Mkuu, we huoni kuwa hizo picha zina tofauti sana!?
Lkn maisha yao si yanaenda??.Wengine tumefika hapa tulipofika kwasababu ya mshahara wa walimu,Mungu uwabariki Walimu wote,popote pale walipo.Nawapenda sana Walimu ningekuwa uwezo ningerudisha fadhila kwa kila mwalimu lkn basi mimi si chochote,Nawaombea tu kwa Mungu muweza wa yote.
Kuna baadhi ya maeneo mjini Dereva wa boda boda anaingiza hela kuliko Mwalimu
Kwani aliyekwambia Walimu hawaingizi hela ni nani?.Acha kukariri maisha,kuna Walimu ni mabig boss huwezi amini yaani.Binafsi niliwahi kuishi Nyumba ya kupanga pale Mbeya Mjini inayomilikiwa na Mwalimu,Yule Mwalimu alikuwa vizuri kiuchumi hatari,alikuwa anamiliki Nyumba za kupangisha,zipo km Kota hivi,Gari la kutembelea,Duka la spare za Gari na Pikipiki,Mashamba makubwa ya Viazi,Mradi wa nguruwe,n.k.Kuna baadhi ya maeneo mjini Dereva wa boda boda anaingiza hela kuliko Mwalimu
Mkuu hii dhana huwa ina upotofu kidogo na lengo la kuwashusha wanafunzi wa sasa maana hata wakati huo hadi darasa la tano watu wengi tu walikuwa hawajui kusoma ila hawakuwa wengi kwa sababu hata wanafunzi hawakuwa wengi.