Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,897
- 67,394
Hello
Njegere sio mboga ni kiungo tu cha chakula kama vile nyanya na matumiz yake ni
Una weza pikia kwenye
Ubwabwa
Samaki
Nyama
Ndizi
Ivyo wengi mna geuza matumizi badaal yake mna ifanya mboga mna unga na nazi mna kosea ile ni kiungo cha nakshi nakshi kwenye chakula kuleta mvuto katika chakula
Ni hayo tu kwa leo
Njegere sio mboga ni kiungo tu cha chakula kama vile nyanya na matumiz yake ni
Una weza pikia kwenye
Ubwabwa
Samaki
Nyama
Ndizi
Ivyo wengi mna geuza matumizi badaal yake mna ifanya mboga mna unga na nazi mna kosea ile ni kiungo cha nakshi nakshi kwenye chakula kuleta mvuto katika chakula
Ni hayo tu kwa leo