Kuwe na website maalumu kwa ajili ya wahitimu wanaotafuta kazi

Rebeca 83

JF-Expert Member
Jun 4, 2016
14,840
31,583
Hello JF...

Nimeijibu hii katika one of the topics but nimeona tudiscuss.

Kuna changamoto kubwa sasa hivi kupata ajira kwa wanaohitimu vyuoni.

Hata humu tukiona graduates wakitafuta kazi yoyote itakayowafanya waishi.

MImi leo ningependa kupendekeza kuwe na Facilitator/ Agency katika serikali itakayokuwa inatafuta kazi zile temporary ama long term, skilled ama unskilled jobs specific for graduates.

Kuwe na website mfano. www. ajira kwa wahitimu.gov.tz ambayo wahitimu wanaweza ku apply jobs

Hii haimaanishi watu wengine hawawezi waka apply but iwe kama platfom ambayo inajulikana kwa wanafunzi wanaosoma na waliomaliza kuomba ajira.

Nimeona humu wengi mkishauri wahitimu wafanye lolote kuingiza mkono kinywani, na baadhi wanatuma nyuzi za kutafuta kazi yoyote.

What does this show?

Watu wako willing kufanya kazi yoyote bali they dont know where to turn to.

I think website specific for them, reliable na ya serikali itakua massive help.

What do you think guys, Becky kachemka? LOL
 
Ukweli ni kwamba sekta binafsi inashrink Hali ya Kupata ajira itazidi kuwa mbaya haswa kwa wahitimu.

Kuna kazi nimeiona LinkedIn ya Territory manager ndani ya siku moja wamesha apply watu 300. Kuna shida kubwa Sana ya ajira.

Benki na matajiri Kama kina Bakhresa waingize mitaji na misaada kuwabeba watu Creative na entertainment industry. Sanaa ndio ajira nyingine haijapewa kipaumbele hapa TZ. Waziri sijui anaumizaje kichwa kussupport Creative and entertainment industry.


MFA ijaribu kuwaomba Balozi zetu nje haswa nchi za Africa na Middle east kugombea vijana ajira na kusimamia mikataba stahiki. Balozi wetu Kama Brunei, hata Israel wako advanced kwenye viwanda na high tech. Hizi fellowship sijui Kama mabalozi wanaziomba kweli.
Nchi Kama Iran Ina ajira nyingi lakini inahitaji ushawishi na kuziomba Kama nchi vijana waende huko wakapate ujuzi na ajira.

Kuwepo na Specific policy ya ku export manpower Kama Kenya au Nigeria. Nigeria ukiharibiwa passport ukirudi nyumbani unaomba mpya unapewa fasta ilihali usiwe criminal tuu.
 
Ukweli ni kwamba sekta binafsi inashrink Hali ya Kupata ajira itazidi kuwa mbaya haswa kwa wahitimu.

Kuna kazi nimeiona LinkedIn ya Territory manager ndani ya siku moja wamesha apply watu 300. Kuna shida kubwa Sana ya ajira.

Benki na matajiri Kama kina Bakhresa waingize mitaji na misaada kuwabeba watu Creative na entertainment industry. Sanaa ndio ajira nyingine haijapewa kipaumbele hapa TZ. Waziri sijui anaumizaje kichwa kussupport Creative and entertainment industry.


MFA ijaribu kuwaomba Balozi zetu nje haswa nchi za Africa na Middle east kugombea vijana ajira na kusimamia mikataba stahiki. Balozi wetu Kama Brunei, hata Israel wako advanced kwenye viwanda na high tech. Hizi fellowship sijui Kama mabalozi wanaziomba kweli.
Nchi Kama Iran Ina ajira nyingi lakini inahitaji ushawishi na kuziomba Kama nchi vijana waende huko wakapate ujuzi na ajira.

Kuwepo na Specific policy ya ku export manpower Kama Kenya au Nigeria. Nigeria ukiharibiwa passport ukirudi nyumbani unaomba mpya unapewa fasta ilihali usiwe criminal tuu.
Ok
 
Back
Top Bottom