Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums.
Ndugu zangu Watanzania kuelekea 14 October.
Kwanini Nyerere day ni kumbukizi ya siku ya kifo cha muasisi, shujaa na mzalendo wa taifa letu na sio kuzaliwa kwake (April 13)?
What's the logic behind? Ina maana kifo ni muhimu sana kuliko birthday?
Kwanini Nyerere Day sio April 13 ya kila mwaka kuanzia April 2000 mwaka mmoja baada ya kifo cha huyu baba yetu? Au;
Kwanini Karume day nayo pia ni siku ya kifo April 7 na sio siku ya kuzaliwa August 4?
OMBI LANGU: Ninaomba tuwe na sanamu ya Rais (Statue/Monument) katika makao makuu ya kila wilaya atokayo Rais husika.
(1) Wilaya ya Butiama - Mwalimu J.K Nyerere (Nadhani ipo ingawa sina uhakika).
(2) Wilayani huko Pemba - Mzee A.H Mwinyi
(3) Wilaya ya Masasi - Mzee B.W Mkapa
(4) Wilaya ya Bagamoyo - Mzee J.M Kikwete.
(5) Wilaya ya Chato - Mzee J.P Magufuli
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Ndugu zangu Watanzania kuelekea 14 October.
Kwanini Nyerere day ni kumbukizi ya siku ya kifo cha muasisi, shujaa na mzalendo wa taifa letu na sio kuzaliwa kwake (April 13)?
What's the logic behind? Ina maana kifo ni muhimu sana kuliko birthday?
Kwanini Nyerere Day sio April 13 ya kila mwaka kuanzia April 2000 mwaka mmoja baada ya kifo cha huyu baba yetu? Au;
Kwanini Karume day nayo pia ni siku ya kifo April 7 na sio siku ya kuzaliwa August 4?
OMBI LANGU: Ninaomba tuwe na sanamu ya Rais (Statue/Monument) katika makao makuu ya kila wilaya atokayo Rais husika.
(1) Wilaya ya Butiama - Mwalimu J.K Nyerere (Nadhani ipo ingawa sina uhakika).
(2) Wilayani huko Pemba - Mzee A.H Mwinyi
(3) Wilaya ya Masasi - Mzee B.W Mkapa
(4) Wilaya ya Bagamoyo - Mzee J.M Kikwete.
(5) Wilaya ya Chato - Mzee J.P Magufuli
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.