"Awali hatukufanya haki kwenye kugawana ardhi, kiwanja kimoja kinamilikishwa watu watatu watatu hasa hapa Dar Es Salaam, Migogoro ya ardhi unakuta shamba la mtu huyu anapewa hati mtu mwingine, lakini haya yote sasa yameondoka, ardhi yetu tumeipima, tunaendelea kuipima na kama mmesikia nilisema...
Wakuu, nimepata huu uwanja wenye ukubwa 840M² (Urefu 40×Upana 21).
Hitaji langu nipate nyumba yenye sifa hizi.
* Nyumba ya kisasa
*Vyumba jumla 4, Master room 2 na kawaida 2
Sebule, Jiko, Stoo, ukumbi wa kulia chakula au kusomea vitabu na kazi za ofisini.
Pia nyuma ya nyumba nijenge Banda lenye...
Ni mara chache hutokea ukanunua kiwanja kwa ajili ya ujenzi kisiwe na migogoro, aidha kwa aliyekuuzia au jirani yako akasogeza mpaka ili mradi mgogoro utokee,
Wakati mwingine unaweza kuuziwa kiwanja kumbe ni cha mtu mwingine pasipo wewe kujua,
Mimi binafsi jirani yangu alisogeza mpaka kisa...
Kiwanja kipo kibaha picha ya ndege.
Kipo nyuma ya hospital ya wilaya Lulanzi.
Kiwanja kina ukubwa Mita 30 kwa 20
Kutoka morogoro road km 2.
umeme upo hapo hapo wa kuvuta maji yapo karibu.
Bei milioni tatu na nusu.
Kiwanja Kinauzwa Kiluvya Madukani
Ukubwa Heka 1 yani mita 70x70
Huduma zote zinapatikana
Umbali Kutoka Morogoro road km 6
Bei eneo linauzwa Mln 15
0775 179905
Yes,Ukiwa unaishi mjini au mahali popote mbali na wazazi au nyumbani ulipozaliwa,unaporudi nyumbani swali mhimu kutoka kwa wakubwa huwa ni...; umeshanunua kiwanja??
Kama bado hujapata jibu la swali hilo,usisite kunitafuta wakati wowote ili upate kumiliki kiwanja chako kwa gharama nafuu Sana...
KIWANJA KINAUZWA
KILUVYA KWA KOMBA
KIPO MITA 600 TU KUTOKA LAMI
_____________________________
✅ KINA UKUBWA WA 25*30
✅ KIPO KARIBU NA LAMI HAINA
HAJA YA KUPANDA BODA MITA 600
TU KUTOKA MAIN ROAD.
✅ KIPO KWENYE BARABARA YA MTAA
✅ KIPO MTAA ULOCHANGAMKA
✅ HUDUMA ZOTE MUHIMU ZIPO...
- Mpangaji Mmoja Mwenye Kukodisha Muda Mrefu Anahitajika!
· Nyumba Kuu: Ina vyumba vitatu (3) vya kulala, jiko, sebule na eneo maalum la kulia.
· Nyumba Ndogoo (2): Kila moja ina vyumba viwili (2) vya kulala vyenye ufanisi.
· Bora kwa: Mpangaji anayetafuta kuchukua majengo mengi kwa mara moja...
Kiwanja kinauzwa madale karibu na shule ya atlas
Kina ukubwa wa SQM 1200
Kipo Mita 150 kutoka barabara ya lami
Bei ni millions. 150 tu tsh
Kipo kwenye neighbourhood nzuri Sana
Usikikose tajiri
Wasiliana nasi.
0742892195 call and WhatsApp
Plot details: 700sqms.
Location: City Center.
Land Status: Demolished and ready to build.
Size: 680-700sqms.
Permit: Residential & Commercial.
On the main road (prime area).
Price: Tsh 4.5B.
Project Prospect; you can easily build a 10-15 story building with both housing and office solutions...
#plotforsale #mikocheni #daressalaam #tanzania
KIWANJA KINAUZWA
KIWANJA KIPO REGENT ESTATE DARESSALAAM TANZANIA
UKUBWA WA KIWANJA NI 2,200SQM
KIWANJA KIPO SEHEMU NZURI KABISA NA KUNA NYUMBA NDANI YAKE
DOCUMENTS NI TITLE DEED
BEI NI DOLLARS 1.2M
🇹🇿CALL/WhatsApp +255758844717...
#plotsforsale
KIWANJA KIZURI SANA KINAUZWA
UKUBWA WA KIWANJA NI 4,000SQM
NI KIWANNA CHA KWANZA KUTOKA BARABARA YA LAMI (Bahari Beach)
RAMANI YA MUUZAJI ULIKUWA NI KUJENGA APARTMENTS,KWAHYO AKAGAWANYA FENSI VIPANDE VINNE NDANI YA KIWANJA KIMOJA
ENEO NI ZURI SANA KWA SHUGHULI MBALIMBALI ZA...
Wadau, natafuta kiwanja chenye sifa hizi:
1. Vipimo: 500-600 sqm
2. Location:Goba au Madale
3. Kiwanja kiwe flat na ardhi isiwe na maji maji
4. Documents ziwe clean na zimekamilika
Offer yangu ni milioni 22 mpaka 24.
Ninauza kiwanja kilichopimwa chenye ukubwa wa 540 SQM kilichopo MWASONGA, KIGAMBONI kipo barabara kuu ukitokea Mwasonga stendi.
📍Mahali pazuri kwa makazi au uwekezaji- miundombinu ipo karibu.
Bei 6,500,000/= ( milioni saba tu) - maelewano yapo kwa mwenye nia ya dhati.
Kwa mawasiliano zaidi au...
KIWANJA KINAUZWA – GOBA NJIA NNE 📍
🔹 Mahali: Goba njia ya kuelekea Madale
🔹 Umbali: Km 1 tu kutoka barabara kuu, unaingilia kupitia KB Shell
🔹 Ukubwa: SQM 540 – za kutosha kujenga nyumba ya ndoto yako
🔹 Bei: Milioni 38 tu!
✅ Eneo zuri, tulivu na linalofikika kirahisi
✅ Tayari linafikika kwa...
Nimeuza kiwanja changu jana kilichokuwepo Kibaha nimepata milioni 10 nikaona nifanye biashara ya bodaboda. Nizinunue 3 halafu niwape vijana waniletee hesabu. Je itanilipa wakuu Kwa mliowahi kufanya hii biashara au nitaingia loss?
#houseforsale
YA KWANZA KUTOKA BARABARA YA LAMI
NYUMBA YA GHOROFA TANO (5) INAUZWA
IPO MAGOMENI MOROCCO DARESSALAAM
INA APARTMENT NANE (8) ZA VYUMBA VIWILI,SEBULE,JIKO&CHOO
PIA INA APARTMENT MOJA YA VYUMBA VINNE,AMBAYO IKO JUU FLOOR YA MWISHO
INA FRAME NNE (4) NA ZOTE ZINAFANYA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.