dalalitz
JF-Expert Member
- Sep 6, 2013
- 3,332
- 1,862
Ni Viwanja 'pacha' kwa Matumizi za Shughuli za makazi.
Vinauzwa vyote kwa pamoja au kimojakimoja.
Eneo: MBWENI-Maputo,
Maarufu kama Kwamasista.
Ukubwa:
Kimoja ni SQM 1227,
Kingine ni SQM 1234.
Jumla Viwanja vyote vina eneo la ukubwa wa SQM.2451.
Umiliki ni HATI MILIKI ya Wizara ya Maendeleo ya Ardhi, Nyumba na Makazi.
Eneo ni zuri na linaloendelea kwa kasi,
Likiwa na Miundo mbinu muhimu kama Barabara nzuri, Mitandao ya Umeme na Maji pia jirani.
Bei ya jumla ni Tshs.100M.
(Milioni Mia Moja) Kwa vyote viwili.
Au
Tshs.50M (Milioni Hamsini tu)
Kwa wahitaji tofauti wa kiwanja kimojakimoja.
ANGALIZO:
Malipo ya DALALI ni 10%
Uonyeshwaji ni Tshs. 50,000.
(Gharama kwa Mnunuzi)
Maulizo au kwa shida yoyote inayohusu Kuuza/Kununua/Kupanga-Nyumba, Vyumba, Ofisi, Maghala nk.
Usisite kuwasiliana Nami:+255714591548
Vinauzwa vyote kwa pamoja au kimojakimoja.
Eneo: MBWENI-Maputo,
Maarufu kama Kwamasista.
Ukubwa:
Kimoja ni SQM 1227,
Kingine ni SQM 1234.
Jumla Viwanja vyote vina eneo la ukubwa wa SQM.2451.
Umiliki ni HATI MILIKI ya Wizara ya Maendeleo ya Ardhi, Nyumba na Makazi.
Eneo ni zuri na linaloendelea kwa kasi,
Likiwa na Miundo mbinu muhimu kama Barabara nzuri, Mitandao ya Umeme na Maji pia jirani.
Bei ya jumla ni Tshs.100M.
(Milioni Mia Moja) Kwa vyote viwili.
Au
Tshs.50M (Milioni Hamsini tu)
Kwa wahitaji tofauti wa kiwanja kimojakimoja.
ANGALIZO:
Malipo ya DALALI ni 10%
Uonyeshwaji ni Tshs. 50,000.
(Gharama kwa Mnunuzi)
Maulizo au kwa shida yoyote inayohusu Kuuza/Kununua/Kupanga-Nyumba, Vyumba, Ofisi, Maghala nk.
Usisite kuwasiliana Nami:+255714591548