Habari wana jamvi.
Mdau mmoja anahitaji kiwanja kuanzia sqm 1200 katika moja ya maeneo haya.
1. Kinyerezi
2. Kifuru
3. Segerea
4. Goba
5. Mbweni
6. Madale
Sifa ya kiwanja/eneo
1. Tambarare au kama mlima usiwe mkali sana slope yake.
2. Kinafikika kwa barabara vizuri
3. Neighborhood nzuri au...
Nimepunguza bei kiwanja kutoka mil 60 hadi mil 45 heka 1 kipo kivule
heka 1 kina fensi pande 3 kimepakana na barabaran kubwa za mtaa pande 3 piga 0718 408 733
hati ya serikali za mtaa
mauziano kwa mwanasheria na ngazi zozote utazotaka za kiserikari nyaraka zipo kiwanja sio cha urithi
Nauza kiwanja changu hapo Mwanza Buswelu mtaa wa kahama ukubwa ni 28 kwa 18 Nipe 2.5M uchukue mali ...0756038510...nicheki nikujnganushe na sister hapo Mwanza uchukue mali mie nipo Dar
KIWANJA chenye NYUMBA ZA KUBOMOA KINAUZWA
KIPO VICTORIA KINONDON
KIWANJA KIKUBWA Sana!
KINA (SQM 4250) ni SAWA na (HEKARI MOJA)
Ndani ya FENSI
MITAA ya KISHUA SANA
Inafaa kwa
-APARTMENTS
-SUPER MARKET
-YADI ZA MALORI
-SHULE KANISA
-VYOVYOTE VILE
-au hata MALL
Kumbuka KIWANJA ni
(HEKARI...
Naomba niwasilishe taarifa hii tukiwa na uchungu mwingi kama familia, hapa tunapoandika ujumbe huu tunajiandaa nyumba yetu kubomolewa Jumamosi hii Juni 13, 2026.
Sababu kubwa ikiwa ni dhuluma, mbinu chafu za baadhi ya maafisa wa ardhi kuhusu kiwanja na nyumba yetu iliyopo Image - Kikuyu Kusini...
Anonymous
Thread
ardhi
ardhi dodoma
bila
dodoma
hati
hati ya kiwanjakiwanja
mchezo
nyumba
ridhaa
takukuru
Nauza kiwanja kivule center kabisa
Heka 1
Mil 60. Maongezi kidogo yapo
Mark ukifika Kivule Muungano pub eneo linaitwa mnarani ndio kiwanja kilipo ni eneo lililojengwa nyumba za kifahari ukipaona utapapenda.
Pako tambarare, eneo limekamata barabara kuu.
0743 257 669
Kiwanja Kiluvya Gogoni
Eneo Gogoni upande wa kituo cha polisi
Kiwanja ni tambarare
Bei milioni l4 tu
Ukubwa wake mita 20*22
Kipo umbali wa km 3 tu kutoka Moro road
0675 065906
Kiwanja Kinauzwa, kina msingi wa ukuta.
Mahali: Kimara Temboni.
Kipo km 1 kutoka barabara kuu ya Morogoro, Mita 300 kutoka barabara ya lami ya kuelekea kwa Mfugale.
Ukubwa wa Eneo: SQM 308.
Bei: Tzs Milioni 35.
Nyaraka: Hati ya mauziano ya Serikali ya mtaa.
Gharama ya kwenda kuona Eneo...
🏡 KIWANJA KINAUZWA – BAGAMOYO MJINI 🏡
📍 Location: Mkuni (BLOCK ALA), Bagamoyo Mjini
✔️ Jirani kabisa na Mahakama Mpya ya Bagamoyo
✔️ Mtaa wa kishua na uliopangwa vizuri
📐 Ukubwa: Square Meter 1,491
✅ Kiwanja tambarare
✅ Kina Hati Safi ya Wizara
✅ Kodi ya ardhi inalipiwa kila mwaka
💰 Bei...
VIWANJA VINAUZWA KIMARA "B"
Eneo la Ukubwa wa sqm 1500
Limekatwa Viwanja 4
Lipo Kimara B unaingilia barabara ya Mbezi Kibanda cha Mkaa
A/.Vipo viwanja vi 3 vya sqm 400 bei
Mln 16.6 kila kimoja
B/.Na Kipo kiwanja 1 cha sqm 300
bei Mln 14
Viwanja viko sehemu nzuri tambarare sana
Unaweza...
KIWANJA KIZURI KINAUZWA !!
Maramba Mawili King'azi B
Kina mita 32x28~sqm 896
Kiwanja kinasifa hizi;
✅️Kinapakana na barabara ya kubwa ya mtaa huo ambapo
Unaweza jenga nyumba ya kuishi na fremu za biashara za kutosha
✅️ Hakiko mabondeni
✅️ Mipaka yake iko wazi inaonekana
✅️ Nyaraka halali za...
Kiwanja chenye Pagale la vyumba 2
Kimeshuka BEI kinauzwa MILIONI 16.5 TU!
Kipo Mbezi Msakuzi ni mwendo wa dk 3 kwa miguu kutoka kituo cha daladala zinazokwenda mbezi mwisho stand
Kutoka mbezi mpaka site unapanda daladala nauli 700 tu!
Ukubwa wa kiwanja ni 20x23(460 sqm)
Vyumba ni 2(Master...
Bibi mwenye umri wa miaka 66 anayefahamika kwa jina Julia Albin mkazi wa Tarafa ya Useri wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro, amedai kuwa amejikuta katika hali ya sintofahamu baada ya eneo lake lenye makazi yakudumu kuuzwa kwa amri ya mahakama, kutokana na mwanae kushindwa kutoa matumizi kwa...
KIWANJA KINAHITAJIKA GOBA
SIFA:
✅️Kiwe Goba maeneo yaliyotulia
✅️Mitaa iliyojengwa vyema
✅️Isiwe changanyikeni au uswazi
✅️Ukubwa uwe sqm 800 au zaidi sio pungufu
✅️Kiwe na hati ya wizara au Mchoro
✅️Bei isizidi Mln 75
Kama unacho chenye sifa hizi ni mmiliki au ni dalali na nitumie ujumbe...
Eneo lipo king’azi maeneo ya mbezi malamba, king’azi Dar es salaam,
Sifa za eneo husika
1. Maji na umeme vipo mpakani
2. Muuzaji ni mimi mwenyewe naishi hapohapo
3. Ukubwa wa eneo upana ni hatua 14 na urefu ni 24
4. Sehemu ni nzuri sana
Nitafute kupitia email yangu Email...
Kiwanja kinauzwa kigamboni kibada kimepimwakina square meter 700 bei milioni 35 kiwanja kipo kibada karibu na tawi la crdb bank block 5 kwa mawasiano simu 0659962452
Kiwanja Kinauzwa, kina msingi wa ukuta.
Mahali: Kimara Temboni.
Kipo km 1 kutoka barabara kuu ya Morogoro, Mita 300 kutoka barabara ya lami ya kuelekea kwa Mfugale.
Ukubwa wa Eneo: SQM 308.
Bei: Tzs Milioni 35.
Nyaraka: Hati ya mauziano ya Serikali ya mtaa.
Gharama ya kwenda kuona Eneo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.