kiwanja

  1. Mung Chris

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kinauzwa Arusha Sanawari

    Ni kiwanja kiluchopo Sanawari chapili kutoka Lami ya bara bara kuu ya Arusha Moshi. Kiwanja kipo jirani na Redio mbingu duniani kinauzwa Milioni 110 top. Ukubwa ni 20x20. Kinafaa kujenga apartments za ghorofa au mahitaji mengine. 0785931267 kelvin kwa maelezo zaidi na kupelekwa site kilipo
  2. Mr_positive

    JamiiForums Tanzania Nauza kiwanja changu mwenyewe kigamboni kisarawe II LINGATO

    Tajiri wahi kiwanja hiki utanishukuru badae..Nimepata shida tu ukubwa 20 kwa 20 kikubwa kizuri sana bei milion 10 nicheki 0756038510 Kimepimwa ila hakina HATI bado
  3. M

    JamiiForums Tanzania Serengeti imekuwa ikiinufaisha Arusha kwa miaka mingi, Ujenzi wa uwanja wa ndege unawapa hofu kubwa sana ndio maana hoja haikauki bungeni

    Baadhi ya watu wanadhani fursa za huu utalii tena wa mikoa mingine unatakiwa kunufaisha kwao tu Ni vita kubwa sana hii, kwa sasa tunasikia milio kila muda panaposikika habari za ujenzi wa uwanja na imeonyesha haijaanza leo bali ni ya muda mrefu sana kupiga sabotage uwanja huu, ila kwa sasa...
  4. Forrest Gump

    JamiiForums Tanzania Zipi ni hatua za kufuata ili kujiokoa katika songombingo katika ununuzi wa kiwanja?

    Karibuni thinkers! Kuepuka na kiwanja chenye migogoro, kuepuka utapeli, kuepuka kuingilia mipaka na mengine mengi , tupeane mbinu wakuu
  5. MaweSaba

    JamiiForums Tanzania Kiwanja Kinauzwa, Usagara Mwanza

    Habari wadau? Kiwanjq kizuri, gentle slope, eneo la makazi 45/23m 1km from Main road Bei 4M tu Njoo tuzungumze
  6. Mhandisi Mzalendo

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kinahitajika kiwanja kuanzia sqm 1200

    Habari wana jamvi. Mdau mmoja anahitaji kiwanja kuanzia sqm 1200 katika moja ya maeneo haya. 1. Kinyerezi 2. Kifuru 3. Segerea 4. Goba 5. Mbweni 6. Madale Sifa ya kiwanja/eneo 1. Tambarare au kama mlima usiwe mkali sana slope yake. 2. Kinafikika kwa barabara vizuri 3. Neighborhood nzuri au...
  7. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Nimepunguza bei kiwanja kutoka mil 60 hadi mil 45 heka 1 kipo kivule wilaya ya ilala Dsm

    Nimepunguza bei kiwanja kutoka mil 60 hadi mil 45 heka 1 kipo kivule heka 1 kina fensi pande 3 kimepakana na barabaran kubwa za mtaa pande 3 piga 0718 408 733 hati ya serikali za mtaa mauziano kwa mwanasheria na ngazi zozote utazotaka za kiserikari nyaraka zipo kiwanja sio cha urithi
  8. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kinauzwa bagamoyo kidomole kimegusa lami heka 10

    Kiwanja kinauzwa bagamoyo kidomole kimegusa lami heka 10 zinauzwa zote nipigie 0743257669 bei ya kuanzia mil 600
  9. Mr_positive

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Nauza Kiwanja Mwanza

    Nauza kiwanja changu hapo Mwanza Buswelu mtaa wa kahama ukubwa ni 28 kwa 18 Nipe 2.5M uchukue mali ...0756038510...nicheki nikujnganushe na sister hapo Mwanza uchukue mali mie nipo Dar
  10. Dalali_wa_kimataifa

    JamiiForums Tanzania House4Sale Kiwanja na nyumba ya kubomoa, ipo Victoria Dar es Salaam, bei Tsh billioni 5.2

    KIWANJA chenye NYUMBA ZA KUBOMOA KINAUZWA KIPO VICTORIA KINONDON KIWANJA KIKUBWA Sana! KINA (SQM 4250) ni SAWA na (HEKARI MOJA) Ndani ya FENSI MITAA ya KISHUA SANA Inafaa kwa -APARTMENTS -SUPER MARKET -YADI ZA MALORI -SHULE KANISA -VYOVYOTE VILE -au hata MALL Kumbuka KIWANJA ni (HEKARI...
  11. A

    JamiiForums Tanzania RESOLVED DOKEZO Hati ya Kiwanja imebadilishwa bila ridhaa yetu, TAKUKURU wamebaini ‘mchezo’, aliyepewa hati na Ardhi Dodoma anakuja kutuvunjia nyumba

