Habari wapendwa? Kuna kitu kinaitwa Ziwa la Moto, umewahi kuwaza kitu hiki?
Ziwa la Moto ni mahali watakapotupwa watenda dhambi wote kwenye hukumu ya mwisho pamoja na shetani na malaika zake( majini /mapepo)
Ufunuo wa Yohana 21:8, Bali waoga, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na...