Huwa najiuliza sana akilini lakini sipati majawabu yake,
Hivi katika vurugu za Oktoba 29, serekali yetu ingekaa kimya tu kwa kutuliza fujo huku wana wakichoma tu moto magari, sheli majumba ya watu kupora maduka,kuchoma mabasi ya mwendokasi,na serekali yetu ikawa inawaambia kufanya hivyo ni...