Wapishi kuna somo lenu hapa kidogo

Wapishi kuna somo lenu hapa kidogo

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
33,897
Reaction score
67,394
Hello

Njegere sio mboga ni kiungo tu cha chakula kama vile nyanya na matumiz yake ni

Una weza pikia kwenye
Ubwabwa
Samaki
Nyama
Ndizi

Ivyo wengi mna geuza matumizi badaal yake mna ifanya mboga mna unga na nazi mna kosea ile ni kiungo cha nakshi nakshi kwenye chakula kuleta mvuto katika chakula

Ni hayo tu kwa leo
 
Hello

Njegere sio mboga ni kiungo tu cha chakula kama vile nyanya na matumiz yake ni

Una weza pikia kwenye
Ubwabwa
Samaki
Nyama
Ndizi

Ivyo wengi mna geuza matumizi badaal yake mna ifanya mboga mna unga na nazi mna kosea ile ni kiungo cha nakshi nakshi kwenye chakula kuleta mvuto katika chakula

Ni hayo tu kwa leo
Ila usiache kusema utaalamu huu uliko upatia?
 
Njegere nyingi haziivi sjui wapishi wana shida gani, kwani ukizichemsha kidg ukaja ongezea kwenye mboga inapoteza ladha hasa dsm vyakula vingi vibichi na vya hovyo.
 
Njegere nyingi haziivi sjui wapishi wana shida gani, kwani ukizichemsha kidg ukaja ongezea kwenye mboga inapoteza ladha hasa dsm vyakula vingi vibichi na vya hovyo.
Njegere iyo ikiwa imekaa siku nyingi lazima isiive
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom