Copolla
JF-Expert Member
- Jul 26, 2021
- 232
- 569
Kuna rafiki angu wa karibu amenambia majuzi ameachana na girlfriend wake ambae wamedumu takribani mwaka mzima na kwa jinsi nilivoona mwenendo wao walikuwa wanapendana sana.
Kinachonishangaza ni sababu walioachana, mwana anasema eti demu alimchoka tuu, yaan jamaa anasema ilifika kipindi yule demu akamwambia "nmekuchoka bhana" bila sababu nyingine yeyote.
Huyo jamaa ndio aliemtoa yule girlfriend wake bikra, na kinachonishangaza haswa nmesikia kwa watu wengi sana wanasema demu uliemtoa bikra sio rahisi kuacha kukupenda na hata mkiachana atakuwa anakukumbuka milele na ataku appreciate siku zote za maisha yake
Sasa inakuaje Huyo demu umepita tuu mwaka mmoja akamchoka jamaa bila sababu yeyote, na jamaa kwa ninavomjua ni mtu mwema sana, hajawahi cheat/kumsaliti girlfriend wake kabisa na anajitahidigi sana kumridhirisha yule demu kila anachohitaji yule demu anapatiwa kwasababu jamaa anajiweza kifedha.
Sasa inakuaje hii inatokea, au walionambia walinidanganya kuhusu demu ukimtoa bikra anakupenda zaidi na atakukumbuka siku zote au hawa wanawake ndo hawaeleweki??
Which is which, nmedanganywa au wanawake hawaeleweki??
Kinachonishangaza ni sababu walioachana, mwana anasema eti demu alimchoka tuu, yaan jamaa anasema ilifika kipindi yule demu akamwambia "nmekuchoka bhana" bila sababu nyingine yeyote.
Huyo jamaa ndio aliemtoa yule girlfriend wake bikra, na kinachonishangaza haswa nmesikia kwa watu wengi sana wanasema demu uliemtoa bikra sio rahisi kuacha kukupenda na hata mkiachana atakuwa anakukumbuka milele na ataku appreciate siku zote za maisha yake
Sasa inakuaje Huyo demu umepita tuu mwaka mmoja akamchoka jamaa bila sababu yeyote, na jamaa kwa ninavomjua ni mtu mwema sana, hajawahi cheat/kumsaliti girlfriend wake kabisa na anajitahidigi sana kumridhirisha yule demu kila anachohitaji yule demu anapatiwa kwasababu jamaa anajiweza kifedha.
Sasa inakuaje hii inatokea, au walionambia walinidanganya kuhusu demu ukimtoa bikra anakupenda zaidi na atakukumbuka siku zote au hawa wanawake ndo hawaeleweki??
Which is which, nmedanganywa au wanawake hawaeleweki??