Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,920
- 31,161
Heshima kwenu wanajamvi,
Katibu Mwenezi wa CCM, Humphrey Polepole alinukuliwa akimtuhumu kiongozi mmoja aliyetaka kupitisha makontena 70 narudia makontena 70 bila kulipa kodi stahiki.
Mbaya zaidi, eti kiongozi huyo kanuna, kakasirika, au ukipenda kasusa.
Sasa najiuliza ni kwanini Kiongozi huyo hakuchukuliwa hatua stahiki na kufikishwa mahakama ya mafisadi kwa makosa ya kuhujumu uchumi na kutakatisha fedha.
Mokotena 70 ni mengi sana; kwanini 'Dr., Professor' Polepole asitutajie au na yeye anamwogopa?
Ngongo kwasasa mitaa ya Lumumba nikitokea Dodoma, White House.
Katibu Mwenezi wa CCM, Humphrey Polepole alinukuliwa akimtuhumu kiongozi mmoja aliyetaka kupitisha makontena 70 narudia makontena 70 bila kulipa kodi stahiki.
Mbaya zaidi, eti kiongozi huyo kanuna, kakasirika, au ukipenda kasusa.
Sasa najiuliza ni kwanini Kiongozi huyo hakuchukuliwa hatua stahiki na kufikishwa mahakama ya mafisadi kwa makosa ya kuhujumu uchumi na kutakatisha fedha.
Mokotena 70 ni mengi sana; kwanini 'Dr., Professor' Polepole asitutajie au na yeye anamwogopa?
Ngongo kwasasa mitaa ya Lumumba nikitokea Dodoma, White House.