Watukufu katika imani mara baada ya Swala ya ijumaa tutakua na maandamano ya Amani kuanzia Kinondoni Muslim -Manyanya-Morocco hadi pale ubalozi wao ili kupeleka kilio chetu dhidi ya ndugu zetu huko Iran. Wabillah Taufiq
Trump anaomba mazungumzo wala sio Iran, sababu ya Trump kuomba mazungumzo silaha zao zimesambaratishwa na Iran. Pia kuna habari wanaficha kuongelea walio kufa na walio umia kuna nchi moja uarabuni wanajeshi wa USA wamejazana hospital na ukichukulia logical vipi Iran apige base zote wadai...
Falme za Kiarabu (UAE) na Kuwait zimesema kuwa watu wanne wameuawa na wengine 90 kujeruhiwa katika mashambulizi ya makombora na ndege zisizo na rubani (drones) kutoka Iran, kufuatia shambulio la Marekani na Israeli dhidi ya Iran.
Wizara ya Ulinzi ya UAE imesema katika taarifa yake kuwa mifumo...
Iran anapata tabu sasa kutokana na nchi za kiarabu kuiruhusu marekani na nchi za ulaya kuweka majeshi Yao katika ardhi ya nchi zao
Nimetafakari kama urusi angeruhusu Ukraine kuwakaribisha Hawa jamaa hivi sasa tungekuwa tunaongea mengine.
Heko Russia kwa kulitambua hilo na kutoa ONYO Kali kwa...
Mods, tafadhali naomba isomeke MASHAMBULIZI, na siyo MASHULIZI.
Siku zote nchi inapokuwa katika shida ya amani, chanzo huwa ni watawala waovu wenye kiburi. Israel na Marekani, wanajua kuwa:
1. Wahanga wakubwa wa kwanza wa utawala katili wa Ayatollah, ni wananchi wa kawaida wa Iran.
2. Wananchi...
Ukitizama uchambuzi wa mitandaoni sasa ni habari za Iran na Marekani na Israel.
Hakuna uchambuzi au kelele au shamlashamla kuelekea mechi ya derby itakayopigwa jioni.
Hakuna habari yoyote ya Bongo inayotrend kwa sasa
Israel imedai kuwa “idadi kubwa” ya viongozi wakuu wa kijeshi wa Iran waliuawa katika wimbi la kwanza la mashambulizi ya pamoja ya Marekani na Israel dhidi ya nchi hiyo.
Jeshi la Israel (IDF) limesema limewaua makamanda 40 wa ngazi ya juu, likieleza kuwa ni “shambulio la kihistoria”...
Mindege inapaa popote Iran na kugeuza geuza tu, marubani wanapiga popote wanapotaka, mwendo wa kubonyeza tu, nashangaa Iran hawakujifunza na vita vya awali.
Israel striking Tehran directly with ‘stand-in’ munitions after gaining air superiority, Katz says
Defense Minister Israel Katz says the...
Iran amepanic balaa.. hadi sasa hajaweza kudondosha hata ndege moja ya israel kati ya ndege nyingi zinazofanya mashambulizi kwenye anga lake.
Hadi sasa hajaweza kuzamisha hata meli moja ya marekani kama alivokua akijitapa mwanzo kwamba kadiri meli hizo zinavomsogelea basi kombora lake moja tuu...
Baraza la Mapinduzi la Iran limemtangaza Mojtaba Khamenei (Mtoto wa Ali Khamenei- RIP) kuwa kiongozi mkuu wa Iran.
Ali Khamenei alimlea akimlea na kumwandaa kwa miongo kadhaa mwanawe mwenye roho mbaya, Mojtaba, ili awe kiongozi mkuu ajaye.
Yeye ni mbaya zaidi kuliko baba yake.
Kwa miaka mingi, Marekani na Israel zimekuwa na hofu kuwa Iran inatengeneza bomu la nyuklia. Israel anaamini bomu hilo likikamilika, Iran italitumia kuifuta nchi yao kwenye ramani, hivyo wamekuwa wakitafuta namna ya kuzuia mpango huo kwa nguvu.
madarakani Januari 20, 2025, aliweka msimamo mkali...
KUHUSU IRAN mlikuwa mnanicheka subirini mwone jinsi kile nimechambua kinatimia kwa 100% mimi siandiki tu natumia Vision wewe unatumia udini wengine hatukwenda shule kutetea kidini au kimfimo _ Ni fact
Haya Mzee wa mambo yote,
Kaisha angushwa chini akiwa Ofisini kwake nilipost Kazi Tayari hapo...
Rafiki yetu kindaki ndaki Iran amepoteza Kiongozi wao Ayatollah Khamenei. Hivyo wizara imuandalie safari Mstaafu
maarufu ya kwenda kutuwakilisha kwenye mazishi huko Tehran
Iraq imetangaza siku tatu za maombolezo ya kitaifa kufuatia kuuawa kwa Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, kwa mujibu wa Shirika la Habari la Iraq (INA).
“Kwa huzuni na masikitiko makubwa, tunatoa pole zetu kwa watu wa Iran na kwa umma mzima wa Kiislamu kufuatia kuuawa kwa mwanazuoni...
Mvutano kati ya Marekani na Iran una mizizi ya kina katika historia, itikadi na mapambano ya madaraka, na kupanda kwa nguvu kwa Maimamu Wakuu (Ayatollah) kulibadilisha kabisa uhusiano huo. Ili kuelewa kama Ayatollah alikuwa “tatizo” kwa Marekani na Iran, ni lazima tuanze kabla ya Mapinduzi ya...
Iran wamerusha makombora kwa nguvu zao zote na kuelekeza kwenye makazi ya raia wa Israel, ila mpaka sasa wamefaulu kuua mama mmoja tu, hata hivyo upande wa Iran hakuna kiongozi aliyesazwa hadi hata yule mzee na lile livazi lake.
Inasemakana hata rais wao hayupo, maana kuna maandalizi ya...
Moja ya vitu vinavyoniuzi ni kuona wavaa Kobazi wakiwa wanashangilia pale vita vinapoanza.
Mfano Palestina alipoanza kufanya mashambulizi pale Israel. Wavaa kobazi walianza vifijo na ndelemo, wakisema Israel lazima apotee. Mambo yakageuka Israel ikaanza kugawa dozi haswa. Wavaa kobazi wakaanza...
Hata kama ni Sovereignty state.
Ayatollah Khamenei na serikali yake ya Islamic Republic of Iran walionywa kwa muda mrefu kama tunavyoonya sisi, he ordered 'shoot to kill' thousands of Iranian people, leo wamekula kichwa ndani ya masaa 2 tu baada ya vita kuanza.
Serikali ya Tanzania imeonywa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.