iran

  1. I

    Sarafu ya Iran Yaporomoka Dhidi ya Euro

    https://www.instagram.com/p/DTa9jEmklYS/?igsh=MzR4ZzViZDFqOXly
  2. Echolima1

    Kuna uwezekano usiku huu Iran akashambuliwa-Stay turned!!!

    Wakati waandamanaji wanaendelea kukiwasha huko Iran Marekani nao wanatrajia kuishambulia Iran kwa kuwaua watu wake yenyewe!!!
  3. N

    Fundisho kutoka Iran

    Vyombo vya dola , naomba jifunze kutoka Iran, Mwanzo maandamano yalikuwa ya amani , wakaachwa wiki nzima yakiwa salama, Nilianza kulalamika kuwa Iran wanaanza kuwa wazembe , Baadae maandamano yakaanza na fujo kidogo kidogo na loeo yamesambaa nchi nzima majimbo 110 wakati kabla iyalikuwa...
  4. R

    Zaidi ya watu 500 wameuawa kwenye maandamano ya Iran

    Zaidi ya watu 500 wameuawa katika machafuko yanayoendelea Iran, kundi la haki za binadamu limesema Jumapili, huku Tehran ikionya kuwa itashambulia kambi za kijeshi za Marekani endapo Rais Donald Trump atatekeleza vitisho vyake vya kuingilia kati kwa niaba ya waandamanaji. Kundi la HRANA lenye...
  5. Fbn

    Mchambuzi IBRAHIM RAHBY ni mzuri sana wa mataifa sio imani yako ila swala la IRAN mbona unakwepa na mda mwengine unakwepa nchi yako

    Huyu mchambuzi ana media nzuri na mpaka Azam wanamtumia na BBC. Ila swala la IRAN kama mda mwengine unaona ni la nchi yake kutaka kutoa dukuduku lake. Ila umefikisha ujumbe japo kama makonda kupewa uwaziri ,Ndugu yetu tumekusoma sasa.
  6. R

    Iran yamuonya Trump kwamba itajibu Mashambulizi yatakayotokea

    Iran imeonya Rais wa Marekani, Donald Trump, kuwa shambulio lolote la Marekani litalisababisha Tehran kulirejelea shambulio dhidi ya Israel na kambi za kijeshi za Marekani katika eneo hilo kama “malengo halali,” alisema Spika wa Bunge, Mohammad Baqer Qalibaf, mbele ya wabunge. Vyanzo vya...
  7. Fbn

    Maandamano ya IRAN yamegusa imani za watu mbona wapo kimya

    Hapa JF na mitandao mingine yani ukiona mtu anavyoichambua Israel,GAZa, Venezuela na nchi nyingine zilizokuwa kwenye mivuruguano unaweza kusema jamaa noma. Ila tokea IRAN kuanza maandamano hata watu wa msikiti wapo kimya kabisa.
  8. MK254

    Trump aionya Iran dhidi ya kuua waandamanaji, asema USA itashambulia

    Ayatollah ameonywa athubutu kuua hao waandamanaji, atashushiwa mavitu na kuwahishwa kule kwa mabikira, aache watu waikomboe nchi yao kutoka kwa uzombi wa dini. ======================================= Trump warns Ayatollah ‘we will start shooting if you do’ as Iran rocked by another night of...
  9. M

    Mtandao wa X wabadili bendera ya Iran

    https://x.com/NiohBerg/status/2009742024384147606 Ndugu zangu hakuna namna ya kuimboa Tanganyika, zaidi ya Kupandisha bendera ya Tanganyika, hatutaki Muungano, Walizuia Sherehe za Muungano lakini wameenda kufanya sherehe za Mapinduzi
  10. Yoda

    Kwanini masheikh wa Iran hawawakemei Waislamu wafanya maandamano?

    Iran kuna Baraza la maulamaa la Ayatollah linaloitwa Guardian Council na masheikh viongozi mbalimbali wa kidini ila mpaka sasa hakuna masheikh wowote waliothubutu kujitokeza kuwasomea watu vifungu vya Quran na Biblia kuwasisitiza Uislamu ni dini ya amani na kwamba amani ni muhimu zaidi ya Haki...
  11. MK254

    Video: Misikiti na majengo yatiwa kiberiti Iran

    Raia wa Iran wamamua liwalo na liwe, hawataki kuongozwa na dini ya muarabu.... Wanataka uhuru. Kawaida Waajemi, yaani Persians huwa watu wenye akili sana, ukisoma historia yao kabla dini ya muarabu walikua wanafanya mengi makubwa, ile dini imewadumaza sana. ============ Watch: Buildings in...
  12. Chizi Maarifa

