jamiiforums

About Jamii Forums
logox.png

JAMII FORUMS (JF) is a Non-Governmental Organization that advocates and promotes Civil and Digital Rights, Social Justice, Accountability, Democracy and Good Governance. It has helped Human Rights Defenders to remain safe online, enhance digital skills for various CSOs and using content engagement in amplifying their work on its platforms across Social Media.

JF operates JamiiForums.com, Tanzania’s famous digital content platform with its Social Media pages, well known for Stories of Change with a proven track record in public engagement around critical social issues reaching over 3,000,000 people daily. JamiiForums.com was found in March 2006.


Focus Areas
  • Amplification of Citizen Voices
  • Access to the Right Information
  • Data Privacy and Protection
  • Digital Rights Advocacy
  • Promotion of Stories of Change
  1. osmaney

    Unafikiria nini kuhusu Wanawake wa JamiiForums?

    Habari za mda huu wanaJf Poleni na majukumu (kwa wale wataftaji) Hongera kwao pia. MUNGU awajalie katika utaftaji wenu (kwa wale wafanyao shughuli halali) Kama kichwa kinavyojieleza pale juu.. kwa kuanza na Mimi nafikiria kwamba 1. Wapole 2. Wanaakili za maisha 3. Wengi wao ni umri (25_35)...
  2. GENTAMYCINE

    Maisha ya huku Kijijini nchini Rwanda yananifanya niwe mbali kwa muda sasa na wana JamiiForums na kiukweli nimewamisi mno

    Pokeeni Salamu zenu nyingi kabisa kutoka hapa Nyumbani Mkoani Gisenyi nchini Rwanda. Nashindwa kuwa nanyi mara kwa mara kwakuwa huku Kijijini ( Shambani ) nilipo kuna muda Mtandao haukamati kabisa. Za huko Tanzania Marafiki zangu. Vipi Rais JPM anaendeleaje? Klabu yangu pendwa ya Simba...
  3. Babu Kijiwe

    Wanachama wengi wa JamiiForums ni mashabiki wa TBC1

    Nianze kwa kulipongeza shirika letu la utangazaji Tanzania kwa maboresho makubwa katika vipindi, teknolojia na ubunifu hususani katika awamu hii ya 5. Tumeshuhudia maana hasa ya shirika la utangazaji la UMMA. Katika jukwaa hili wapo wengi ambao hujinadi kuwa hawaitazami kabisa TBC1 lakini baada...
  4. Mzukulu

    Legal Gurus mliopo hapa JamiiForums hebu tusaidieni katika hili kwani nahisi kuna Watu wanakwepa wajibu wao

    Kwa ninavyojua Mimi ni kwamba kama ukiwa na Usafiri wako na ukaenda Ofisi fulani au katika Duka fulani (hasa hizi Supermarkets) mbalimbali na bila Kusahau na Mahotelini basi Mwenye Dhamana na Ulinzi wa Chombo chako cha Moto (Gari) ni hao wenye Kampuni au Sehemu husika ambayo unakwenda kupata...
  5. Maxence Melo

    JF Scheduled Maintenance: June 13, 2020

    Wakuu, Leo usiku wa manane, kati ya saa 8 na saa 10, tutakuwa na marekebisho kadha wa kadha katika miundombinu yetu yanayoweza kupelekea kusimama kwa baadhi ya huduma (na wakati flani huduma zote kusimama). Hii ni katika kuimarisha zaidi miundombinu yetu na kuongeza uwezo wa kuhimili...
  6. Mzukulu

    Wanachama ( Members ) hawa ambao inasemekana ni Maarufu sana Kimichango hapa JamiiForums wamepotelea wapi?

    1. Sky Eclat 2. Baba Swalehe 3. britanicca 4. The Boss 5. Nifah 6. miss chagga 7. GENTAMYCINE 8. MAWAZO UJENZI 9. Ruttashobolwa 10. Ukwaju 11. pakaywatek
  7. Maxence Melo

    Ignore list on JamiiForums: Maboresho ya mwaka 2020

    Wakuu, Kumekuwepo maombi ya wadau wakitaka kuweza kutoona aidha wanachoandika watu fulani au kutoona content kutoka forum fulani au contents za thread fulani tu. Naam, tumelifanyia kazi hili na sasa unaweza kufanya hivyo. ZINGATIA: Ignore list yako inakuwa hapa mara zote...
  8. Maxence Melo

    Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala katika JamiiForums

    Wakuu, Mwongozo huu tunauweka hapa ili wadau mtoe maoni kwani inawezekana wengi hamjausoma. Una mabadiliko kidogo lakini umekuwepo muda mrefu. Bandiko kuu lisilojadiliwa lipo hapa: JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala Unaweza kutoa maoni yako ili...
  9. Malaika Gabrieli

    Member mpya ndani ya JAMIIFORUMS

    Habari zenu member wa JamiiForums. binafsi nina furaha sana kujiunga katika mtandao huu wa kijamii (JamiiForums), naomba kukaribishwa.
  10. Titicomb

    Je unajua kwamba yawezekana kuna watu wanajuwa nywira(password) yako ya Jamiiforums, Google, internet banking na kwingineko?

