Kiukweli ukimlinganisha Shaka na wwatangulizi wake akina Nape na Polepole, huyu jamaa amejaa busara.Shaka ni mwenezi wa ccm mwenye busara kuliko waliomtangulia. Hajivuni, hakebehi hovyo wapinzani na hana siasa chafu. Nieleweke mimi si mccm, lakini namuona hivyo. Sloslow alitufikisha pabaya.
Huu ni usiku wa ulaya ambako hakuna tofauti na mchana.View attachment 2327949
Tazama,Huu ni usiku ila vijana wanagoma kumruhusu kijana huyu aondoke,
View attachment 2327951
View attachment 2327944
View attachment 2327952
View attachment 2327953
Wote waliotumbuliwa na jiwe wamerudishwa kundiniHamna kitu hapo, huyu si aliwahi kutumbuliwa na jiwe kwa skendo za ufisadi?