ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 42,869
- 49,554
Uzalendo kwanza,
Wakuu hii hali ya Serikali ya CCM awamu ya tano kufanya biashara ambazo sie wananchi tumejiajiri nazo ni jambo la kushangaza sana.Imagine kwa sasa wamefikia hatua ya kufyatulisha matofali ya kuuza kwa kupitia halmashauri ,magereza, JKT nk
Hivi kwa hali hii tutaishije? Saizi wameanzisha kampuni binafsi za ulinzi via suma jkt,polisi,magereza,migambo nk,ikumbukwe kazi hizi tulikuwa tunaomba kama tenda za huduma kwa sekta binafsi na Serikalini kwa sasa haitawezekana tena maana watajipa.Kampuni binafsi za ukandarasi wa majengo zilishajifia maana hizo kazi serikali inafanya yenyewe.
Kwa mfano kwa sie watu wa Tunduma tulikuwa tunajiajiri kwa kuanzisha parking yards tunapata chochote lakini kwa sasa serikali inajenga parking zao maelfu ya ekari ,hii inamaana watawalazimisha madereva wa malori kwenda kupaki maeneo yao halafu sisi tutapigwa jua.
Ifike mahala CCM na Serikali yao wajitafakari wanataka sie wananchi tufanye shughuli gani maana wameacha jukumu lao la msingi kututengenezea mazingira wezeshi tufanye biashara wao wakusanye kodi sasa nao wanaanza kufanya biashara hadi za mama ntilie,kukodisha frame nk nk, tunakwenda wapi mbona tunatiana kwenye umaskini?
Ina maana kwa miaka 5 ijayo huyu Magu akipita tutakuwa wanyonge square sio kwa hali hii,wananchi wenzangu tujitafakari kuichagua ccm maana sijui tutajiajiri kwa kazi gani sasa.
Wakuu hii hali ya Serikali ya CCM awamu ya tano kufanya biashara ambazo sie wananchi tumejiajiri nazo ni jambo la kushangaza sana.Imagine kwa sasa wamefikia hatua ya kufyatulisha matofali ya kuuza kwa kupitia halmashauri ,magereza, JKT nk
Hivi kwa hali hii tutaishije? Saizi wameanzisha kampuni binafsi za ulinzi via suma jkt,polisi,magereza,migambo nk,ikumbukwe kazi hizi tulikuwa tunaomba kama tenda za huduma kwa sekta binafsi na Serikalini kwa sasa haitawezekana tena maana watajipa.Kampuni binafsi za ukandarasi wa majengo zilishajifia maana hizo kazi serikali inafanya yenyewe.
Kwa mfano kwa sie watu wa Tunduma tulikuwa tunajiajiri kwa kuanzisha parking yards tunapata chochote lakini kwa sasa serikali inajenga parking zao maelfu ya ekari ,hii inamaana watawalazimisha madereva wa malori kwenda kupaki maeneo yao halafu sisi tutapigwa jua.
Ifike mahala CCM na Serikali yao wajitafakari wanataka sie wananchi tufanye shughuli gani maana wameacha jukumu lao la msingi kututengenezea mazingira wezeshi tufanye biashara wao wakusanye kodi sasa nao wanaanza kufanya biashara hadi za mama ntilie,kukodisha frame nk nk, tunakwenda wapi mbona tunatiana kwenye umaskini?
Ina maana kwa miaka 5 ijayo huyu Magu akipita tutakuwa wanyonge square sio kwa hali hii,wananchi wenzangu tujitafakari kuichagua ccm maana sijui tutajiajiri kwa kazi gani sasa.