Ndege nyingi za Jeshi la Anga la Marekani zimeonekana zikiondoka katika kambi mbalimbali nchini Marekani na pia kwenye kambi ya kijeshi ya Marekani nchini Uingereza, zikielekea Mashariki ya Kati. Ndege hizo ni pamoja na za kujaza mafuta angani na ndege kubwa za kusafirisha wanajeshi na vifaa...
Baraza la Ulinzi la Kitaifa la Iran limetoa taarifa inayopendekeza kwamba linaweza kuanzisha shambulio la mapema dhidi ya Israeli(Preemptive-Strike)‼️
"Usalama, uhuru, na uadilifu wa eneo la Iran ni mstari mwekundu ambao haupaswi kuvukwa. Uchokozi wowote au tabia yoyote ya uadui inayoendelea...
Serikali ikishaelekea kufeli ufanya njia yoyote kubaki madarakani.
Na njia yoyote inaweza kuwa mbaya kwa nchi ila ikawa faida yao kwa mambo yao.
Kukosekana kwa ajira nchini ,serikali inaweza kutumia mwanywa kuonesha inawapa watu ajira kumbe wanaenda kutumikia ajira za magendo.
Kwa sasa nchi...
Zelensky ana akili kubwa sana, ni vile tu hana resources!!!
Putin alishafanya majaribio mengi sana ya kumteka Zele lakini wapiii
Kwenye kitengo cha utekaji mrusi kazidiwa mpaka na wasiojulikana
Trump anairudisha ile marekani ya kwenye TV na muvi za kijasusi.
Imagine unakuja kukamatwa...
In a statement posted on X, Supreme Leader Ayatollah Ali Khamenei wrote, “What’s important is when one realises an enemy wants to force something on one’s govt. or nation with false claims, they must stand firmly against that enemy.”
“We won’t give in to them. With reliance on God & confidence...
My people,
Huyu ni mwandishi wa habari na mwanaharakati wa Iran ambaye naye kama alivyo Kimambi anaishi Marekani
Akihojiwa na NBC News anasema familia nyingi za viongozi wakubwa wa Iran wanaishi Marekani,anahoji kama wanawatendea ubaya wananchi wa nchi hiyo basi na familia zao nao zirudi Iran...
Baada ya Mapinduzi ya Kiislamu ya 1979, Utawala wa Kiayatollah umekumbwa na maandamano mwaka 1999, 2009-2010; 2017-2018; 2019 na 2022-2023. Katika maandamano hayo yote sababu kubwa zimekuwa madai ya Haki za Msingi kwa Wananchi na Mabadiliko ya Mfumo wa Kisiasa. Kwa sehemu kubwa maandamano hayo...
Maandamano dhidi ya gharama kubwa ya maisha nchini Iran yameenea hadi vyuo vikuu kadhaa, huku wanafunzi wakijiunga na wafanyabiashara na wauzaji wa masoko (bazaars), vyombo vya habari vya serikali vimeripoti. Serikali imesema iko tayari kufanya mazungumzo na waandamanaji. Sarafu ya Iran (rial)...
Ranking hii ya majeshi ni kulingana na takwimu za Global Firepower, taasisi inayoaminika zaidi kwenye ranking. Inapendekezwa kuzingatia kuwa kiwango cha uhalisia na usahihi wake ni zaidi kwa nchi za juu; vipimo kwa nchi zilizo chini hasa za Afrika vinaweza kutia shaka kutokana na vigezo vya...
Tangu jana kuna maandamano ya kupinga mamlaka ya IR
Uchumi umekuwa mkali mnoo lakini zaidi manyanyaso ya agents wa ayatollah ni ya kiovu sana.
Its funny kwamba iran ina pesa ya kufadhili jihad na ugaidi middle east ila haina pesa ya kulisha waajemi
Iran imekua ikifanya mazoezi ya kijeshi ya makombora na drones kufikia wiki ya pili hadi sasa.
Duru ya Times of Israel inaeleza kuwa serikali ya Tel Aviv inalalama kuwa mazoezi haya ya Iran ni tishio kwa usalama wa Israel na inaonekana Iran amerejesha uwezo wake wa makombora zaidi ya mwanzo...
🚨 Israel yaionya Marekani: Majaribio ya Makombola ya Iran yanaweza kuficha shambulizi la Iran dhidi ya nchi yake.
Maafisa wa Israel wameutahadharisha utawala wa Trump kwamba zoezi kubwa la kombora la IRGC huenda likawa kificho kwa shambulio la kushtukiza linaloweza kutokea dhidi ya Israel...
Iran haina maji ya kutosha kwa sababu ya mchanganyiko wa sababu za kijiografia, hali ya hewa, ongezeko la watu, na matumizi mabaya ya rasilimali za maji. Hapa chini ni maelezo kwa ufupi na kwa urahisi:
1. Ni nchi ya jangwani
Zaidi ya 90% ya Iran ni maeneo kavu au yenye joto kali, mvua ni...
Taifa la Iran inakumbwa na changamoto kubwa za upungufu wa maji. Nchi hiyo imekuwa ikikabiliana na matatizo mbalimbali ya maji kwa miaka mingi. Iran ni moja ya nchi zenye upungufu mkubwa wa maji duniani, na hali hiyo imekuwa mbaya zaidi katika miaka ya hivi karibuni.
Hapa kuna baadhi ya...
Habari ndio hio Ayatollah Ali Khomen baba lao, anasema Rais wa marekani Trump alienda israel ili ku raise morales zao sababu zipo chini sana baada ya kipigo walicho pokea tokea Iran, sababu tuliwapiga kwenye mishono kabisa
https://youtu.be/rQUxgNIqK4I?si=DCx0a1ZAmEPUrVwy
Huwa nawashangaa sana watu wanaosema Israel inapiga vita, Israel haipigani vita huwa inajilinda, wanaopiga vita ni kina Iran na vikundi vyake.
Israel wana deal na targets kubwa zaidi kama wakuu wa jeshi wa Iran, Houthi, Hezbollah, na vikundi vingine kibao na hata manaibu wakuu wa majeshi, wakuu...
Iran, Hamas, Hezbollah, Isis, Houthi, huwa wanafurahi sana kukiwa na rais wa Marekani aliyetokea chama cha Democrats kama Biden na walitegemea Kamala Harris ashinde.
Waliposikia ni rais wa Republican kashinda hawakufurahi kabisa.
Huyu ni moja wa mateka walioachiwa akielezea hali ilivyokuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.