    Naomba niwasilishe taarifa hii tukiwa na uchungu mwingi kama familia, hapa tunapoandika ujumbe huu tunajiandaa nyumba yetu kubomolewa Jumamosi hii Juni 13, 2026. Sababu kubwa ikiwa ni dhuluma, mbinu chafu za baadhi ya maafisa wa ardhi kuhusu kiwanja na nyumba yetu iliyopo Mtaa wa Image, Kata...
  12. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Nauza kiwanja Ilala DSM center kabisa mil 60

    Nauza kiwanja kivule center kabisa Heka 1 Mil 60. Maongezi kidogo yapo Mark ukifika Kivule Muungano pub eneo linaitwa mnarani ndio kiwanja kilipo ni eneo lililojengwa nyumba za kifahari ukipaona utapapenda. Pako tambarare, eneo limekamata barabara kuu. 0743 257 669
  13. Sonship

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Kiluvya Gogoni

    Kiwanja Kiluvya Gogoni Eneo Gogoni upande wa kituo cha polisi Kiwanja ni tambarare Bei milioni l4 tu Ukubwa wake mita 20*22 Kipo umbali wa km 3 tu kutoka Moro road 0675 065906
  14. radhiya

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kinauzwa Kimara temboni

    Kiwanja Kinauzwa, kina msingi wa ukuta. Mahali: Kimara Temboni. Kipo km 1 kutoka barabara kuu ya Morogoro, Mita 300 kutoka barabara ya lami ya kuelekea kwa Mfugale. Ukubwa wa Eneo: SQM 308. Bei: Tzs Milioni 35. Nyaraka: Hati ya mauziano ya Serikali ya mtaa. Gharama ya kwenda kuona Eneo...
  15. Sonship

    JamiiForums Tanzania KIWANJA KINAUZWA BAGAMOYO MJINI -BLOCK ALA

    🏡 KIWANJA KINAUZWA – BAGAMOYO MJINI 🏡 📍 Location: Mkuni (BLOCK ALA), Bagamoyo Mjini ✔️ Jirani kabisa na Mahakama Mpya ya Bagamoyo ✔️ Mtaa wa kishua na uliopangwa vizuri 📐 Ukubwa: Square Meter 1,491 ✅ Kiwanja tambarare ✅ Kina Hati Safi ya Wizara ✅ Kodi ya ardhi inalipiwa kila mwaka 💰 Bei...
  16. Sonship

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Viwanja vinauzwa Kimara 'B'

    VIWANJA VINAUZWA KIMARA "B" Eneo la Ukubwa wa sqm 1500 Limekatwa Viwanja 4 Lipo Kimara B unaingilia barabara ya Mbezi Kibanda cha Mkaa A/.Vipo viwanja vi 3 vya sqm 400 bei Mln 16.6 kila kimoja B/.Na Kipo kiwanja 1 cha sqm 300 bei Mln 14 Viwanja viko sehemu nzuri tambarare sana Unaweza...
  17. Sonship

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Mbezi Maramba Mawili King'azi B

    KIWANJA KIZURI KINAUZWA !! Maramba Mawili King'azi B Kina mita 32x28~sqm 896 Kiwanja kinasifa hizi; ✅️Kinapakana na barabara ya kubwa ya mtaa huo ambapo Unaweza jenga nyumba ya kuishi na fremu za biashara za kutosha ✅️ Hakiko mabondeni ✅️ Mipaka yake iko wazi inaonekana ✅️ Nyaraka halali za...
  18. Sonship

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja chenye Pagale Mbezi Msakuzi

    Kiwanja chenye Pagale la vyumba 2 Kimeshuka BEI kinauzwa MILIONI 16.5 TU! Kipo Mbezi Msakuzi ni mwendo wa dk 3 kwa miguu kutoka kituo cha daladala zinazokwenda mbezi mwisho stand Kutoka mbezi mpaka site unapanda daladala nauli 700 tu! Ukubwa wa kiwanja ni 20x23(460 sqm) Vyumba ni 2(Master...
  19. DogoWaNjombe

    JamiiForums Tanzania Kilimanjaro: EX-Wife auza kiwanja cha mama mkwe baada ya aliyekuwa mumewe kushindwa kuhudumia Watoto

    Bibi mwenye umri wa miaka 66 anayefahamika kwa jina Julia Albin mkazi wa Tarafa ya Useri wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro, amedai kuwa amejikuta katika hali ya sintofahamu baada ya eneo lake lenye makazi yakudumu kuuzwa kwa amri ya mahakama, kutokana na mwanae kushindwa kutoa matumizi kwa...
  20. Sonship

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kinahitajika Goba

    KIWANJA KINAHITAJIKA GOBA SIFA: ✅️Kiwe Goba maeneo yaliyotulia ✅️Mitaa iliyojengwa vyema ✅️Isiwe changanyikeni au uswazi ✅️Ukubwa uwe sqm 800 au zaidi sio pungufu ✅️Kiwe na hati ya wizara au Mchoro ✅️Bei isizidi Mln 75 Kama unacho chenye sifa hizi ni mmiliki au ni dalali na nitumie ujumbe...
Back
Top Bottom