Je, Mungu anajua utakwenda motoni au mbinguni?

Je, Mungu anajua utakwenda motoni au mbinguni?

Kabla ujazaliwa ukiwa tumboni kwa mama ako..
Ulishaandika kabisa kama wewe ni wa motoni au wa peponi mkuu...

Kwahyo Mungu anajua kila kitu ni kazi yako ww kujirekebisha au laah sawa shekhe..

Kingine hili swali lako limekaa kikafiri
 
Mungu hayupo mkuu.
Angekuwepo watu wangekuwa wanamtafuta kimya kimya kisa ubinafsi.
Ndio mana mimi hata sifatilii haya mambo kivilee shekhe wangu ...

Aaaah kikubwa tufanye kazi kwa bidii umri unakwenda, kujadili dini sana kutaleta mushkeri..

Dini ni umaskini... Kuweni makini...
Dini ya kweli ni umaskini ila dini janja janja utapata mapesa mengi ila ukitaka uwende na dini A to Z wallah utakufa maskini
 
Kabla ujazaliwa ukiwa tumboni kwa mama ako..
Ulishaandika kabisa kama wewe ni wa motoni au wa peponi mkuu...

Kwahyo Mungu anajua kila kitu ni kazi yako ww kujirekebisha au laah sawa shekhe..

Kingine hili swali lako limekaa kikafiri
Kwahiyo kuna wale walioandikiwa peponi, hata wafanye maasi gani wao njia ni nyeupe peee.

Na kuna walioandikiwa motoni hata watende mema buku, kosa moja wanakula kiberiti sio??
 
Ndio mana mimi hata sifatilii haya mambo kivilee shekhe wangu ...

Aaaah kikubwa tufanye kazi kwa bidii umri unakwenda, kujadili dini sana kutaleta mushkeri..

Dini ni umaskini... Kuweni makini...
Dini ya kweli ni umaskini ila dini janja janja utapata mapesa mengi ila ukitaka uwende na dini A to Z wallah utakufa maskini
Ndio maana we dg kutwa kucha unavunja nazi usiku mbele ya ile ofisi yako ya playstation.
 
Ndio mana mimi hata sifatilii haya mambo kivilee shekhe wangu ...

Aaaah kikubwa tufanye kazi kwa bidii umri unakwenda, kujadili dini sana kutaleta mushkeri..

Dini ni umaskini... Kuweni makini...
Dini ya kweli ni umaskini ila dini janja janja utapata mapesa mengi ila ukitaka uwende na dini A to Z wallah utakufa maskini
Na dini ni biashara ya kinyonyaji kwelikweli. Hebu angalia jinsi watu watu masikini wanavyotoa pesa kwa wavaa suti kanisani na misikitini.

Duniani njia ya haraka ya kufanikiwa ni kucheza na akili za watu masikini.
 
Waefeso 1:4-5
[4]kama vile alivyotuchagua katika yeye kabla ya kuwekwa misingi ya ulimwengu, ili tuwe watakatifu, watu wasio na hatia mbele zake katika pendo.
According as he hath chosen us in him before the foundation of the world, that we should be holy and without blame before him in love:
[5]Kwa kuwa alitangulia kutuchagua, ili tufanywe wanawe kwa njia ya Yesu Kristo, sawasawa na uradhi wa mapenzi yake.
Having predestinated us unto the adoption of children by Jesus Christ to himself, according to the good pleasure of his will,
 
Ufunuo wa Yohana 17:8
[8]Yule mnyama uliyemwona alikuwako, naye hayuko, naye yu tayari kupanda kutoka kuzimu na kwenda kwenye uharibifu. Na hao wakaao juu ya nchi, wasioandikwa majina yao katika kitabu cha uzima tangu kuwekwa misingi ya ulimwengu, watastaajabu wamwonapo yule mnyama, ya kwamba alikuwako, naye hayuko, naye atakuwako.
 
Ni kweli Mungu amempangia kila mtu maisha yake kuanzia mwanzo hadi mwisho, ila sio lazima kila kitu kifanyike kama alivyokupangia.

Ili kukamilisha kila ambacho Mungu alikupangia, Mungu alimuumba mwanadamu kufanya mambo yake yote kwa kushirikiana na yeye(kwa utaratibu wa Mungu mwenyewe), na Kitu Kizuri(Wakati mwingine Kibaya) ni kwamba Mungu alimpa mwanadamu uhuru wa kuamua, hata kama ataamua kinyume na mipango ya Mungu.

Kuhusu kwenda Mbinguni au Motoni ni jukumu lako mwenyewe based na maamuzi unayofanya maana lipo ndani ya uwezo wako.

Majibu:
1. Mungu anajua unauwezo wa kwenda mbinguni na anataka hivyo. Kwenda motoni means ume fail.
2. Yes, future inaweza kubadilika, inategemea umekaa karibu au mbali kiasi gani na Muumba mwenyewe.
 
Kama Mungu anajua Future yako
Je Anajua utaenda Mbinguni au Motoni?

Na Future inaweza ikabadilika?
Kuhusu kujua kwenda peponi au motoni hata binadamu mwenyewe anaweza akajijua kutokana na nafsi na matendo yake, kwani kigezo cha kuwa mtu wa peponi au motoni katika dini ni kuwafuata wale wajumbe waliyotumwa kuja kutupa muongozo wa mafanikio katika maisha yetu haya ya dunia na baada ya kufa. Kwa wayahudi wayafuate maamrisho ya Musa, kwa wakristo wafuate mafundisho ya Yesu na kwa waislamu wayafuate mafundisho ya mtume Muhammad rehma na amani ziwe juu yao hao wote.
Ujuzi wa Mungu si kama wa kibinadamu, hauathiriwi na muda au mahali kwani YEYE yupo nje ya muda na mahali, wanadamu kila kitu chetu kinaweza kubadilika.
 
Ufunuo wa Yohana 17:8
[8]Yule mnyama uliyemwona alikuwako, naye hayuko, naye yu tayari kupanda kutoka kuzimu na kwenda kwenye uharibifu. Na hao wakaao juu ya nchi, wasioandikwa majina yao katika kitabu cha uzima tangu kuwekwa misingi ya ulimwengu, watastaajabu wamwonapo yule mnyama, ya kwamba alikuwako, naye hayuko, naye atakuwako.
Aisee
 
Back
Top Bottom