Hiyo dini ilikua imewatesa sana, Israel imewakomboa.
End of an era as Iran confirms Khamenei is dead; Trump: Justice for Iranians and beyond
Iranians brave the streets to celebrate; US president urges regime’s security personnel to surrender as PM Netanyahu calls on Iran’s public to rise up and...
Leo, March 1 2026
Video inaonyesha uharibifu ndani ya jengo la abiria katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Dubai baada ya shambulio la droni kutoka Iran kuwajeruhi watu wanne. Ofisi ya mawasiliano ya Dubai Airports imesema timu za dharura zilikuwa activated mara moja kwa kushirikiana na...
Kiongozi Mkuu wa Iran ameuwawa katika mashambulizi ya Israel na Marekani, vyombo vya habari vya serikali ya Iran vimesema.
Serikali ya Iran imetangaza siku 40 za msiba wa taifa baada ya kifo cha Kiongozi Mkuu Khamenei kilichotokea siku ya Jana katika mashambulizi ya Marekani na Israel.
Source...
Vyombo vya habari vya serikali ya Iran vimeripoti kwamba binti yake Khamenei, mkwe wake wa kiume, mjukuu wake na mkwe wake wa kike wameuawa. Kwa mujibu wa taarifa za awali, vifo hivyo vinadaiwa kutokea kufuatia mashambulizi ya hivi karibuni yaliyoripotiwa kulenga makazi yake. Hata hivyo, maelezo...
Ni chini ya masaa 12 tangu mashambulizi yaanze mida ya saa tatu na nusu kwa saa za Afrika mashariki, Ayatollah na viongozi wakubwa wa Jeshi wameuawa.
Habari hizo zilianza kama tetesi mida ya jioni na kuwa confirmed usiku.
Reaction ya wananchi ipo tofauti kabisa, wameamua kusherekea mitaani.
Wakati Serikali ya Iran ilipozima intaneti na kuanza kuwamiminia risasi wananchi wa Iran waliokuwa wakidai haki zao, tukio hili halkupewa uzito, waliofyatliwa risasi walilaaniwa na hata kusingiziwa ni raia wa kigeni kutoka Israel na Marekani, wakachukuliwa kama wahaini wa taifa, wakati wale...
Mashambulizi yalofanywa na Marekani ikisaidiwa na Israel, yamepiga katika miji 20 kati ya miji 31 ya Iran na hadi sasa hakuna idadi kamili ya watu walokufa. Pia mitandao ya internet yote imezimwa.
Mjini Tehran maeneo yote nyeti ikiwemo wizara ya ujasusi yote yameshambuliwa na ndege za kivita za...
1. Hatari ya silaha za nyuklia
Marekani inaona mpango wa nyuklia wa Iran kama tishio kubwa—inamshutumu Iran kutaka kujenga silaha za nyuklia (na wakati huo Iran inasema ni kwa matumizi ya amani tu). Marekani inadai inataka kuzuia Iran isipate uwezo wa nyuklia kamili kwa maana ya tishio la...
Palestinian Authority imelaani mashambulizi ya Iran dhidi ya nchi za Kiarabu, ikisema hatua hiyo ni ukiukaji wa mamlaka ya nchi husika, inahatarisha usalama wa raia, na inaweza kuongeza zaidi mzozo na kuyumbisha utulivu wa Mashariki ya Kati.
Mamlaka hiyo imetoa wito wa kujizuia na kusisitiza...
Kumekucha naona Iran wametishia kulipua makazi ya Allah endapo Saudi Arabia itafanya shambulizi lolote dhidi yake.
Sijui Allah atapona na kama akipona sijui atahamia wapi, au iran watajenga Al Kaaba nyingine kwao?
Katika shambulio la kushtukiza lililotokea leo, Jeshi la Anga la Israel (Israel Defence Forces) limefanikiwa kuwalenga viongozi wakuu wa Jeshi la Iran, kwa msaada wa ushirikiano na Jeshi la Marekani.
Mohammad Pakpour – Kamanda Mkuu wa Jeshi kubwa zaidi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC)...
Imagine you are sitting at a table in Geneva. It’s late February, 2026. For months, the world has been holding its breath. You are there to negotiate the limits of Iran’s nuclear and missile programs.
But the talks stall. Progress flatlines.
Therefore, a quiet, devastating decision is made...
Hotuba kamili ya Rais wa Marekani Donald Trump akitangaza vita dhidi ya Iran
Muda mfupi uliopita, jeshi la Marekani lilianza operesheni kubwa za mapigano nchini Iran. Lengo letu ni kuwalinda watu wa Marekani kwa kuondoa vitisho vinavyotarajiwa kutoka kwa utawala wa Iran, kundi katili la watu...
Daah hii balaa sasa, BBC imeripoti kwamba The Palm ya Dubai imeshambuliwa na Iran media zimeconfirm hilo.
Je iran anachokitafuta atakipata?
https://www.bbc.co.uk/news/live/cn5ge95q6y7t?post=asset%3Aa853ff12-7157-47ec-9e43-37c88fd7eb07#post
Shida hapo ni kwa nini Iran hawezi kuthubutu kuishambulia Marekani direct, apige kombola pale New York....
Kama Iran anajiweza apeleke mashambulizi moja kwa moja pale California 😂😂😂😂 aache kupiga kambi za jeshi za Trump kwenye nchi za watu.
Iran unaweza kuta akapiga kombola pale Kenya kwenye...
Oya, ina maana USA wameshindwa kurudia kile walichokifanya Venezuela kwa Iran?
Yaani wameshindwa kwenda na makomando wao wa Delta force kumnyakua Ayatollah kama walivyomnyakua Maduro?
Daaaaah!!!
Kamisheni ya Umoja wa Afrika imeonyesha wasiwasi mkubwa kuhusu mashambulizi ya kijeshi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran, ikisema hatua hiyo inaongeza ukali wa mzozo Mashariki ya Kati.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.