Viwanja Pacha vyenye Hati Miliki Vinauzwa MBWENI-Maputo

dalalitz

JF-Expert Member
Sep 6, 2013
3,332
1,862
Ni Viwanja 'pacha' kwa Matumizi za Shughuli za makazi.

Vinauzwa vyote kwa pamoja au kimojakimoja.

Eneo: MBWENI-Maputo,
Maarufu kama Kwamasista.

Ukubwa:
Kimoja ni SQM 1227,
Kingine ni SQM 1234.

Jumla Viwanja vyote vina eneo la ukubwa wa SQM.2451.

Umiliki ni HATI MILIKI ya Wizara ya Maendeleo ya Ardhi, Nyumba na Makazi.

Eneo ni zuri na linaloendelea kwa kasi,
Likiwa na Miundo mbinu muhimu kama Barabara nzuri, Mitandao ya Umeme na Maji pia jirani.

Bei ya jumla ni Tshs.100M.
(Milioni Mia Moja) Kwa vyote viwili.

Au

Tshs.50M (Milioni Hamsini tu)
Kwa wahitaji tofauti wa kiwanja kimojakimoja.

ANGALIZO:
Malipo ya DALALI ni 10%
Uonyeshwaji ni Tshs. 50,000
.
(Gharama kwa Mnunuzi)


Maulizo au kwa shida yoyote inayohusu Kuuza/Kununua/Kupanga-Nyumba, Vyumba, Ofisi, Maghala nk.

Usisite kuwasiliana Nami:+255714591548
 
Hahaa, madalali bana, yaani ni toe MILIONI KUMI kabsaaaaa kama asilimia 10 ya udalali. Na hapo bado utakuta kiwanja umeshakiwekea cha juu. Kazi mnayo usawa huu.
 
Ni Viwanja 'pacha' kwa Matumizi za Shughuli za makazi.

Vinauzwa vyote kwa pamoja au kimojakimoja.

Eneo: MBWENI-Maputo,
Maarufu kama Kwamasista.

Ukubwa:
Kimoja ni SQM 1227,
Kingine ni SQM 1234.

Jumla Viwanja vyote vina eneo la ukubwa wa SQM.2451.

Umiliki ni HATI MILIKI ya Wizara ya Maendeleo ya Ardhi, Nyumba na Makazi.

Eneo ni zuri na linaloendelea kwa kasi,
Likiwa na Miundo mbinu muhimu kama Barabara nzuri, Mitandao ya Umeme na Maji pia jirani.

Bei ya jumla ni Tshs.100M.
(Milioni Mia Moja) Kwa vyote viwili.

Au

Tshs.50M (Milioni Hamsini tu)
Kwa wahitaji tofauti wa kiwanja kimojakimoja.

ANGALIZO:
Malipo ya DALALI ni 10%
Uonyeshwaji ni Tshs. 50,000
.
(Gharama kwa Mnunuzi)


Maulizo au kwa shida yoyote inayohusu Kuuza/Kununua/Kupanga-Nyumba, Vyumba, Ofisi, Maghala nk.

Usisite kuwasiliana Nami:+255714591548
Kwa hiyo bwana dalali muda ulioutumia kuandika hili tangazo lako gharama yake ni millioni 10? unajua value for money kweli?? JF unawalipa sh. ngapi kwenye hiyo milioni 10? madalali ndio huwa mnafanya watu wasihamini kazi zenu, hiyo asilimia 10 ya udalali sijui mliitoa wapi au mwingine anakwambia utanipa kodi mwezi mmoja, bulshit, Ningekua nanunua hivyo viwanja nakupa Laki mbili tu hutaki acha.
 
Kwa hiyo bwana dalali muda ulioutumia kuandika hili tangazo lako gharama yake ni millioni 10? unajua value for money kweli?? JF unawalipa sh. ngapi kwenye hiyo milioni 10? madalali ndio huwa mnafanya watu wasihamini kazi zenu, hiyo asilimia 10 ya udalali sijui mliitoa wapi au mwingine anakwambia utanipa kodi mwezi mmoja, bulshit, Ningekua nanunua hivyo viwanja nakupa Laki mbili tu hutaki acha.
So bila yeye ungekijulia wapi hcho kiwanja,
 
Ni Viwanja 'pacha' kwa Matumizi za Shughuli za makazi.

Vinauzwa vyote kwa pamoja au kimojakimoja.

Eneo: MBWENI-Maputo,
Maarufu kama Kwamasista.

Ukubwa:
Kimoja ni SQM 1227,
Kingine ni SQM 1234.

Jumla Viwanja vyote vina eneo la ukubwa wa SQM.2451.

Umiliki ni HATI MILIKI ya Wizara ya Maendeleo ya Ardhi, Nyumba na Makazi.

Eneo ni zuri na linaloendelea kwa kasi,
Likiwa na Miundo mbinu muhimu kama Barabara nzuri, Mitandao ya Umeme na Maji pia jirani.

Bei ya jumla ni Tshs.100M.
(Milioni Mia Moja) Kwa vyote viwili.

Au

Tshs.50M (Milioni Hamsini tu)
Kwa wahitaji tofauti wa kiwanja kimojakimoja.

ANGALIZO:
Malipo ya DALALI ni 10%
Uonyeshwaji ni Tshs. 50,000
.
(Gharama kwa Mnunuzi)


Maulizo au kwa shida yoyote inayohusu Kuuza/Kununua/Kupanga-Nyumba, Vyumba, Ofisi, Maghala nk.

Usisite kuwasiliana Nami:+255714591548


kaka huo ni udalali au ???........
 
Ni Pacha au Pasha sijaelewa hapo
Ukiona kitu hukielewi usilazimishe kukijua.
Uwezekano ni kuwa hakikuhisu.
Hushangai swali Hilo umeliuliza wewe tu?
Au wanaouliza mengine na kupuuza ulichouliza hapa ni Wajinga?
Hovyooo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom