Tutatakiwa kukopa nini mkuu ili tuonekane tuna hela?Kitendo cha kukopa kiwanja ni ishara tosha kwamba huna hela tafuta hela
OK asante kwa ushauriKopa hela za kutanua biashara .ndo watu wanfanyaga ivo( sio kuanzisha biashara)
😂😂😂. DahhUtakuta mleta mada yupo shekilango anapakia watoto wa shemeji yake waende shule katavi
Tunakatishana tamaa hivihivi!Kitendo cha kukopa kiwanja ni ishara tosha kwamba huna hela tafuta hela
Pombe inakopwa baada ya mtu kulewa , wewe haumuelewi mkopa pombe ila hata yeye akiamka asubuhi haelewei alikopa kopa vipi pombeAchana na kukopa kiwanja, watu wanaokopa pombe,soda, nguo huwa siwaelewi kabisa
Mleta sledi ametuonya kufanya kidundulizo ni ukosefu wa hela kama ukosefu wa vitamini mwilini tu.mtu asidundulize😏
Mkopa pombe huwa anakunywa hiyo pombe huku anaisifia kwa maneno..."hii pombe tamu kama sikopi"...!Pombe inakopwa baada ya mtu kulewa , wewe haumuelewi mkopa pombe ila hata yeye akiamka asubuhi haelewei alikopa kopa vipi pombe