Ngoja nikwambie kitu kuhusu kijana wa leo wa kitanzania.
Vijana hatulali, vijana tunawajibika kufikia malengo yetu;
Kila kijana ana ile ndoto kubwa anayoitamani kuifikia, na katika harakati za kuifikia ndoto hiyo kijana hukumbana na changamoto nyingi sana, Sitozisema hapa, sababu kila kijana...