Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameihakikishia Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu kuwa Serikali itahakikisha inasimamia ukarabati na uboreshaji wa Kiwanja cha Ndege cha Tabora ili kukamilika ifikapo mwezi Oktoba, 2024.
Bashungwa ameyasema hayo Machi 13, 2024 mkoani Tabora katika...
UJENZI NA UBORESHAJI KIWANJA CHA NDEGE CHA TABORA KUKAMILIKA OKTOBA, 2024
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameihakikishia Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu kuwa Serikali itahakikisha inasimamia ukarabati na uboreshaji wa Kiwanja cha Ndege cha Tabora ili kukamilika ifikapo mwezi...
UJENZI NA UBORESHAJI KIWANJA CHA NDEGE CHA TABORA KUKAMILIKA OKTOBA, 2024
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameihakikishia Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu kuwa Serikali itahakikisha inasimamia ukarabati na uboreshaji wa Kiwanja cha Ndege cha Tabora ili kukamilika ifikapo mwezi...
Kiwanja kinauzwa Arusha Mkonoo kipo karibu na barabara. Maji, umeme, shule, hospitali vyote vinapatika maeneo ya jirani.
Kina ukubwa wa Square meter 1080
Bei million 13
kwa mawasiliano zaidi nipigie 0758666865
NIMEKWAMA NAUZA ENEO LANGU KIBAHA KWA MFIPA.
LIKO SEHEMU NZURI HUDUMA MUHIMU ZIPO.
NGUZO MBILI ZA UMEME MPAKA SAITI.
MCHANGA UKO HAPO HAPO
TOFARI MAPAKA SITE TSH. 750
MAJI YAPO JIRANI TUPO KWENYE MCHAKATO WA KUYAINGIZA
KUTOKA MAIN ROAD KM. 1.5
Square mita 300
Bado sijapata mteja sahihi.
NATAKA...
Naibu Waziri wa Uchukuzi David Kihenzile ameelekeza mamlaka wa viwanja vya ndege Tanzania (TAA) kuvunja mkataba na Mkandarasi anayejenga jengo la abiria la kiwanja cha ndege cha Ruvuma kutoka na Mkandarasi huyo kushindwa kukamilisha jengo hilo kwa wakati.
Naibu Waziri David Mwakiposa Kihenzile...
Kiwanja kinauzwa KITUNDA DAR ES SALAAM, kiwanja hiki ni kikubwa mita 30*40 bei milioni 23 tu...!
Unaweza ukajenga nyumba 2 za wastani... na car parking kidogo ikabaki. Barabara ya mtaa inafika hadi kilipo kiwanja.
Kiwanja hiki kipo karibu kabisa na barabara ya Lami kama hatua 700 hivi kutoka...
Natafuta kiwanja Mbweni.
Bajeti yangu Mil.70.
Ukubwa at least 900sqm
SITAKI MADALALI.
Kwa mmiliki au anaemfahamu mmiliki anitumie picha na location kwenye WHATSAPP 0788 893364.
Just Whatsapp. NO CALLS
Kuna mambo ukiyafikiri hapa duniani Unastaajabu..yaani
Wakati unanunua kiwanja unalipa kodi Wakati unapima kodi
Wakati unaomba kibali cha ujenzi kodi
Wakati unajenga kodi za material
Wakati unajenga kodi za service kuingiza umeme,maji
Tena upo ndani ya nyumba unalipia nyumba na kiwanja? Kweli...
Nashauri kiwanja hiki kitwaliwe na serikali, CCM wafidiwe, halafu kijengwe kiwanja cha kisasa pale.
Hii itaendana na hadhi ya jiji la Mwanza.
Kwa.sasa kiwanja hiki hata CCM hakiwapi faida yoyote ile.
Kiwanja kinauzwa, kipo Bunju A Stand ya Shule. Ukubwa wa kiwanja ni mita 20 x mita 26, sawa na SQM 400(makadilio), Bei ni TZS Milioni 8.
Eneo hili ni tulivu na lina mazingira mazuri. Kiwanja hiki kipo umbali wa kilomita 2 kutoka barabara ya Bagamoyo Road.
Kiwanja hiki kina hati ya serikali ya...
kwema wakuu,
Mdogo wenu huu mwaka nimejitafuta nataka nikanunue uwanja mwsho wa upepo uko ndani ndani.
Sasa sijui chochote kuhusiana na kununua uwanja naombeni mnipe muongozo mdogo wenu napoenda kukamilisha hii ndoto yangu maana naogopa kutapeliwa wakuu
Tujuane wadau, labda nilipokaa hapa kuna member wa jf nae ana-browse ila hatujuani.
Nimerudi Dar jioni hii ila nimetulia hapa Micassa Pub Ubungo
Uko wapi mdau?
Mshana Jr
LIKUD
The Boss
Extrovert
cocastic
Nifah
dronedrake
The only
Na wengine wengi
Kibaha msangani juhudi.
Kipo karibia na stend ya bajaji
Km 5 KUtoka morogoro road
Ukubwa mita 20 kwa 20
Milioni tatu na nusu.
Barabara nzuri ya lami.
Umeme na maji vimefika.
Habari
Nauza kiwanja Kibaha kwa mfipa chenye ukubwa wa miguu 20 kw 19
Bei ni Tshs 3,500,000 maongezi kidogo yapo
Kiwanja ni changu mwenye, kipo sehemu nzuri na huo mtaa maji, umeme na huduma zote za kijamii zipo
Njoo nikuuzie umiliki kiwanja leo hii mana kadri siku zinavyokwenda ardhi...
KIWANJA kinauzwa kinapatikana KIVULE ILALA DAR ES SALAAM, kipo karibu kabisa na stendi ya daladala ziendazo mjini na ni tambarare.
Umbali kutoka barabara kubwa hadi kilipo kiwanja ni mita50( Nusu ya uwanja wa mpira wa miguu)
UKUBWA: 50KWA 40 META
BEI: MILIONI 34TU
MAWASILIANO 0715128827
Jana nilikuwa sehemu vijana walifanikiwa kumalizana mizozo ya viwanja
Sasa wamekubaliana kugawana kiwanja cha mama yao Chenye hati moja
Wanataka msaada jinsi ya kutenganisha hati moja ziwe mbili, kila mtu awe na kiwanja chake
Sijui wenye kupitia haya wapi wanaanzia kuweza kuwa na kila mtu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.