Uchaguzi 2020 Mwana JamiiForums Happiness Essau, achukua fomu ya Ubunge Jimbo la Bukoba

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,802
11,961
Happiness Essau ALITAKA JIMBO LA BUKOBA MJINI, AJITOSA KUCHUKUA FOMU
WhatsApp Image 2020-07-16 at 8.15.14 AM.jpeg

Bi Happiness Essau akikabidhiwa fomu yake ya kugombea Ubunge Jimbo la Bukoba Mjini kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
WhatsApp Image 2020-07-16 at 8.11.59 AM.jpeg

Bi Happiness Essau amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea Ubunge wa Jimbo la Bukoba Mjini kupitia (CCM).
 
Roving Journalist, Ok noted

Chama kinatiwa najisi cha mapinduzi

Chama kimegeuzwa sehemu ya kuonyeshea maigizo

Dunia ina vituko sana na vichekesho zaidi

Wasiojielewa na mbumbumbu wote wanachukua fomu ili wakatunge sheria zikatumike mahakamani

Kuna watia nia wengine ukiwaangalia sura zao tu inaonyesha hawaelewi kazi ya mbunge na kazi ya bunge

Hii ni fedhea kukidhalilisha chama cha mapinduzi,Watu wanakiabisha chama

Kwa hiyo ukiondoa wale wahamihaji toka chadema na wajenga hoja toka chadema,Chamani tumebaki na steve Nyerere na Mpoki comedian kweli?

Hivi Mpoki na Steve wanaweza chambua vifungu vya sheria bungeni?

Kuna kitu hakipo sawa chamani,Sasa mbumbumbu na wasiojielewa wa
megeuza chama sehemu ya maonyesho na kuvaa nguo za kijani,

Hii ni aibu kuu
Nasema wamekidhalilisha chama


Matapeli na wasanii wasio na kazi maalum wamo

Hii ni aibu kuu
 
Roving Journalist, Ok noted

Chama kinatiwa najisi cha mapinduzi

Chama kimegeuzwa sehemu ya kuonyeshea maigizo

Dunia ina vituko sana na vichekesho zaidi

Wasiojielewa na mbumbumbu wote wanachukua fomu ili wakatunge sheria zikatumike mahakamani

Kuna watia nia wengine ukiwaangalia sura zao tu inaonyesha hawaelewi kazi ya mbunge na kazi ya bunge

Hii ni fedhea kukidhalilisha chama cha mapinduzi,Watu wanakiabisha chama

Kwa hiyo ukiondoa wale wahamihaji toka chadema na wajenga hoja toka chadema,Chamani tumebaki na steve Nyerere na Mpoki comedian kweli?

Hivi Mpoki na Steve wanaweza chambua vifungu vya sheria bungeni?

Kuna kitu hakipo sawa chamani,Sasa mbumbumbu na wasiojielewa wa
megeuza chama sehemu ya maonyesho na kuvaa nguo za kijani,

Hii ni aibu kuu
Nasema wamekidhalilisha chama

Watembea nusu uchi,na wavaa hovyo wote wanatia nia ccm kweli?

Wazinzi na makahaba wamo

Matapeli na wasanii wasio na kazi maalum wamo

Hii ni aibu kuu
Unamhukumu vipi mtu kupitia sura au muonekano wake?
 
Roving Journalist, Ok noted

Chama kinatiwa najisi cha mapinduzi

Chama kimegeuzwa sehemu ya kuonyeshea maigizo

Dunia ina vituko sana na vichekesho zaidi

Wasiojielewa na mbumbumbu wote wanachukua fomu ili wakatunge sheria zikatumike mahakamani

Kuna watia nia wengine ukiwaangalia sura zao tu inaonyesha hawaelewi kazi ya mbunge na kazi ya bunge

Hii ni fedhea kukidhalilisha chama cha mapinduzi,Watu wanakiabisha chama

Kwa hiyo ukiondoa wale wahamihaji toka chadema na wajenga hoja toka chadema,Chamani tumebaki na steve Nyerere na Mpoki comedian kweli?

Hivi Mpoki na Steve wanaweza chambua vifungu vya sheria bungeni?

Kuna kitu hakipo sawa chamani,Sasa mbumbumbu na wasiojielewa wa
megeuza chama sehemu ya maonyesho na kuvaa nguo za kijani,

Hii ni aibu kuu
Nasema wamekidhalilisha chama

Watembea nusu uchi,na wavaa hovyo wote wanatia nia ccm kweli?

Wazinzi na makahaba wamo

Matapeli na wasanii wasio na kazi maalum wamo

Hii ni aibu kuu
✔✔✔✅✅
 
Back
Top Bottom