Kinjekitile Jr
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 414
- 1,139
Mungu wasamehe wanawake wote kiukweli sio akili zao…..wanateswa na mapepo makali sana
Hayo mambo ni magumu km yanakuhusu.Acha zako yaani umfatilie mama ako mambo yake binasfi tena kuhusu mapenzi,tuliza akili endelea na masomo tu.
Amini maamuzi atakayochukua mzee wako,kwa kua ameshakuambia kua usiwaze,yote muachie yeye,wewe piga shule usichoshe akiliHabari yenu wana JF,poleni na mihangaikio ya kuendelea kulijenga taifa.
Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu kimoja kikubwa hapa nchini,hivi majuzi nilipokea taarifa kutoka mbeya nyumbani za kuumiza sana moyo wangu,taarifa ilikuwa hii...
Habari yenu wana JF,poleni na mihangaikio ya kuendelea kulijenga taifa.
Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu kimoja kikubwa hapa nchini,hivi majuzi nilipokea taarifa kutoka mbeya nyumbani za kuumiza sana moyo wangu,taarifa ilikuwa hii...
Mambo ya wazazi waachie wenyewe maana hujui kwanini wamefikia hapo, kikubwa ni kuzingatia kuwaheshimu na kufanya yako....