Kwanini Freeman Mbowe hafungwi pingu kama washtakiwa wenzake? Yeye si ndio kinara, sponsor, na mastermind wa tuhuma zao?

JokaKuu

Platinum Member
Jul 31, 2006
30,441
55,018
Angalieni video hapo chini?

Kwanini Mbowe hafungwi pingu?

Kulingana na maelezo ya Polisi, Mbowe ndio kinara, sponsor, na mastermind, wa tuhuma zilizoko mahakamani.

Polisi wanasema Mbowe ndiye aliyewa-recruit washtakiwa wenzake watatu wakafanye waliyotaka kufanya.

Bila Mbowe kuwa na malengo mabaya, hawa washtakiwa watatu wasingekuwa mahakamani.

Miimi ni mshabiki wa Chadema, lakini ktk hili la kuwatia pingu kina Adamoo na kumuacha Mbowe, ninapinga.

Ni ama wote watiwe pingu, au wote wasitiwe pingu.
 
Katili mno mtoa hoja hii,Mr.Mbowe sio Gaidi na pia hakuna ugaidi wa kufadhiliwa na 500usd hapa duniani!na mwisho ni Mr.Mbowe ni very very low risk suspect!

Ama watuhumiwa wote wafungwe pingu au watuhumiwa wote wasifungwe pingu.

pasiwepo na ubaguzi miongoni mwa watuhumiwa.

..mimi ni shabiki wa Chadema lakini jambo hili linanichukiza.
 
Mbowe bila hatia yupo kwenye mahabusu za Samia.

Sina shaka hata kidogo, Samia kwa muda ulio sahihi atakaa kwenye mahabusu ya Mungu.

Tundu Lisu alishambuliwa kwa risasi za Magu. Magu alishambuliwa kwa risasi ya Muumba.

Muumba hakosei, habahatishi, hatishii. Atakalolitenda kwa Samia, Kingai na wenzake, wakati itakapkuwa sahihi, sote tutanena kuwa hakika Muumba wenye ni hakimu wa haki, tena ahukumuye wakati ufaao.
 
Back
Top Bottom