jamiiforums

About Jamii Forums
logox.png

JAMII FORUMS (JF) is a Non-Governmental Organization that advocates and promotes Civil and Digital Rights, Social Justice, Accountability, Democracy and Good Governance. It has helped Human Rights Defenders to remain safe online, enhance digital skills for various CSOs and using content engagement in amplifying their work on its platforms across Social Media.

JF operates JamiiForums.com, Tanzania’s famous digital content platform with its Social Media pages, well known for Stories of Change with a proven track record in public engagement around critical social issues reaching over 3,000,000 people daily. JamiiForums.com was found in March 2006.


Focus Areas
  • Amplification of Citizen Voices
  • Access to the Right Information
  • Data Privacy and Protection
  • Digital Rights Advocacy
  • Promotion of Stories of Change
  1. WE ARE ANONYMOUS

    Vipi kama JF nayo ingekua na button ya Followers

    Ukienda kule Instagram, Twitter na Facebook, followers ndio habari. Hadi watanzania wengine wanauza account zenye followers wengi. Najaribu ku imagine kama JamiiForums ingekua na kitufe cha Followers, unahisi nani angekuwa na Followers wengi, na je mnaonaje hii feature ikiwa introduced hapa JF?
  2. Superbug

    GE2020 Je, Tundu Lissu anasoma michango yetu humu JamiiForums?

    Hivi Mh TAL ANASOMA post zetu sisi wapenzi wake ambao tunamkubali mno kuliko maelezo? Je tal anamjua/ anazijua I'd hizi? Sky eclat Erthrocyte Na wengineo? Je nitahakikisha vipi tal amesoma post yangu? Basi kupitia Uzi huu nimuombe tal afungue I'd yake ambayo ni verified ili tuweze...
  3. S

    Hospitali ya Taifa Muhimbili yajibu hoja za Wana JamiiForums kuhusu vifo Hospitali ya Muhimbili-Mloganzila

    TAARIFA KWA UMMA KUHUSU TUHUMA ZINAZOSAMBAA MITANDAONI KWAMBA WAGONJWA WENGI WANAPOTEZA MAISHA KATIKA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI-MLOGANZILA. Dar es Salaam. 06 Januari, 2020 Kumekuwa na taarifa kwenye mitandao ya kijamii ikiwemo Jamii Forum ambazo bila kuchanganua zinatuhumu kwamba...
  4. Bubu Msemaovyo

    JamiiForums is the best social media in Tanzania

    Wana JF, Hadi kufikia leo hii mimi binafsi nimeelimika sana tangu nilipojiunga na JamiiForums miaka kadhaa iliyopita. Ni jukwaa ambalo wanachama wake ni kutoka kila fani nchini Tanzania. Kwa masuala yoyote ya Siasa, Jamii, Uchumi na Michezo; vyote vipo JF. Ni media ambayo hufichua maovu...
  5. J

    RPC wa Dodoma, Afande Muroto aituhumu JamiiForums kwa kupotosha taarifa za kifo cha Sheikh Rashid Bura

    Sheikh Bura alikutwa amekufa ndani ya ofisi yake. Afande Muroto anasema sababu ya kifo ni moyo wa Sheikh Bura " kufeli. " Taarifa za watu wengine zinadai mwili wa marehemu ulikutwa na majeraha matatu. Zaidi, soma: Polisi: Mmiliki wa shule ZamZam amefariki kwa matatizo ya moyo, hakuna...
  6. isajorsergio

    Je! Tutegemee filamu kutoka kwa JamiiForums? Da'Vinci, Kiranga, Sky Eclat, Zero IQ, Kawe Alumni, Fortaleza na wengineo ndani

    kumekuwa na matukio mbalimbali yanayojiri Tanzania,. Je, ni muda sasa kueleza matukio hayo kwa filamu? Tutegemee filamu kutoka kwa JamiiForums? Ikiwa wapo wataalamu wa masuala mbalimbali na kila aina ya watu hapa JF Tunaweza kushuhudia kitu kutoka kwa Da'Vinci, Kiranga, Sky Eclat, Zero IQ...
  7. Babu Kijiwe

    Vidubwasha vya JamiiForums

    Kuanzia Jana nikiwasha PC na kuingia JF kuna vidubwasha vyeupe vinakuwa vinapita pembeni ya screen kama vinaanguka chini, VINANIKERA BALAA. Sijui vina maana gani, viangalie kwenye video hii
  8. B

    Mmiliki wa JamiiForums awajibu wanaosema anatumiwa na mabeberu, baada ya kuitwa ikulu Marekani

    December 16, 2019 Mwanzilishi wa JamiiForums akizungumzia kuhusu tuzo aliyopewa hivi karibuni na jinsi mtandao huu unavyokabiliana na hali ngumu ya kutenda kazi hasahasa tukiangazia mazingira ya sasa Tanzania. Hofu inajengwana na waandishi wenyewe lakini kama mitandao inafuata sheria na kanuni...
  9. GENTAMYCINE