    Leo nataka nikujuze kwanini kuna wakati baadhi yetu tuna watuhumu kimakosa JF wana mtu anayetoa siri za watumiaji wake waliojisajiri kumbe hawahusiki . Unakumbuka wakati flani kuna account ya mwana JF mwenye jina la jamaa mmoja maarufu mtandao wa twitter iliwekwa wazi account yake kwenye...
  11. Roving Journalist

    Kesi namba 456 ya 2016 JamiiForums vs Jamhuri, Kisutu: Maxence Melo ahukumiwa Mwaka jela au faini ya Tsh. Mil 3. Mwenzake aachiwa huru

    Kesi namba 456 ya mwaka 2016 inawakabili Mkurugenzi wa Jamii Media Ndg. Maxence Melo na mwana hisa mwenzake Micke William itasomwa leo Aprili 08, 2020 mbele ya Hakimu Thomas Simba kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam. Hukumu hii awali ilipangwa kutolewa Novemba 26, 2019...
  12. Erythrocyte

    COVID-19 : Naibu Waziri wa Afya aipongeza JamiiForums kwa elimu iliyotukuka

    Dr Faustine Ndungulile ambaye ni Naibu Waziri wa Afya ameipongeza na kuishukuru Jf kwa uchambuzi makini na kuelimisha Jamii kuhusu Ugonjwa wa Corona . Hii ni heshima kubwa sana kwa Wanachama wote wa JF Wito: Tuendelee kuelimisha wananchi wenzetu namna bora ya kujikinga na Corona . Mungu...
  13. Roving Journalist

    Kesi namba 458 (Jamhuri v JamiiForums) yaahirishwa tena kwa kukosekana Shahidi. Mara ya mwisho kuwa na Shahidi ni Novemba 12, 2018

    Kesi namba 458 ya mwaka 2016 (Jamhuri dhidi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Jamii Media, Maxence Melo na mwenzake Mike William) imeendelea leo tarehe 23 Machi 2020 mbele ya Hakimu Huruma Shaidi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Katika shtaka la pili kwenye Kesi hiyo, Watuhumiwa wanashtakiwa kwa...
  14. Asha D Abinallah

    Kutoka JamiiForums: Kliniki ya Kidigitali Maalum kwa Wanawake katika kumsheherekea Mwanamke

    Habari Wakuu, Siku ya kusheherekea siku ya Mwanamke duniani, inahusu si wanawake tu, bali hata wanaume pia. Hii ni siku maalum ya kila mwanadamu kutambua umuhimu na nafasi ya Mwanamke kwa kumwangalia kama mwanadamu na si kwa vigezo vya sifa ya kuzaliwa Mwanamke. Na kwamba anastahili haki na...
  15. Erythrocyte

    Balozi wa Uingereza, Sarah Cooke atembelea Makao Makuu ya JamiiForums

    Amekutana na maofisa, wafanyakazi pamoja na Mkurugenzi wao. Amefurahishwa sana na namna JF inavyowahudumia wateja wake. Mungu ibariki JF ====== BALOZI WA UINGEREZA ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA JAMIIFORUMS Balozi wa Uingereza, Sarah Cooke leo Machi 06, 2020 ametembelea Makao Makuu ya JamiiForums...
  16. Babu Kijiwe

    Kama hii ni kweli, basi tumefika pabaya sana

    =========== UPDATES NIDA WATOA UFAFANUZI
  17. Roving Journalist

    Kesi na. 456 (Jamhuri v JamiiForums): Hukumu yaahirishwa kwa mara ya nne

    Kesi namba 456 (Jamhuri v Maxence Melo na mwenzake Micke William) ambapo Kampuni ya Oilcom iliandikwa katika mtandao wa JamiiForums ikidaiwa kukwepa kodi na kuchakachua mafuta bandarini Dar imeahirishwa tena leo Februari 19, 2020 hadi Aprili 02, 2020. Hukumu hii awali ilipangwa kusikilizwa...
  18. Chaliifrancisco

    Tuiunge Mkono JamiiForums Katika Tanzania Digital Awards

    Habari za jioni wakuu. Katika pitapita zangu mitandaoni nimekutana na hii Tanzania Digital Awards na katika kupekua pekua nikaona kuna category ambayo hata mtandao wetu pendwa wa JF na Maxence Melo wapo kwenye kinyang'anyiro. Hivyo basi nikaona haina budi kuweka uzi hapa kuwajulisha (ambao...
  19. Superbug

    JamiiForums ikikosa thread mpya kwa siku afya yangu inatetereka

    Jf inanipa uraibu mbaya Sana nimeshafanya kautafiti Yani kukiwa hakuna nyuzi mpya katika majukwaa yote huwa afya yangu inapata shida . Mfano mafua makali Kichwa kuuma Mwili kuchoka haraka Kushindwa kufanya maamuzi kwa wakati nk. Je nifanyaje niondokane na huu uraibu wa jf? Kuna wakati...
  20. Invisible

    Mijadala gani hufungwa au kufutwa kabisa katika JamiiForums?

    Baadhi ya watu wamekuwa wakijaribu kuupindisha ukweli ndani ya JF na kuanza kuwafanya watumiaji wa JF kudhani kuwa aidha wanaonewa au kuna jambo nyuma ya pazia. Ni wakati muafaka wa kuwafahamisha watumiaji wa JF (wanachama na wasio wanachama) nini hufanywa na moderators na kwa misingi ipi...
Back
Top Bottom