Bei rahisi Electronicks
Senior Member
- Nov 24, 2025
- 167
- 392
Sasa natimiza mwaka wa pili tangu niajiriwe serikalini.
Nataka kuongeza elimu maana niliajiriwa na Form Six.
Nafanya kazi Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, nipo Zanzibar. Kwa mujibu wa kazi yangu, siruhusiwi kusoma mpaka nipate kibali kutoka kwa mkuu wangu, na hawakubali kutoa labda kwa watoto wao.
Kituo changu ninachofanyia kazi kina nafasi. Nataka kujiunga mwaka huu nianze degree pasipo ruhusa kutoka kwa boss wangu.
ILA NATAKA KUSOMA KWA SIRI.
Naombeni ushauri wenu. Mwenye experience, mawazo na aliyepita kama hivi ninavyotaka kupita mimi, changamoto zake zilikuwaje?
Nataka kuongeza elimu maana niliajiriwa na Form Six.
Nafanya kazi Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, nipo Zanzibar. Kwa mujibu wa kazi yangu, siruhusiwi kusoma mpaka nipate kibali kutoka kwa mkuu wangu, na hawakubali kutoa labda kwa watoto wao.
Kituo changu ninachofanyia kazi kina nafasi. Nataka kujiunga mwaka huu nianze degree pasipo ruhusa kutoka kwa boss wangu.
ILA NATAKA KUSOMA KWA SIRI.
Naombeni ushauri wenu. Mwenye experience, mawazo na aliyepita kama hivi ninavyotaka kupita mimi, changamoto zake zilikuwaje?