Katika saikolojia, kauli ya “kila mtu ana kichaa chake”
wewe Fanya observation utaona
Kila mtu ana tabia, fikra, au hisia zisizo za kawaida au tofauti na wengine, hata kama si ugonjwa wa akili.
Inaweza kumaanisha pia kuwa hakuna mtu mkamilifu kiakili
kila mtu ana mapambano yake ya ndani...
afya ya akili
akili
binadamu
ccm
chadema
characters
elimu
facts
jamiiforums
jitambue
marco seth
mental
mijadala
mind
new posts
no reform no election
psychology
samiah
tabia
tanzania
trending
ufahamu
ukichaa
Nimedesign clone ya Jamii Forums app kwa kutumia Flutter, nikiwa nimefanya marekebisho machache (UI/UX na baadhi ya features) ili kuiboresha zaidi.
design hii imelenga kujifunza, kuonyesha uwezo wa Flutter kwenye mobile app development, na pia kujaribu kuibua ideas mpya kwa ajili ya apps...
Money Vs Education
choose your side
Money is Better Than Education or
Education Is Better than Money
Pesa Vs Elimu
Je wewe unaona
Pesa ni bora kuliko elimu
Je Elimu ni bora kuliko Pesa?
JESUS NEVER WALKED ON WATER. IT IS SYMBOLIC
Jesus was walking on top of the veil of the ether (astral projecting).
The ether is the 5th element, also known as spirit. It’s a substance that has one foot in the astral plane and in the physical plane. Ether is the word either because it’s on...
astral projection
dimension
etheral plane
god
hidden knowledge
imagination
jamiiforums
je yesu alitembea juu ya maji
maji
marco seth
miracles
miujiza
mungu
physical world
secrets of bible
siri za biblia
spirits
spiritual realm
yesu
Mtaalam vs Mjuaji (Machino) (Chawa)
Mtaalamu ni mtu mwenye ujuzi wa kitaalam katika eneo fulani, amepitia mafunzo rasmi, uzoefu wa kazi, au elimu ya kina. Mfano: mtaalamu wa afya, mtaalamu wa sheria.
Mjuaji ni mtu ambaye anajua mambo mengi, lakini si lazima awe na elimu rasmi au ujuzi wa...
ASANTE SANA WANA JAMII FORUMS! 🙏
Ningependa kuchukua nafasi hii kuwashukuru kwa dhati Wanajamii Forums kwa sapoti kubwa mliyonipa mwezi huu. Kwa neema ya Mungu na msaada wenu, nimeweza kufanya kazi na wateja wengi waliotoka moja kwa moja kupitia hii forum. 💼🏗️
Naahidi kuendelea kutoa huduma...
Kwa nini Wanawake wanabadilika badilika alf ni viumbe vya Ajabu?
na kwa nn ni emotional creatures?
Je ww ni vitu gani vya ajabu uliviona au kitu usichotarajia
Na namna gan ya kuishi nao?
Tumezoea Kuona watu wanaumwa
Na kutegemea Dawa sana
Na wengine wanaenda kwa waganga kumbe wanaongeza matatizo
Kwa Nguvu za Mungu hakuna lisilowezekana
-Imani
Kuwa na Imani na unapo sali
Na pia Omba toba usamehewe dhambi zako
Math 9:22 Yesu akageuka, akamwona, akamwambia, Jipe moyo mkuu, binti...
Tumezoea Kuona watu wanaumwa
Na kutegemea Dawa sana
Na wengine wanaenda kwa waganga kumbe wanaongeza matatizo
Kwa Nguvu za Mungu hakuna lisilowezekana
-Imani
Kuwa na Imani na unapo sali
Na pia Omba toba usamehewe dhambi zako
Math 9:22 Yesu akageuka, akamwona, akamwambia, Jipe moyo mkuu, binti...
Charles Darwlin
He proposed that humankind originated from man-like apes (first quote) in Africa and that humans are most allied to chimpanzees and gorillas (second quote). Further, Darwin seems to have thought that our progenitors were more like chimpanzees than gorillas (third quote).
Na...
Hakuna somo Rahisi kama Physics na Math😎.
Namshukuru Mungu alinipa siri yake
Nikawa nafaulu
Baadaye nikafkia stage nikawa napata 97% kwenye Physics
Kila kitu kinawezekana
Physics na Math ni masomo yanayohitaji watu waliotayari kufikiria sio wazembe .
Watu waliopewa uwezo na Mungu
Kuyavumbua na...
Kama uliwahi kuambiwa duniani watu hufanana kwa sura tu basi huenda uliambiwa ukweli nusu, watu huweza kufafanua hata tabia, akili au fikra.
Kwa miaka mingi hapo kabla hapa JF alikuwa mwamba aliyejulikana kwa jina la Deo Kisandu, mwamba alitisha sana, alitingisha kwa mada nzito nzito za...
JamiiForums imenifundisha mengi kwanzia mambo ya kimaisha, uchumi, kidini, kimahusiano na vyote niwashukuru wote walioleta mchango humu na tuendelee kudumisha umoja na mshikamano.
Asanteni.
Kama kuna mtu atataja kiongozi wa kiarabu aliewahi kuongoza nchi inayoitwa Palestine kabla ya 1948, kuna milioni 1 yako
Kuna watu wamekuwa brainwashed sana kuamini huo uongo
tajeni viongozi wa hio nchi mnayodanganywa ilikuwepo kabla ya 1948
Watu waliojaribu kwa mbali wamemtaja “Haj Amin...
Laying this infrastructure was a crucial step.
My first encounter with Demi
Kupost picha yangu humu as if nipo Facebook...
Kuwa crushed na kupewa rules and regs..
Mshana Jr na Uzi wake wa meditation...
Alivyosoent his time in a Buddhist Monastery .. south Africa
Uzi wa Naomba kuongea na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.