQM 1200

    Kiwanja kinauzwa madale karibu na shule ya atlas Kina ukubwa wa SQM 1200 Kipo Mita 150 kutoka barabara ya lami Bei ni millions. 150 tu tsh Kipo kwenye neighbourhood nzuri Sana Usikikose tajiri Wasiliana nasi. 0742892195 call and WhatsApp
  13. Dalali_wa_kimataifa

    Kiwanja sqm 700 kinauzwa, kipo city center Dar es salaam

    Plot details: 700sqms. Location: City Center. Land Status: Demolished and ready to build. Size: 680-700sqms. Permit: Residential & Commercial. On the main road (prime area). Price: Tsh 4.5B. Project Prospect; you can easily build a 10-15 story building with both housing and office solutions...
  14. Dalali_wa_kimataifa

    Kiwanja chenye ukubwa wa 2,200sqm kipo regent estate mikocheni daressalaam tanzania, bei ni dollars million 1.2

    #plotforsale #mikocheni #daressalaam #tanzania KIWANJA KINAUZWA KIWANJA KIPO REGENT ESTATE DARESSALAAM TANZANIA UKUBWA WA KIWANJA NI 2,200SQM KIWANJA KIPO SEHEMU NZURI KABISA NA KUNA NYUMBA NDANI YAKE DOCUMENTS NI TITLE DEED BEI NI DOLLARS 1.2M 🇹🇿CALL/WhatsApp +255758844717...
  15. Dalali_wa_kimataifa

    Plot4Sale Kwanja kinauzwa,kipo bahari beach,cha kwanza kutoka lami, kiwanja kina ukubwa wa 4,000sqm na kina fance ambazo zimegawanywa

    #plotsforsale KIWANJA KIZURI SANA KINAUZWA UKUBWA WA KIWANJA NI 4,000SQM NI KIWANNA CHA KWANZA KUTOKA BARABARA YA LAMI (Bahari Beach) RAMANI YA MUUZAJI ULIKUWA NI KUJENGA APARTMENTS,KWAHYO AKAGAWANYA FENSI VIPANDE VINNE NDANI YA KIWANJA KIMOJA ENEO NI ZURI SANA KWA SHUGHULI MBALIMBALI ZA...
  16. Voldemort

    Natafuta kiwanja Goba au Madale

    Wadau, natafuta kiwanja chenye sifa hizi: 1. Vipimo: 500-600 sqm 2. Location:Goba au Madale 3. Kiwanja kiwe flat na ardhi isiwe na maji maji 4. Documents ziwe clean na zimekamilika Offer yangu ni milioni 22 mpaka 24.
  17. westandtogether

    Kiwanja kinauzwa Mwasonga, Kigamboni

    Ninauza kiwanja kilichopimwa chenye ukubwa wa 540 SQM kilichopo MWASONGA, KIGAMBONI kipo barabara kuu ukitokea Mwasonga stendi. 📍Mahali pazuri kwa makazi au uwekezaji- miundombinu ipo karibu. Bei 6,500,000/= ( milioni saba tu) - maelewano yapo kwa mwenye nia ya dhati. Kwa mawasiliano zaidi au...
  18. Bosspraise

    Kiwanja kizuri goba sqm 540

    KIWANJA KINAUZWA – GOBA NJIA NNE 📍 🔹 Mahali: Goba njia ya kuelekea Madale 🔹 Umbali: Km 1 tu kutoka barabara kuu, unaingilia kupitia KB Shell 🔹 Ukubwa: SQM 540 – za kutosha kujenga nyumba ya ndoto yako 🔹 Bei: Milioni 38 tu! ✅ Eneo zuri, tulivu na linalofikika kirahisi ✅ Tayari linafikika kwa...
  19. Scared

    Nimeuza kiwanja changu milioni 10, nataka ninunue bodaboda 3. Hii biashara mnaionaje?

    Nimeuza kiwanja changu jana kilichokuwepo Kibaha nimepata milioni 10 nikaona nifanye biashara ya bodaboda. Nizinunue 3 halafu niwape vijana waniletee hesabu. Je itanilipa wakuu Kwa mliowahi kufanya hii biashara au nitaingia loss?
  20. Dalali_wa_kimataifa

    NYUMBA YA GHOROFA 5 INAUZWA,IPO MAGOMENI MOROCCO DARESSALAAM TANZANIA,UKUBWA WA KIWANJA 2,850SQM,BEI NI TSH BILLION 1.5

    #houseforsale YA KWANZA KUTOKA BARABARA YA LAMI NYUMBA YA GHOROFA TANO (5) INAUZWA IPO MAGOMENI MOROCCO DARESSALAAM INA APARTMENT NANE (8) ZA VYUMBA VIWILI,SEBULE,JIKO&CHOO PIA INA APARTMENT MOJA YA VYUMBA VINNE,AMBAYO IKO JUU FLOOR YA MWISHO INA FRAME NNE (4) NA ZOTE ZINAFANYA...
Back
Top Bottom