Genoveveive John
Member
- Mar 4, 2017
- 11
- 26
Hivi kwani Kuna mashindano?? Mbona kama mama zetu hawajihanini kabisaa, napenda kujua labda Mimi ndio mgeni katika Haya mambo kwani Kuna Siri gani kati ya mama mkwe na kijana wake???
Hapo mwanzo nasikia alikua anakataa Kila Binti aliekua akipendwa na mwanae, yaani Sababu haziishi, ooh huyu kabila lake baya, huyu mrefu sana, huyu anakazi kwao watakudharau, Mama uliposikia mwanao anaishi na amezaa na binti huku mjini hukusita kupanda basi kutoka kwenu Tabora kuja kuniona,
Hapo mwanzo nilidhaniumekuja kuniona na kunikanda kwani ndio kwanza nilikua nimefika kujifungua, Wala hukujali chumba chetu kimoja, Kwa aibu mwanao akakupisha Ili uwe comfortable, lakini badala ya wewe kuniuguza Mimi, Mimi ndio nikawa mfanyakazi wako, naamka mama chai nakupikia, Nguo nakufulia na unachotaka nakupatia hayo yotenilivumilia mama yangu kwani mwanao Alisha ni allert mapema kuhusu gibu lako na akaniambia mke wangu sikutambulishi kwa mama maana namjua.
Isije na wewe akakukataa wakati Mimi nimekuchagua na kukupenda, hivyo nilivumilia nikutudhishe mama yangu lakini mipaka ulivuka pale uliponitaka nimuache mwanangu wa wiki 1 akiwa analia, niende sokoni kukununulia samaki wakavu maana maharage umeyachoka, nilikuomba msamaha mama yangu japo tu nimnyonyeshe mwanangu halafu sokoni ntaenda, ila uliposikia tu mwanao barazani ukaanza kulia na kusema nimekuita wewe mchawi na kwangu nimekufukuza, mwanao nae Wala hakujali ya kua nilikua nanyonyesha mtoto wetu wa wiki 1 tu.
Alichukua maharage noliyokua nayaunga jikoni na kutumwagia usoni Mimi na mwanangu, hakika mtu yeyote anaelia huyo anae wakumbembeleza sitasahau kelele za mwanangu ulietaka kumuua bila hatia ila #Mungu akampigania, barua hii ni Kwa vijano wote hasa wewe uliekua baba wa mwanangu sijui wewe na mama Yako mnaendeleaje kwasasa, ila sisi tupo salama salimini, mwanamke uliopo kwenye ndoa ya mateso usikubali kunyanyasika, kimbia haraka sana usije ukafa.. nawapenda nyote
Hapo mwanzo nasikia alikua anakataa Kila Binti aliekua akipendwa na mwanae, yaani Sababu haziishi, ooh huyu kabila lake baya, huyu mrefu sana, huyu anakazi kwao watakudharau, Mama uliposikia mwanao anaishi na amezaa na binti huku mjini hukusita kupanda basi kutoka kwenu Tabora kuja kuniona,
Hapo mwanzo nilidhaniumekuja kuniona na kunikanda kwani ndio kwanza nilikua nimefika kujifungua, Wala hukujali chumba chetu kimoja, Kwa aibu mwanao akakupisha Ili uwe comfortable, lakini badala ya wewe kuniuguza Mimi, Mimi ndio nikawa mfanyakazi wako, naamka mama chai nakupikia, Nguo nakufulia na unachotaka nakupatia hayo yotenilivumilia mama yangu kwani mwanao Alisha ni allert mapema kuhusu gibu lako na akaniambia mke wangu sikutambulishi kwa mama maana namjua.
Isije na wewe akakukataa wakati Mimi nimekuchagua na kukupenda, hivyo nilivumilia nikutudhishe mama yangu lakini mipaka ulivuka pale uliponitaka nimuache mwanangu wa wiki 1 akiwa analia, niende sokoni kukununulia samaki wakavu maana maharage umeyachoka, nilikuomba msamaha mama yangu japo tu nimnyonyeshe mwanangu halafu sokoni ntaenda, ila uliposikia tu mwanao barazani ukaanza kulia na kusema nimekuita wewe mchawi na kwangu nimekufukuza, mwanao nae Wala hakujali ya kua nilikua nanyonyesha mtoto wetu wa wiki 1 tu.
Alichukua maharage noliyokua nayaunga jikoni na kutumwagia usoni Mimi na mwanangu, hakika mtu yeyote anaelia huyo anae wakumbembeleza sitasahau kelele za mwanangu ulietaka kumuua bila hatia ila #Mungu akampigania, barua hii ni Kwa vijano wote hasa wewe uliekua baba wa mwanangu sijui wewe na mama Yako mnaendeleaje kwasasa, ila sisi tupo salama salimini, mwanamke uliopo kwenye ndoa ya mateso usikubali kunyanyasika, kimbia haraka sana usije ukafa.. nawapenda nyote