Hili jambo la internet serikali inabidi waliangalie vizuri

Flowerpot

Senior Member
Aug 30, 2021
181
256
Naona serikali imefocus kwenye tehama kila siku nalisikia hilo neno, lakini ni kama unafiki hivi. kwasababu technologia nyingi sahivi zinahitaji internet. Sasa tutaendeleaje kwenye upande wa tehama wakati chachu yenyewe serikali yenyewe wameiondoa?

Mfano sisi wanafunzi wa upande wa IT na comp science tulikuwa tunatumia mobile data kudownload course Udemy na website kama hizo kujiongezea ujuzi zaidi. lakini sahivi kifurushi gani utadownload gb50 kwa kipato cha mwanafunzi?

Basi kama hawataki tutumie mobile data kudownload vitu basi Ttcl wasambaze home wi-fi sehemu zote za Tanzania au angalau Dar. Juzi nimeenda kuulizia kama naweza kuunga home wi-fi wananiambia nipo mbali na ofisi zao hivyo speed itakua slow hadi point ya kuwa not usable. smh.
 
Naona serikali imefocus kwenye tehama kila siku nalisikia hilo neno, lakini ni kama unafiki hivi. kwasababu technologia nyingi sahivi zinahitaji internet. Sasa tutaendeleaje kwenye upande wa tehama wakati chachu yenyewe serikali yenyewe wameiondoa?. mfano sisi wanafunzi wa upande wa IT na comp science tulikuwa tunatumia mobile data kudownload course Udemy na website kama hizo kujiongezea ujuzi zaidi. lakini sahivi kifurushi gani utadownload gb50 kwa kipato cha mwanafunzi?. Basi kama hawataki tutumie mobile data kudownload vitu basi Ttcl wasambaze home wi-fi sehemu zote za Tanzania au angalau Dar. Juzi nimeenda kuulizia kama naweza kuunga home wi-fi wananiambia nipo mbali na ofisi zao hivyo speed itakua slow hadi point ya kuwa not usable. smh.
Wanafunzi mnaweza kuchanga


Hizo satelite Internet, hazina ping nzuri ila kwa kudownload si mbaya.
 
Naona serikali imefocus kwenye tehama kila siku nalisikia hilo neno, lakini ni kama unafiki hivi. kwasababu technologia nyingi sahivi zinahitaji internet. Sasa tutaendeleaje kwenye upande wa tehama wakati chachu yenyewe serikali yenyewe wameiondoa?

Mfano sisi wanafunzi wa upande wa IT na comp science tulikuwa tunatumia mobile data kudownload course Udemy na website kama hizo kujiongezea ujuzi zaidi. lakini sahivi kifurushi gani utadownload gb50 kwa kipato cha mwanafunzi?

Basi kama hawataki tutumie mobile data kudownload vitu basi Ttcl wasambaze home wi-fi sehemu zote za Tanzania au angalau Dar. Juzi nimeenda kuulizia kama naweza kuunga home wi-fi wananiambia nipo mbali na ofisi zao hivyo speed itakua slow hadi point ya kuwa not usable. smh.
Viongozi wengi ni wanafiki!

Tumbo zao zikishajaa hawafikirii tena matatizo ya wanaolipa kodi ili wao wapate mishahara.
 
Naona serikali imefocus kwenye tehama kila siku nalisikia hilo neno, lakini ni kama unafiki hivi. kwasababu technologia nyingi sahivi zinahitaji internet. Sasa tutaendeleaje kwenye upande wa tehama wakati chachu yenyewe serikali yenyewe wameiondoa?

Mfano sisi wanafunzi wa upande wa IT na comp science tulikuwa tunatumia mobile data kudownload course Udemy na website kama hizo kujiongezea ujuzi zaidi. lakini sahivi kifurushi gani utadownload gb50 kwa kipato cha mwanafunzi?

Basi kama hawataki tutumie mobile data kudownload vitu basi Ttcl wasambaze home wi-fi sehemu zote za Tanzania au angalau Dar. Juzi nimeenda kuulizia kama naweza kuunga home wi-fi wananiambia nipo mbali na ofisi zao hivyo speed itakua slow hadi point ya kuwa not usable. smh.
Umesema kweli kabisa tatizo Serikali inadhani kuwa MB ni kwa ajili ya social media tu na kuiokosoa matokeo yake i nawanyima fursa vijana wengi wa kitanzania kushindana na kuyatafuta maarifa yasiyopatikana hapa kwetu enzi za unlimited ya halotel ilinisaidia kudowoad kozi mbali mbali kiasi cha terabyte moja na kitu ambazo zimenisaidia sana mimi na wengine kimaarifa kwa sasa hali ngumu sana,baadhi ya kozi moja waweza kuta hadi GB 200 na kitu sasa kwa wanafunzi ni ngumu kununua bando la kiasi hicho
 
Hapana kuna mdau tu alipost humu utakuja kama amewahi tumia atakupa feedback

Ngoja nisubiri feedback yake...

Nimeona kama data package yao kwa bei yao si mbaya sana, given wanatoa unlimited package ( i'm assuming ni unlimited data isiyopjnguza speed kadiri muda unavyosonga)
 
Umesema kweli kabisa tatizo Serikali inadhani kuwa MB ni kwa ajili ya social media tu na kuiokosoa matokeo yake i nawanyima fursa vijana wengi wa kitanzania kushindana na kuyatafuta maarifa yasiyopatikana hapa kwetu enzi za unlimited ya halotel ilinisaidia kudowoad kozi mbali mbali kiasi cha terabyte moja na kitu ambazo zimenisaidia sana mimi na wengine kimaarifa kwa sasa hali ngumu sana,baadhi ya kozi moja waweza kuta hadi GB 200 na kitu sasa kwa wanafunzi ni ngumu kununua bando la kiasi hicho
Kweli yani wanafikiria matumizi ya data ni kuingia instagram tu. Wanatukwamisha sana.
 
Naona serikali imefocus kwenye tehama kila siku nalisikia hilo neno, lakini ni kama unafiki hivi. kwasababu technologia nyingi sahivi zinahitaji internet. Sasa tutaendeleaje kwenye upande wa tehama wakati chachu yenyewe serikali yenyewe wameiondoa?

Mfano sisi wanafunzi wa upande wa IT na comp science tulikuwa tunatumia mobile data kudownload course Udemy na website kama hizo kujiongezea ujuzi zaidi. lakini sahivi kifurushi gani utadownload gb50 kwa kipato cha mwanafunzi?

Basi kama hawataki tutumie mobile data kudownload vitu basi Ttcl wasambaze home wi-fi sehemu zote za Tanzania au angalau Dar. Juzi nimeenda kuulizia kama naweza kuunga home wi-fi wananiambia nipo mbali na ofisi zao hivyo speed itakua slow hadi point ya kuwa not usable. smh.
shida ina anzia hapa, 'angalau dar' ko mikoa mingine hawa download course udemy et.
 
Back
Top Bottom