Wakenya wametupiga bao sana kwenye uwekezaji nchini

Linguistic

JF-Expert Member
Mar 16, 2021
3,671
8,237
Wakuu

Kenya ina jumla ya kampuni 529 zinazoendesha shughuli zake nchini Tanzania ambapo zimewekeza Dola za Marekani Bilioni 1.7 na zimeajiri watu 56,260.

Tanzania sisi sasa tuna kampuni 30 tu. Je, tumekwama wapi kama Nchi?

Nini kifanyike? Waalimu, Wahudumu katika hoteli nyingi ni Wakenya. Wapi wizara zetu na wale watoa maamuzi wanaweka mkakati wa pamoja juu ya hili?
 
Wkaenyawanavipaji vingisana kuliko TZ
Sisi tumeweka Siasa za maji taka mbele.
Watanzania ni wajuwaji sana ,lakini kielimu tupo chini mno.
Hata hivyi ,hizo biashara zinazosifiwa ni za Wakenya mnajuwa ni wakenya wa jamii ganiwaliowekeza zaidi?
Mii nadhani Wahindi na pengine Wasomali,
sisi Waswahili tunasubiri Vibarua tuu.
Mitaji yetu midogo , Business management zetu ni Poor.
Mswahili kabakia mtu wa Kutumwa tuu na Kulipwaga mishahara.
 
Wakenya wana uchumi mkubwa zaidi yetu, pia wana wataalamu wa viwango zaidi yetu sababu elimu yao ni bora, na sio hapa kwetu tu, hao jamaa wametapakaa mpaka SA huko wana exposure ya biashara na wanaongoza mashirika na kampuni, kutaka sisi tuwe kama wao itachukua muda kidogo, nionavyo bora tujifunze toka kwao ili baadae na sisi tuendeshe mambo yetu.
 
Wkaenyawanavipaji vingisana kuliko TZ
Sisi tumeweka Siasa za maji taka mbele.
Watanzania ni wajuwaji sana ,lakini kielimu tupo chini mno.
Hata hivyi ,hizo biashara zinazosifiwa ni za Wakenya mnajuwa ni wakenya wa jamii ganiwaliowekeza zaidi?
Mii nadhani Wahindi na pengine Wasomali,
sisi Waswahili tunasubiri Vibarua tuu.
Mitaji yetu midogo , Business management zetu ni Poor.
Mswahili kabakia mtu wa Kutumwa tuu na Kulipwaga mishahara.
Tumeyataka Wacha Watunyooshe
Na sasa watafikisha makampuni 1,000+

Watajaa kama Wachina.
Waje tu, watupatie hata kazi za ulinzi na kusafisha ofisi na kuwaoshea magari

Maana sisi tumezubaa tu.
 
Wakenya mambo ya viwanda walianza muda mrefu sana pia taratibu za kujali vya kwao ipo kwenye damu.

Wao waliwahi fursa huku kupitia lugha ya kiingereza ndio maana wengi walifanikiwa hata kama hajasomea lakini lugha inapanda aliheshimiwa.

Pia wabinafsi sana utawekeza Kenya lakini mkenya alifanya hiyo biashara lazima waende kwa mkenya kwanza. Mtizamo wangu
 
Kuna msemo wa kiswahili, huwezi kutajirika kwa jirani yako. Tusiwe na matumaini makubwa sana. UCHUMI WETU UNAKUWA NA KARIBU TUTAWAKUTA ILA TUKIWAACHIA TANZANITE, UTALII, DHAHABU NA MADINI MENGINE WATAZIDI KUSONGA MBELE.
 
Wakenya mambo ya viwanda walianza muda mrefu sana pia taratibu za kujali vya kwao ipo kwenye damu.

Wao waliwahi fursa huku kupitia lugha ya kiingereza ndio maana wengi walifanikiwa hata kama hajasomea lakini lugha inapanda aliheshimiwa.

Pia wabinafsi sana utawekeza Kenya lakini mkenya alifanya hiyo biashara lazima waende kwa mkenya kwanza. Mtizamo wangu
Sisi fedha za umma zinanunua ndege lakini zinaitwa ndege za Lipumba, je mashabiki wa Mbowe watafurahia, ubinafsi wa kipumbavu unatutafuna mkuu
 
When it Comes to Aggressiveness in Business To be Frank Kenyans WAMETUZIDI.
- The Reason is Clear. Bcz After After Independence Tz took Ujamaa Policy which is Non Hostile .
While Kenya took Ubepari na Ukabaila.
Which takes the Form Fit for the Fittest. Belligerent and Struggling.
  • The Result is as what is Seen Now, When it Comes to Private Sectors.
  • Tanzanians may Face a Bit of Hostility when Trying to set up Business, But Gradually with Government Protection, Future Equity is Possible.
 
