Jambo (17 April 1961 – 16 September 1992) was a gorilla housed at Durrell Wildlife Park in Jersey, Channel Islands. He was involved in an incident in which he was seen to be protective of a child who fell into his enclosure.
HAKUNA JAMBO GUMU SANA KAMA KUPAMBANA NA MWENYE HAKI
Na, Robert Heriel
Kwa kweli kuna mambo magumu Sana Duniani lakini gumu kuliko yote ni kupambana na Mwenye haki.
Tena kuna mambo rahisi Sana duniani, lakini rahisi kuliko yote ni kupambana na muovu.
Hakuna Jambo rahisi Kama kupambana na mtu...
Miaka mitano iliyopita nilipata wazo la kugeuza taaluma yangu ya ualimu na passion ya usomaji, kujifunza na kufundisha kuwa ajira. Nikawa na mpango wa kufundisha Kwenye radio, TV, semina, makongamano, vyuo na taasisi mbalimbali na kuzalisha podcast zangu.
Nikamshirikisha rafiki yangu mmoja...
Mzuka wanaJF!
Yani unakutana na Mmatumbi mwenzako anakusalimia JAMBO haki ya nani siitikii nanyoonya tu.
Japo ni neno sahihi la kiswahili katika kusalimiana ila automatically na rasmi ni kwa wazungu kulitumia kutusalimia.
Kiukweli kabisa waswahili wengi huona Ugumu kulitumia kusalimiana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.