Hakuna Kiongozi anayekumbuka kama mpaka wa Tanzania na Malawi umehamishwa?

Keyura

Member
Aug 14, 2015
83
109
Wanajamvi kwa kumbukumbu zangu ni mwaka wa nne sasa tangu uzi wa namna hii uletwe hapa jamvini kama nitakosea mnirekebishe lakini jambo muhimu ni maudhui ya uzi huu.

Mpaka wetu ulioachwa na Hayati Baba wa Taifa umehamishwa kinyamela na viongozi woote hasa Mawaziri wamelala bila kushughulikia utatuzi wa huu mpaka. Ukiangalia Google Map inasoma mpaka upo kwenye Ardhi ya Tanzania badala ya kupita katikati ya Ziwa Nyasa.

Kama ndiyo hivyo basi watuambie kama wameishauza nchi kwenye mamlaka za nchi ya Malawi. Nchi ilyoachwa na Baba wa Taifa imeshamegwa bila viongozi kushughulikia. Mzee Palamagamba Aidani Kabudi unajua sana historia za mabila ya Tanzania na nchi jirani unasahau historia ya mpaka wa nchi yako ya Tanzania?

Mpaka.JPG
 
Professor Kabudi Vp Tena
Hii Kazi Mbona Umeiacha Kimya Wakati Tanzania Inauzwa
 
Nipo kwenye jalamba la kisiasa nipatapo Urais sihangaiki na standard geji,madege,mameli,maflai ova maana najua vitakua vimeisha ntahangaika na huo mpaka tu hata kwa miaka mitano ya mwanzo na ikiwezekana kamalawi nitakaunganisha kawe kamkoa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo ziwa likikauka mpaka unahama? Au wananchi wa mkoa wa Rukwa upande wa ziwa Nyasa wa Tanzania wanazuiwa kuvua mpaka wawe na passport au vipi? Google map sio standard ya map ya kuonyesha sovereignty of a state!
 
The silent border is in the middle of lake. .. Nenda kule uone meli za Tanzania zimetawala kwenye ziwa na Wamalawi hawana cha kusema kwa kuwa wanajua kuwa eneo sio lao.
Any attept to take our portion of a lake will be responded with our measure to take all the portion that belongs to Malawi.
So wakileta choko choko tunachora ramani mpya inayoonesha ziwa linamilikiwa na Tz pamoja na Msumbiji.. Watachanganyikiwa.
 
The silent border is in the middle of lake. .. Nenda kule uone meli za Tanzania zimetawala kwenye ziwa na Wamalawi hawana cha kusema kwa kuwa wanajua kuwa eneo sio lao.
Any attept to take our portion of a lake will be responded with our measure to take all the portion that belongs to Malawi.
So wakileta choko choko tunachora ramani mpya inayoonesha ziwa linamilikiwa na Tz pamoja na Msumbiji.. Watachanganyikiwa.
Mkwara nimeuelewaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkwara nimeuelewaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Eeh! Tutawaambia jumuiya ya kimataifa kuwa ili kuimarisha ulinzi wa mazingira na ikolojia ya ziwa Malawi, Tanzania imeamua kuchukua sehemu yote ya ziwa Malawi na kuwa ni 'ardhi' ya Tanzania.
Jina ziwa Malawi lisikutishe.. Mbona ziwa Tanganyika lina jina letu lakini Tz haijawahi kudai kuwa ziwa lote ni lake? Mbona bahari ya Hindi ina jina la India lakini India haijawahi kudai kuwa bahari yote ni yake?
 
Wanajamvi kwa kumbukumbu zangu ni mwaka wa nne sasa tangu uzi wa namna hii uletwe hapa jamvini kama nitakosea mnirekebishe lakini jambo muhimu ni maudhui ya uzi huu.

Mpaka wetu ulioachwa na Hayati Baba wa Taifa umehamishwa kinyamela na viongozi woote hasa Mawaziri wamelala bila kushughulikia utatuzi wa huu mpaka. Ukiangalia Google Map inasoma mpaka upo kwenye Ardhi ya Tanzania badala ya kupita katikati ya Ziwa Nyasa.

Kama ndiyo hivyo basi watuambie kama wameishauza nchi kwenye mamlaka za nchi ya Malawi. Nchi ilyoachwa na Baba wa Taifa imeshamegwa bila viongozi kushughulikia. Mzee Palamagamba Aidani Kabudi unajua sana historia za mabila ya Tanzania na nchi jirani unasahau historia ya mpaka wa nchi yako ya Tanzania?

View attachment 1369577
Mkuu acha presha,
Ukiangalia utaona mstario wa doti ......
Tofauti na ziwa tanganyika, hii inamaana bado **** mgogoro, ndio maana google wameweka ....... badala ya full mstari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom