Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,824
- 50,496
Kwa sasa inavoonekana CCM imeishiwa mbinu ya kukifanya chama hicho kikubalike kwa watanzania.
Kitendo cha CCM kuishiwa mbinu ya kukifanya chama hicho kuaminiwa na watanzania wakati kikiwa kinaendesha Serikali na kusimamia vyombo vya dola, ni jambo la hatari sana kwa mustakbali wa nchi yetu.
CCM kuishiwa mbinu za kuongoza nchi yetu, ni sawa na chizi mwenye rungu kuwa karibu na kabati la kioo lililojaa vyombo vya udongo.
Kitendo cha CCM kuishiwa mbinu ya kukifanya chama hicho kuaminiwa na watanzania wakati kikiwa kinaendesha Serikali na kusimamia vyombo vya dola, ni jambo la hatari sana kwa mustakbali wa nchi yetu.
CCM kuishiwa mbinu za kuongoza nchi yetu, ni sawa na chizi mwenye rungu kuwa karibu na kabati la kioo lililojaa vyombo vya udongo.