    Uzi wa Yanayoendelea Iran, Historia na Hatima yake

    Hapa chini ni muhtasari wa historia ya hivi sasa na yanayoendelea nchini Iran — hasa jinsi ilivyofikia hali ya sasa ya kisiasa, kiuchumi na kijamii, pamoja na harakati kubwa za umma: 1. Asili ya mgogoro wa sasa Uchumi uliharibika Iran imekuwa ikipigana na msongamano wa uchumi kwa zaidi ya...
  13. R

    Serikali ya Iran yazima Internet wakati maandamano yakiendelea, (Yaani kama yaliyotokea Malawi)

    Maandamano makubwa yalizuka kote Iran huku serikali ikikata huduma ya intaneti karibu nchi nzima, kulingana na makundi ya ufuatiliaji. Hatua hiyo ilikuja wakati wananchi wakipaza sauti wakidai uhuru na kuondoka kwa utawala wa Kiislamu, licha ya onyo kali kutoka kwa viongozi wa vyombo vya usalama...
  14. Echolima1

    Maandamano Iran katika picha!!

    Wananchi wa Iran wanaingia wiki ya pili katika maandamano yao ya kutaka kuung'oa utawala wa kinabavu wa Ayatollah Ali Khamanei!!!
  15. M

    Iran: Miaka 50 ya ukandamizaji wa dola ya kiislamu, sasa raia wanapigania uhuru lakini media kubwa hasa AL jazeera haziwapi airtime ya kutosha

    Ni miaka karibia 50 ya ukandamizaji wa raia wa Iran nasa sasa wameamua kusema imetosha, wamejitoa muhanga kuikomboa nchi yao lakini media kubwa zinawapa airtime ndogo sana. Yalianza kama maandamano ya mfumuko wa bei lakini kwa sasa yamekuwa ya kuikomboa Iran
  16. Ponjoro wa Kinondoni

    Serikali ya Iran Kuzima Internet:

    Huyu aliyezima internet Tanzania ndiyo amemshauri Ayatollah kuzima internet? Mwisho wa utawala wa kidhalimu na kipumbavu umekaribia.
  17. H

    Afisa wa Cheo cha juu wa Jeshi la Polisi Auawa Iran, Kulipiza Kisasi cha Mauaji ya Polisi kwa Waandamanaji

    Taarifa za karibuni ni kwamba waandamanaji wamefanikiwa kumwua afisa wa juu wa jeshi la polisi, mmoja wa watoa amri kwa maafisa wa chini. Afisa wa polisi aliyeuawa ni Luteni Shahin Dehghan. Naonawananchi wa Iran wameamua kupambana na mzizi wa fitina badala ya polisi wa kawaida. Na hakika, kama...
  18. H

    Utawala wa Kishetani wa Ayatollah wa Iran, Umeua Uchumi wa Iran. Dollar 1 sasa inabadilishwa kwa Rials milioni 1.46. Funzo kwa Utawala wa Tanzania

    Iran, nchi ambayo kabla ya mapinduzi ya Kiislam, ilikuwa ndiyo nchi pekee yenye uchumi mzuri uliokuwa unakua kwa kasi Mashariki ya kati, leo wananchi wake, chini ya utawala shetani wa Ayatollah, zaidi ya nusu ya wananchi hawawezi kupata hata milo miwili kwa siku. Rial ambayo kabla ya mapinduzi...
  19. britanicca

    Nafuatilia hali ya Iran, sidhani kama Iranian regime inaweza ika-survive kwa saa 48 zijazo kutoka sasa. Polisi wamegoma kupokea orders

    Nafuatilia hali ya Iran, sidhani kama Iranian regime inaweza ika survive kwa masaa 48 yajayo kutoka sasa. Police wa Iran wamegoma kupokea orders za IRGC. Reza Pahlavi, ambaye ni crown prince wa Iran anayeishi nchini Marekani, ametuma ujumbe kwa majeshi ya Iran kufanya chagua la kihistoria kwa...
  20. M

    Kuna hatari Jamhuri ya Kiislam ya Iran kuanguka

    Maandamano yanakuwa kwa kasi Wairan wanashusha bendera ya Jamhuri ya Kiislam na kupandisha bendera ya Jua na Simba. Kobazi wanajukumu gumu mbele yao, 1. Kuua watu kama Samia alivofanya 2. Kukubali kuaguka https://x.com/ShayanX0/status/2009024757883371597...
Back
Top Bottom