NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 11,703
- 11,802
Says a pauper from a pauper country.You can teach a lesson to a person who gives you money. Hapo mnajifurahisha tu.
Chinese will understand your lesson if you pay back his money.
Says a pauper from a pauper country.
Haya, ambia Samia Suluhu alipe Deni la Tanzania. Last time I checked, you were asking the international community to forgive you.Dawa ya deni ni kulipa, siyo kuleta ngendembwe hapa.
Unaweza kumpa lesson mChina kwa lipi ulilo nalo???
lakini Kenya haijawai onewa huruma na kusamehewa deni loloteDawa ya deni ni kulipa, siyo kuleta ngendembwe hapa.
Unaweza kumpa lesson mChina kwa lipi ulilo nalo???
lakini Kenya haijawai onewa huruma na kusamehewa deni lolote
Haya, ambia Samia Suluhu alipe Deni la Tanzania. Last time I checked, you were asking the international community to forgive you.
Mkuu, tukitaka loni wakati wowote tunapata tu bila tabu. nyinyi hamuna hata haya mulimpigia magoti rais wa Afrika Kusini kumtaka awaombee loni BRICS akawapuuza.Hayo kawaambieni waChina. Sisi hatuhusiki.
Hilo linasaidia nini kutodaiwa na mChina. Wait for national assets foreclosure.Mkuu, tukitaka loni wakati wowote tunapata tu bila tabu. nyinyi hamuna hata haya mulimpigia magoti rais wa Afrika Kusini kumtaka awaombee loni BRICS akawapuuza.
loni tulizichoka kitambo sana na hatuna haja nazo. jaribu upitie ukurasa wa facebook wa IMF uone Wakenya waliokita kambi huko usiku na mchana kwa mda wa miezi miwili sasa usikie wanasema nini
unaelewa vipi nikikwambia kua Kenya haijawai shindwa kulipa deni hadi kufikia hatua ya kusamehewa?Hilo linasaidia nini kutodaiwa na mChina. Wait for national assets foreclosure.
unaelewa vipi nikikwambia kua Kenya haijawai shindwa kulipa deni hadi kufikia hatua ya kusamehewa?
Na sisi tutalipia,Nyinyi mkingoja kusamehewa🤣🤣Unafikiri wachina wana mapenzi ya kujua hilo!!?
Wanachotaka ni hela yao tu.
Na sisi tutalipia,Nyinyi mkingoja kusamehewa🤣🤣
unaelewa vipi nikikwambia kua Kenya haijawai shindwa kulipa deni hadi kufikia hatua ya kusamehewa?