KILICHOTOKEA KWA MKAPA KISITOKEE KWA KIONGOZI MWINGINE.
Na Bashir Yakub, Wakili.
+255 714 047 241.
Haikuwa sawa kuupeleka mwili wake kila asubuh uwanjani, kuuanika pale masaa 12, na kisha kuurudisha tena kila jion,kwa siku tatu mfululizo.
Mzee Mkapa ni kiongozi wa kitaifa na hivyo ilikuwa...