Katibu wa itikadi na uenezi ndugu Polepole amesema Mbowe ni kiongozi wa kiimla anayewapelekesha wanachama wa CHADEMA apendavyo.
Wakati wa kufungua bunge Mbowe aliwaamrisha wabunge wa Chadema watoke nje wakatoka.
Aliwaambia wafunge plasta midomoni wakafunga
Juzikati amewataka waende karantini...
Kusema kweli hii ni kauli mbaya kuzungumzwa na kiongozi wa nchi kwenda kwa nchi majirani zake ambao wanakabiliana na matatizo. Ni kauli ya kuharibu na kuleta hujuma kwa nchi.
Ndugu Rais, unapotamka jua kuwa wewe ni Rais wa nchi. Hilo lazima ulielewe hivyo umakini unahitajika sana kwenye...
Maana nyepesi ubeberu au beberu kama inavyotumika kwa muktadha wa siasa ni ADUI au UADUI.
Je, tujiulize hapa kwetu tz hatuna mifumo ya kibeberu makazini, kwa wakulima au kwenye biashara?
Kimsingi ukifuatilia hata kwenye biashara ya mchicha ambao huwatunawaona wakinamama wakipitisha mchicha...
Labda tumuache Rais ambaye naambiwa hawezi shitakiwa kwa muujibu wa katiba yetu ya sasa. Je kiongozi mwingine yeyote anaye dharau katiba waziwazi nini huwa adhabu yake wadau. Nataka angalau nijue .
Labda hakuna adhabu yoyote ndo maana Mr Ndugai anaikanyaga katiba mchana kweupe. Na kama Luna...
Wakuu, Mpelelezi Mkuu wa PCCB ndugu John Minyenya afariki dunia usiku wa kuamkia leo Hospitali ya Hindu Mandal baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Bwana Minyenya alikuwa miongoni mwa viongozi wa juu waliopeleka taarifa ya pelelezi mbalimbali za tuhuma wakati wa kukabidhi ripoti kuu ya PCCB ya...
New Mv victoria Hapa kazi tu na Mv Butiama zimeshamilika na sasa zinasubiribiri tu commissioning ili zianze kufanya kazi.
Hii ni hatua kubwa sana katika sekta ya usafirishaji hasa katika ziwa victoria
Wafanyabiashara kati ya mkoa wa Kagera na Mwanza sasa wataenda kunufaika baada meli hizi...
Wanajukwaa naomba kutoa hoja hii tuijadili sisi kama Watanzania tuliowapa dhamana watu fulani kutuongoza. Nchi si mali yao bali ni mali ya Watanzania.
Je, kwa hali tuliyo nayo sasa wewe kama Mtanzania unadhani ni kiongozi yupi amevurunda zaidi na anapaswa kuachia madaraka?
Utoe sababu ni...
LAZIMA KIONGOZI AKAZE SAUTI KWENYE MAPAMBANO.
HONGERA RAIS JPM.
Na,Mwl.Pasaka O. Rucho.
AFISA MTENDAJI KATA YA TAI RORYA.
Leo tarehe 03/05/2020 nilikuwa nafatilia hotuba bora kabisa wakati huu wa janga hili la CORONA iliyotolewa na mh.Rais Magufuli akiwa anamwapisha Comrade Mwigulu Lameck...
Kwa uzalendo alionao kiongozi wa NCCR Mageuzi ni dhahiri kuwa anastahili kuwa kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni.
Huyu jamaa kwenye masuala yanayohusu manufaa ya taifa letu hana utengano kama wale jamaa wanaotumiwa na mabeberu. Maana duniani pote nchi inapokuwa kwenye vita lazima raia wote...
Vijana wawili wa familia moja wameuawa kikatili kwa kupigwa na vitu vizito kichwani usiku wa kuamkia april 27 katika kijiji cha Kipengele kilichopo wilayani Wanging'ombe mkoani Njombe
Akizungumzia tukio hilo kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Njombe Hamis Issah amesema vijana waliouwawa ni...
Mimi napenda kuongea pasipo mtaja awaye yeyote ila kuweka kumbukumbu vizuri.
Awali ya yote namshukuru Mungu nipo hai na kuwa na bahati kuona tawala zote tano. Ndugu zangu Watanzania nikiwa kama Raia wa taifa hili aka mzawa napenda kuwaambia tuzidi kusali tena tusali sana lipo jambo hatulioni...
Wale wabishi wajue tu kwamba ukipata Corona unawekwa sehemu ya kutengwa na kupewa chakula.
Hapo ni wewe na Mungu wako wale viongozi wa dini ambao walikwambia usiache kwenda kule kusaliwa watakushauri ujiombee mwenyewe, wale manabii hawatakuja kukuona wale mashehe wa mskitini watakukimbia kama...
Hapo Jana Mh Chalamila aliweka utaratibu wa wanywaji wa Mbeya , kwa kutoa muda wa hadi saa 3 usiku wawe wamepukutika kwenye mabar , kwa hoja kwamba baada ya muda huo wengi wanakuwa wamelewa kiasi cha kukiuka kinachoitwa Social Distancing ili kuzuia maambukizi ya virusi vya Corona .
Lakini...
Viongozi wengi wa Mataifa mengi ( Barani Afrika, Ulaya, Marekani na hadi Asia ) nimeona wakiweka Ukomo katika Matamko yao hasa juu ya hili Janga baya la CORONA ( COVID-19 ) ila nasikitika Viongozi wa Mataifa mengine wamekuwa wakitoa tu Matamko yao pasi na Kuwaeleza Wananchi ni lini kutakuwa na...
umofia kwenu,
Bara la Africa nadhani kweli bado tupo gizani,huwa sielewi kwanini wengi wa viongozi wetu huwa wanawakumbatia watu wa rangi tofauti na yetu,licha ya sisi kutendewa mambo ya ajabu na hawa watu tukiwa nchi zao.Sijui ni kuwa huwa tuna chagua na kuweka madarakani watu ambao hawana...
Tafiti zinaonyesha kuwa mafanikio ya taasisi yanategemea kwa kiasi kikubwa, tabia za mtu mwenye dhamana ya kufanya maamuzi yanayohusu wafanyakazi wa taasisi husika.
Kiongozi akikosa sifa, ni vigumu walio chini yake kufanya wajibu wao.
Migogoro, kutokuelewa, hujuma, utegeaji, kukosa hamasa ni...
Spika Ndugai amesema...
Hotuba hii ya Kambi Rasmi ya Upinzani imejaa makosa karibia kila ukurasa, ina matumizi mabaya sana ya jina la Mhe. Rais na kulituhumu Bunge la 11. Nadhani wangeshirikiana kuiandika pamoja isingefika hapa, mimi siko hapa kutetea chochote.
Kulifanya Bunge kuwa mahala pa...
Aliyekuwa Meya wa Manispaa ya Iringa leo amekabidhi ofisi na gari mbele ya mkurugenzi wa manispaa hiyo na watumishi wote wa manispaa.
Kimbe amesema ameachia madaraka ya umeya kwa moyo mweupe ili vikao vya baraza la madiwani viendelee kufanyika na wananchi kupatiwa maendeleo. Kimbe amewataka...
Waziri wa afya Ummy Mwalimu amesema ni marufuku kwa mtu yeyote kutangaza majina ya wagonjwa wa corona kwani hiyo ni siri kati ya Daktari na mgonjwa.
Waziri amesema kutaja taja majina kunaleta unyanyapaa kitu ambacho ni kibaya sana mbele ya jamii na mbele za Mungu. Na zaidi Ummy amesema ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.