    Wana JamiiForums wote ' tuliokwazika ' na Bondia Hassan Mwakinyo ' tumsamehe ' kwani hatimaye amemuomba Radhi ' Legend ' Rashid Matumla

    Nikiwa kama Mmoja wa Watu niliochukizwa kama siyo kukasirishwa na Kitendo Bondia Mwakinyo cha Kumdhihaki Bondia mwenye Historia iliyotukuka hapa Tanzania Rashid Matumla hadi GENTAMYCINE nikaanzisha Uzi wa Kumsema ambao uliibua Hasira Kali za Watanzania zilizosambaa sehemu mbalimbali hatimaye leo...
  10. GENTAMYCINE

    Wana JamiiForums wote ' tuliokwazika ' na Bondia Hassan Mwakinyo ' tumsamehe ' kwani hatimaye amemuomba Radhi ' Legend ' Rashid Matumlla

    Nikiwa kama Mmoja wa Watu niliochukizwa kama siyo kukasirishwa na Kitendo Bondia Mwakinyo cha Kumdhihaki Bondia mwenye Historia iliyotukuka hapa Tanzania Rashid Matumla hadi GENTAMYCINE nikaanzisha Uzi wa Kumsema ambao uliibua Hasira Kali za Watanzania zilizosambaa sehemu mbalimbali hatimaye leo...
  11. britanicca

    Serikali Kuu ya JamiiForums

    Waacha wagawianeni vyeo lakini tumamua kuunda serikali kuu yetu hapa JF Rais - Mheshimiwa Kiranga Makamu wa Rais- Shunie Waziri Mkuu- Pascal Mayalla Msemaji wa Serikali Mwifwa Waziri Wa nchi ofisi ya Rais- GuDume Waziri wa Mipango na Fedha - BAK Waziri Wa mambo ya nje Nyani Ngabu Waziri Wa...
  12. Paula Paul

    Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

    Hi, I used to think that reading was boring until I found books that really sparked my interest. Reading became important to me because it’s fun and it teaches me new things. It keeps my mind active and inshape and it makes a difference for me if I go long periods without reading books, my mind...
  13. mathsjery

    Mtazamo:Jambo la kuzingatia unapoomba msaada katikati ya watu wengi au jamii

    Unapojaribu kuomba msaada sehemu yoyote katika jamii uishiyo, Si vyema ukasimama mbele ya watu na kuomba msaada mtu kwa kutamka jina lake unaweza jijengea au kujitengeneza balaa fulani la kukosa msaada unaoeleweka kabisa. Kama unaona hamna anayeweza kukusaidia mfuate mtu unayemwamini kwa Siri...
  14. S

    Msemaji wa Serikali, huoni umuhimu wa kuwa na account hapa JamiiForums?

    Ndugu kiongozi,kama unaweza kuwa na account twitter na kwenye mitanda msingine,ni kwanini huoni umuhimu wa kuwa na account hapa JamiiForums ili muweze kujibu na kutolea ufafanunuzi wa mambo mbalimbali yanayoihusu serikali na pia Kuitumia account hiyo kutolea taarifa za mambo mbalimbali...
  15. S

    Nionavyo mimi na kusema kupitia kalamu yangu ya JamiiForums

    "One of the big problems of this country is that, the smart and the intelligent people in this country have only forums to express their views and ideas; whereas, the less intelligent, have not only forums to express their views and ideas, but also have non-written powers and mandate to misuse...
  16. M

    Any expert help me please

    How would you respond to to a challenge from a major shareholders, whose concern is that "Attractive supply prices are being offered overseas only because of international agreement on fair labour rate are being floated.
  17. N

    Tabia ya Rais kuwataja kwa majina TISS ni kutokujua miiko au ni sifa?

    naam katika awamu hii mambo mengi ambayo raia wa kawaida ilikua ni nadra sana kuyajua au ni vigumu kuyajua imekuwa ni jambo la kawaida sana kuyasikia.. najua kila nchi huwa inataratibu zake za ulinzi na namna ya kupata taarifa muhimu zitakazoisaidia nchi katika masuala mbalimbali ya...
  18. B

    Use samsung health on a rooted device

    How to Use Samsung Health on a rooted device
  19. reyzzap

    Tembelea JamiiForums bure (bila kifurushi) kwa kutumia Freebasics

    Tusitiane njaa, internet.org (Freebasics) ni huduma ya internet bure kwa nchi zinazoendelea, ilianzishwa na Mark Zugerberg (Mmiliki wa Fb), Mwaka 2013. Njoo hapa kwanza ili uelewe vizuri, Si unajua fb unaweza ukaingia bila bando? Voda, tigo na airtel kila siku wanatangaza, basi ujue yale ni...
  20. Geza Ulole

    Tanzania’s anti-corruption government is stifling the “Swahili Wikileaks”

    Africa SUSPENDED REALITY Tanzania’s anti-corruption government is stifling the “Swahili Wikileaks” Abdi Latif Dahir December 12, 2017 Not so rosy presidency. (AP Photo/Khalfan Said) Dar es Salaam Maxence Melo is a man who knows the insides of Tanzania’s courthouses all too well. In...
Back
Top Bottom