Hakuna jambo lililoniuma mwaka huu kama kutochaguliwa Uhamiaji ukizingatia nina Barchelor of Arts in Law Enforcement na JKT Certificate ninayo

Hakuna jambo lililoniuma mwaka huu kama kutochaguliwa Uhamiaji ukizingatia nina Barchelor of Arts in Law Enforcement na JKT Certificate ninayo

A

Anonymous

Guest
26900.png
 
Bwana YoHana hii nchi ina wenyewe!!!! Kama ni mtoto wa mkulima angalia mbanga zingine za kukupatia ugali .....

Ajira za siku hizi zinatolewa na vimemo na maelekezo !

Bwana Yohana hakuna namna tunaweza kufanya ukawa mchungaji?

Tatizo la bwana Yonaha ni kukosa connection, amesahau hii ni awamu ya 6 kila mbuzi kula urefu wa kamba yake hahhahaaaaa
 
Ccm wameharibu nchi,hapo kuna wazaznibari kibao wasio na vigezo wala uwezo wameingizwa kuchukua ajira zenu watanganyika na mpo tu mmetulia poleni sana.
Halaf hapohapo Kila nikiangalia mikeka ya utumish majina mengi ni makafiri, hao kobaz wa kizenji ndo wanaitwa kina joseph rose Johnson

Hapa Seran unitetee maana mikeka unaiona kila mara, tunaojaa ni sisi kobaz au nyiny makafir?
 
Halaf hapohapo Kila nikiangalia mikeka ya utumish majina mengi ni makafiri, hao kobaz wa kizenji ndo wanaitwa kina joseph rose Johnson

Hapa Seran unitetee maana mikeka unaiona kila mara, tunaojaa ni sisi kobaz au nyiny makafir?
sijafatilia ila nasikia tu makobaz ndio mnaitwa kwa makundi makundi! mimi nimeacha kufatilia sana nishachoka kabisa! hali sio hali, aptitude tests zilitaka kuniua hii miezi miwili!
 
Back
Top Bottom