When it Comes to Aggressiveness in Business To be Frank Kenyans WAMETUZIDI.
- The Reason is Clear. Bcz After After Independence Tz took Ujamaa Policy which is Non Hostile .
While Kenya took Ubepari na Ukabaila.
Which takes the Form Fit for the Fittest. Belligerent and Struggling.
  • The Result is as what is Seen Now, When it Comes to Private Sectors.
  • Tanzanians may Face a Bit of Hostility when Trying to set up Business, But Gradually with Government Protection, Future Equity is Possible.
Please bold this. This is the major reason for the gap between TZ and KE.
 
Kwenye uchumi mkubwa zaidi yetu ni kweli japo tunaweza kuwapiku tuki maintain speed ya ukuaji wa uchumi ndani ya miaka mitano ijayo.

Lakini si kweli kuwa wana wataalam bora na elimu bora zaidi yetu, labda lugha ya kiingereza chenye lafudhi ya kikenya.

Jambo la msingi ni kuwa support watu wetu wanaojaribu ili wakue na kushindana na Makampuni ya nje. Hii iwe Sera rasmi kabisa.

Hilo tu.
 
Kenya ina jumla ya kampuni 529 zinazoendesha shughuli zake nchini Tanzania ambapo zimewekeza Dola za Marekani Bilioni 1.7 na zimeajiri watu 56,260.Hayati Rais Magufuli Tarehe 31 Oktoba, 2016

Tarehe 4 May,2021 Rais Samia Suluhu Hassan. Kenya ina jumla ya kampuni 513 zinazoendesha shughuli zake nchini Tanzania ambapo zimewekeza Dola za Marekani Bilioni 1.7 na zimeajiri watu 51,000.kati ya makampuni 30 tu ya Tanzania yakiwekeza Ksh Bil 19.3 yaliyotoa agira 2600 tu

Mwaka 2016 biashara kati ya Tanzania na Kenya iliongezeka kutoka Shilingi za Kitanzania Bilioni 652.9 hadi Shilingi za Kitanzania Trilioni 2.044

Tatizo ni nini Kwa Watanzania,Nini kifanyike,Tunakwama wapi?
Kenya ina jumla ya kampuni 513 zinazoendesha shughuli zake nchini Tanzania ambapo zimewekeza Dola za Marekani Bilioni 1.7 na zimeajiri watu 51,000.kati ya makampuni 30 tu ya Tanzania yakiwekeza Ksh Bil 19.3 yaliyotoa agira 2600 tu
 
Wakuu
Kenya ina jumla ya kampuni 529 zinazoendesha shughuli zake nchini Tanzania ambapo zimewekeza Dola za Marekani Bilioni 1.7 na zimeajiri watu 56,260.Tanzania sisi sasa Tuna makampuni 30 tu Tumekwama wapi kama Nchi?
Nini kifanyike..Waaalimu...Wahudumu katika hoteli nyingi ni Wakenya wapi wizara zetu na wale watoa maamuzi wanaweka mkakati wa pamoja juu ya hili.

..sio jambo baya.

..usd 1.9 billion zimetoka Kny kuja Tz.

..hebu jiulize fedha kiasi gani za uwekezaji zimetoka Tz kwenda Kny?

..usd 1.9 billion ni mara 6 ya kile kishika uchumba tulichoahidiwa kulipwa na barrick na wanatuzungusha mpaka leo.

..kwenye uwekezaji Tz ndio tumefaidika bcuz as a country we should always look to bring in more investment / money into the country than taking out of the country.

..mahali ambapo tunaweza kuwa tuna MAPUNGUFU ni ktk bidhaa tunazouza Kny.

..moja, tunatakiwa tuuze bidhaa nyingi zaidi Kny kuliko tunavyofanya sasa hivi.

..pili, tunatakiwa tuuze bidhaa zenye thamani zaidi, tuongeze bidhaa za VIWANDANI, badala ya raw materials.

Cc MK254
 
Wakenya ni mabepari hivyo wao kutafuta zaidi kutanuka iko damuni sio sawa na sisi tunaopenda sana kukaa nyumbani hata kama fursa zimebana au zimetanuka nje ya taifa letu.

Hakuna mtu aliyefanikiwa sana kimaisha kwa kutegemea ndugu zake tu lazima uwe na jicho la tai mbele uwatumie hata usiowajua ndipo utafaidika
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom