Iran imemnyonga Mwanaume aliyechoma msikiti

Iran imemnyonga Mwanaume aliyechoma msikiti

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
2,097
Reaction score
3,445
Iran imemnyonga mwanamume aliyekuwa akituhumiwa kuwa kiongozi wa mtandao unaohusishwa na idara ya ujasusi ya Israel na pia kushiriki katika kuchoma moto msikiti jijini Tehran wakati wa maandamano ya mwezi Januari, kwa mujibu wa chombo cha habari cha mahakama kiitwacho Mizan News Agency.

Mizan ilimtaja mtu huyo kuwa ni Amirali Mirjafari, ikisema alihukumiwa kwa kosa la kuchoma moto msikiti wa Qolhak Mosque pamoja na kuongoza shughuli zinazodaiwa kuwa za kupinga usalama wa nchi.

1776758625605.png

==========

Iran executed a man on Tuesday who was accused of being ‌a leader of a network linked to Israel’s intelligence service and of setting fire to a mosque ⁠in Tehran during January protests, the judiciary's news outlet Mizan reported.

Mizan identified the man as Amirali Mirjafari, saying he had been convicted of carrying out arson at the Qolhak ‌mosque ⁠in Tehran and leading anti-security activities.

Source: Reuters
 
Mizan ilimtaja mtu huyo kuwa ni Amirali Mirjafari, ikisema alihukumiwa kwa kosa la kuchoma moto msikiti wa Qolhak Mosque pamoja na kuongoza shughuli zinazodaiwa kuwa za kupinga usalama wa nchi.
Umenikumbusha Movie niilicheck juzi hapa inaitwa TRUTH TREASON (2025)
 
Hamna kitu hapo. Utakuta ni kesi ya kubambikiwa tu kisa aliandamana.
 
Iran imemnyonga mwanamume aliyekuwa akituhumiwa kuwa kiongozi wa mtandao unaohusishwa na idara ya ujasusi ya Israel na pia kushiriki katika kuchoma moto msikiti jijini Tehran wakati wa maandamano ya mwezi Januari, kwa mujibu wa chombo cha habari cha mahakama kiitwacho Mizan News Agency.

Mizan ilimtaja mtu huyo kuwa ni Amirali Mirjafari, ikisema alihukumiwa kwa kosa la kuchoma moto msikiti wa Qolhak Mosque pamoja na kuongoza shughuli zinazodaiwa kuwa za kupinga usalama wa nchi.


==========

Iran executed a man on Tuesday who was accused of being ‌a leader of a network linked to Israel’s intelligence service and of setting fire to a mosque ⁠in Tehran during January protests, the judiciary's news outlet Mizan reported.

Mizan identified the man as Amirali Mirjafari, saying he had been convicted of carrying out arson at the Qolhak ‌mosque ⁠in Tehran and leading anti-security activities.

Source: Reuters
Good Job
 
Hata wewe utanyongwa kwa tabia yako ya Rainbow
Kila siku tunajaribu kuwaambia muache matusi lakini hamsikii katu kwa sababu ya kukosa maadili.

Na Hii Utauitaje Sasa.
***********************************************
MTUME MUHAMMAD ALINYONYA ULIMI WA AL HASSAN, Hadith Idadi 16,245: "maneno ya Washami," Hadith ya Mu'awiya Ibn Abu Sufyan": "Nilimwona Nabii wa Allah(saw) - akimnyonya ulimi na kulamba mdomo wa Al-Hassan Mwana wa Ali, Mwenyezi Mungu amrehemu, maana hakuna mtu atakaye teswa kwa Moto wa Jehannam baada ya kunyonywa ulimi na kulambwa midomo na Nabii wa Allah.
‎Mnaona tabia chafu ya Nabii wa Allah? Eti akikula denda na kukulamba midomo basi wewe huto kwenda Jehannam. Pia alisema, "Siku baadaye tuliomba muuguzi kwa ajili yake (Ali) lakini alikataa, basi tukamwita Nabii Muhammad - SAW -.ambaye alimnyonya ulimi "Ali" kwa kinywa chahe mpaka akalala. Hivi ndivyo Allah alivyo taka Ali afanyiwe na Nabii wake.

************************************************
 
Kila siku tunajaribu kuwaambia muache matusi lakini hamsikii katu kwa sababu ya kukosa maadili.

