I hope bado mko pamoja hamjaachana mkuuAlinikataza nisivae suruali za kitambaa au cardet na viatu vya kupiga kiwi. Nisiwe nanyoa level moja.
Alitamani niwe navaa t-shirt na jeanz na raba, kichwani niwe nanyoa pembeni naachia kidogo juu, au ikiwezekana niwe nazinyongorota virasta. Ndevu niziachie kama za kina Rick Ross, Na niwe naenda gym kujaza body. Hivyo vingine nilishindwa ila alinifanya niwe napiga tizi na mpaka sasa nashukuru mazoezi yamekua sehemu ya maisha yangu.
Kitambo sana nilimtema. Kazi ninayofanya nikijiweka muonekano huo sitokua decent na inaleta image mbaya kwa clients wangu wazee.I hope bado mko pamoja hamjaachana mkuu
Uzi tayariNi kitu gani ulishawahi kukatazwa na mpenzi wako hadi ukajiuliza hivi huyu ananichukulia je?
😁😁😁Mimi aliniambia nisiwe nampigia Simu Usiku kuanzia saa mbili kuendelea
Aliniambia niache kubet
Wakati mimi wangu anashiriki hadi kunipa timu na ananiambia nisiweke stake Chini ya elfu 50Aliniambia niache kubet
Alinambia niache kufuatilia na kuangalia mpira, kisa aliona napenda mpira sana kuzd ninavyompenda yy ,yan mda mwng natumia kwenye mpira wa miguu, nikaona mpuuzi huyu nikaachana naeNi kitu gani ulishawahi kukatazwa na mpenzi wako hadi ukajiuliza hivi huyu ananichukulia je?
Kabisa mkuu. Baadh ya wanawake wanzimika na mabushoo, wanapigwa kitu wanatemwa. Ndio wanaanza kuhaha kusaka ndoa huku wako 1 mbeleAlinikataza nisivae suruali za kitambaa au cardet na viatu vya kupiga kiwi. Nisiwe nanyoa level moja.
Alitamani niwe navaa t-shirt na jeanz na raba, kichwani niwe nanyoa pembeni naachia kidogo juu, au ikiwezekana niwe nazinyongorota virasta. Ndevu niziachie kama za kina Rick Ross, Na niwe naenda gym kujaza body. Hivyo vingine nilishindwa ila alinifanya niwe napiga tizi na mpaka sasa nashukuru mazoezi yamekua sehemu ya maisha yangu. Ingawa mm na yule binti hatukuweza kufika mbali.
Nilichogundua, hawa masista duu wanawaadmire sana hawa mabishoo wanaojiweka namna hiyo (ingawa midomoni wanaonyesha kuwaponda). Kibaya zaidi wengi wao future hawana. Ndio maana wanaishia kua single mothers tu.
Wanyoa viduku wanatutombea sana mademu zetuAlinikataza nisivae suruali za kitambaa au cardet na viatu vya kupiga kiwi. Nisiwe nanyoa level moja.
Alitamani niwe navaa t-shirt na jeanz na raba, kichwani niwe nanyoa pembeni naachia kidogo juu, au ikiwezekana niwe nazinyongorota virasta. Ndevu niziachie kama za kina Rick Ross, Na niwe naenda gym kujaza body. Hivyo vingine nilishindwa ila alinifanya niwe napiga tizi na mpaka sasa nashukuru mazoezi yamekua sehemu ya maisha yangu. Ingawa mm na yule binti hatukuweza kufika mbali.
Nilichogundua, hawa masista duu wanawaadmire sana hawa mabishoo wanaojiweka namna hiyo (ingawa midomoni wanaonyesha kuwaponda). Kibaya zaidi wengi wao future hawana. Ndio maana wanaishia kua single mothers tu.