Trump ndio anaomba mazungumzo sio Iran

Trump ndio anaomba mazungumzo sio Iran

Adiosamigo

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2013
Posts
11,244
Reaction score
15,064
Trump anaomba mazungumzo wala sio Iran, sababu ya Trump kuomba mazungumzo silaha zao zimesambaratishwa na Iran. Pia kuna habari wanaficha kuongelea walio kufa na walio umia kuna nchi moja uarabuni wanajeshi wa USA wamejazana hospital na ukichukulia logical vipi Iran apige base zote wadai wamekufa watatu tu na watano wameumia hahaha. Iran number zake ni kweli walio kufa wamarekani ni 560 kapiga Embassy za USA pia na hotel walizo kuwa wakiishi hao ma spy wao.
 
Trump anaomba mazungumzo wala sio Iran, sababu ya Trump kuomba mazungumzo silaha zao zimesambaratishwa na Iran. Pia kuna habari wanaficha kuongelea walio kufa na walio umia kuna nchi moja uarabuni wanajeshi wa USA wamejazana hospital na ukichukulia logical vipi Iran apige base zote wadai wamekufa watatu tu na watano wameumia hahaha. Iran number zake ni kweli walio kufa wamarekani ni 560 kapiga Embassy za USA pia na hotel walizo kuwa wakiishi hao ma spy wao.
Asante kwa taarifa
 
Trump anaomba mazungumzo wala sio Iran, sababu ya Trump kuomba mazungumzo silaha zao zimesambaratishwa na Iran. Pia kuna habari wanaficha kuongelea walio kufa na walio umia kuna nchi moja uarabuni wanajeshi wa USA wamejazana hospital na ukichukulia logical vipi Iran apige base zote wadai wamekufa watatu tu na watano wameumia hahaha. Iran number zake ni kweli walio kufa wamarekani ni 560 kapiga Embassy za USA pia na hotel walizo kuwa wakiishi hao ma spy wao.
Wacha wee,!!
 
Trump anaomba mazungumzo wala sio Iran, sababu ya Trump kuomba mazungumzo silaha zao zimesambaratishwa na Iran. Pia kuna habari wanaficha kuongelea walio kufa na walio umia kuna nchi moja uarabuni wanajeshi wa USA wamejazana hospital na ukichukulia logical vipi Iran apige base zote wadai wamekufa watatu tu na watano wameumia hahaha. Iran number zake ni kweli walio kufa wamarekani ni 560 kapiga Embassy za USA pia na hotel walizo kuwa wakiishi hao ma spy wao.
Kuficha 560 deaths kwa nchi kama Marekani ni vigumu sana. Kama ni kweli, hiyo ni kashifa inayotosha kumweka kiongozi kwenye wakati mgumu sana politically!
 
Kuficha 560 deaths kwa nchi kama Marekani ni vigumu sana. Kama ni kweli, hiyo ni kashifa inayotosha kumweka kiongozi kwenye wakati mgumu sana politically!
Tulizana usifanye haraka karibu mtamini Iran huwa hasemi uwongo
 
Hii habari ya Trump kuwaomba Italy wawaambie Iran wakae mezani wazungumze ni ya jana,na Iran walikataa
Leo kupitia the Atlantic Trump anadai kiongozi wa Iran anataka mazungumzo, Iran haina kiongozi sasa hivi
 
Kuficha 560 deaths kwa nchi kama Marekani ni vigumu sana. Kama ni kweli, hiyo ni kashifa inayotosha kumweka kiongozi kwenye wakati mgumu sana politically!
Wamarekani 113 kuuawa ndiyo habari inayosambaa
Abraham Lincoln ilitumiwa makombora manne,sasa hivi imekimbilia kusini mashariki mwa bahari ya Hindi na ili-abort mission
 
Trump anaomba mazungumzo wala sio Iran, sababu ya Trump kuomba mazungumzo silaha zao zimesambaratishwa na Iran. Pia kuna habari wanaficha kuongelea walio kufa na walio umia kuna nchi moja uarabuni wanajeshi wa USA wamejazana hospital na ukichukulia logical vipi Iran apige base zote wadai wamekufa watatu tu na watano wameumia hahaha. Iran number zake ni kweli walio kufa wamarekani ni 560 kapiga Embassy za USA pia na hotel walizo kuwa wakiishi hao ma spy wao.
Ukiwa hapo MBURAHATI u nauzaa zako alkasusu
 
Wacha wee,!!
Screenshot_2026-03-01-18-14-49-498.jpg
 
Trump anaomba mazungumzo wala sio Iran, sababu ya Trump kuomba mazungumzo silaha zao zimesambaratishwa na Iran. Pia kuna habari wanaficha kuongelea walio kufa na walio umia kuna nchi moja uarabuni wanajeshi wa USA wamejazana hospital na ukichukulia logical vipi Iran apige base zote wadai wamekufa watatu tu na watano wameumia hahaha. Iran number zake ni kweli walio kufa wamarekani ni 560 kapiga Embassy za USA pia na hotel walizo kuwa wakiishi hao ma spy wao.
Mwanafunzi bora wa uongo. Taqiyya Primary School
 
Hii habari ya Trump kuwaomba Italy wawaambie Iran wakae mezani wazungumze ni ya jana,na Iran walikataa
Leo kupitia the Atlantic Trump anadai kiongozi wa Iran anataka mazungumzo, Iran haina kiongozi sasa hivi
We una amini?
 
Trump anaomba mazungumzo wala sio Iran, sababu ya Trump kuomba mazungumzo silaha zao zimesambaratishwa na Iran. Pia kuna habari wanaficha kuongelea walio kufa na walio umia kuna nchi moja uarabuni wanajeshi wa USA wamejazana hospital na ukichukulia logical vipi Iran apige base zote wadai wamekufa watatu tu na watano wameumia hahaha. Iran number zake ni kweli walio kufa wamarekani ni 560 kapiga Embassy za USA pia na hotel walizo kuwa wakiishi hao ma spy wao.
Source? trust me bro.
 
Back
Top Bottom