Na Hii Utauitaje Sasa.
***********************************************
MTUME MUHAMMAD ALINYONYA ULIMI WA AL HASSAN, Hadith Idadi 16,245: "maneno ya Washami," Hadith ya Mu'awiya Ibn Abu Sufyan": "Nilimwona Nabii wa Allah(saw) - akimnyonya ulimi na kulamba mdomo wa Al-Hassan Mwana wa Ali, Mwenyezi Mungu amrehemu, maana hakuna mtu atakaye teswa kwa Moto wa Jehannam baada ya kunyonywa ulimi na kulambwa midomo na Nabii wa Allah.
‎Mnaona tabia chafu ya Nabii wa Allah? Eti akikula denda na kukulamba midomo basi wewe huto kwenda Jehannam. Pia alisema, "Siku baadaye tuliomba muuguzi kwa ajili yake (Ali) lakini alikataa, basi tukamwita Nabii Muhammad - SAW -.ambaye alimnyonya ulimi "Ali" kwa kinywa chahe mpaka akalala. Hivi ndivyo Allah alivyo taka Ali afanyiwe na Nabii wake.

************************************************
Choko wewe umeaanza na vingano vya kubumba unaokotaokota mitandaoni
Umeshaambiwa na dini yako achia tigo uzibuliwe, kama hawa wachungaji wako
Mimi nikisema wakristo wanaongoza kwa ushoga na kufirana mpaka wachungaji machoko wanaoana Kanisani sikurupuki
Nitajaza mada nzima ya ndoa za machoko wa kigalatia mpaka wachungaji wenu
 
Choko wewe umeaanza na vingano vya kubumba unaokotaokota mitandaoni
Umeshaambiwa na dini yako achia tigo uzibuliwe, kama hawa wachungaji wako
Mimi nikisema wakristo wanaongoza kwa ushoga na kufirana mpaka wachungaji machoko wanaoana Kanisani sikurupuki
Nitajaza mada nzima ya ndoa za machoko wa kigalatia mpaka wachungaji wenu

 
Kila siku tunajaribu kuwaambia muache matusi lakini hamsikii katu kwa sababu ya kukosa maadili.

Na Hii Utauitaje Sasa.
***********************************************
MTUME MUHAMMAD ALINYONYA ULIMI WA AL HASSAN, Hadith Idadi 16,245: "maneno ya Washami," Hadith ya Mu'awiya Ibn Abu Sufyan": "Nilimwona Nabii wa Allah(saw) - akimnyonya ulimi na kulamba mdomo wa Al-Hassan Mwana wa Ali, Mwenyezi Mungu amrehemu, maana hakuna mtu atakaye teswa kwa Moto wa Jehannam baada ya kunyonywa ulimi na kulambwa midomo na Nabii wa Allah.
‎Mnaona tabia chafu ya Nabii wa Allah? Eti akikula denda na kukulamba midomo basi wewe huto kwenda Jehannam. Pia alisema, "Siku baadaye tuliomba muuguzi kwa ajili yake (Ali) lakini alikataa, basi tukamwita Nabii Muhammad - SAW -.ambaye alimnyonya ulimi "Ali" kwa kinywa chahe mpaka akalala. Hivi ndivyo Allah alivyo taka Ali afanyiwe na Nabii wake.

************************************************

Imeloa wewe Ushahidi una zaidi ya kuokoteza maneno mliotunga wenyewe❗️ ❗️ sasa tazama Viongozi wako wa kiroho wanachofanya mbele ya Macho yko sio gizani hapana mchana kweupeee !!!

sijui aibu hii Imeloa unajifichia wp ndani ya KANISA👇👇
 

Attachments

  • 1741259814733.png
    1741259814733.png
    434.4 KB · Views: 16
  • 5988201-cca3b9895fddd223e1f5e012ee308c90.mp4
    1.9 MB
Kilichopo ni kwamba duniani ndiko aliko shetani hivyo dunia kamwe haiwezi kuwa paradiso na ndio maana hata watu wanaoonekana kwamba ni watumishi wa Mungu ndio wanaongoza kufanya mambo yasiyopendeza mwenyezi Mungu.

Hilo halina cha dini na linatokea kwa watu wa imani zote na ninachokataa ni kwa watu wa imani yoyote kufikiria kwamba wenyewe wako immune huo ni uwongo kabisa.
 
Back
Top Bottom