iran

  1. Traxtion

    Video: Wananchi wa Iran wakisherehekea kifo cha Khamenei

    Hapa ni Tehran, Iran . . Hapa ni London Kaskazini
  2. MK254

    Wananchi wa Iran waanza kuingia barabarani kusheherekea ukombozi baada ya kifo cha Ayatollah

    Hiyo dini ilikua imewatesa sana, Israel imewakomboa. End of an era as Iran confirms Khamenei is dead; Trump: Justice for Iranians and beyond Iranians brave the streets to celebrate; US president urges regime’s security personnel to surrender as PM Netanyahu calls on Iran’s public to rise up and...
  3. Traxtion

    Drones za Iran zavamia Dubai International Airport

    Leo, March 1 2026 Video inaonyesha uharibifu ndani ya jengo la abiria katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Dubai baada ya shambulio la droni kutoka Iran kuwajeruhi watu wanne. Ofisi ya mawasiliano ya Dubai Airports imesema timu za dharura zilikuwa activated mara moja kwa kushirikiana na...
  4. O

    Iran Imethibitisha Kuwa Kiongozi Mkuu, Ayatollah Ali Khomeini ameuawa

    Kiongozi Mkuu wa Iran ameuwawa katika mashambulizi ya Israel na Marekani, vyombo vya habari vya serikali ya Iran vimesema. Serikali ya Iran imetangaza siku 40 za msiba wa taifa baada ya kifo cha Kiongozi Mkuu Khamenei kilichotokea siku ya Jana katika mashambulizi ya Marekani na Israel. Source...
  5. O

    Vyombo vya habari vya serikali ya Iran vinaripoti kwamba binti wa Khamenei ameuawawa.

    Vyombo vya habari vya serikali ya Iran vimeripoti kwamba binti yake Khamenei, mkwe wake wa kiume, mjukuu wake na mkwe wake wa kike wameuawa. Kwa mujibu wa taarifa za awali, vifo hivyo vinadaiwa kutokea kufuatia mashambulizi ya hivi karibuni yaliyoripotiwa kulenga makazi yake. Hata hivyo, maelezo...
  6. M

    Shangwe, nderemo na vifijo vyatawala Iran baada Ayatollah na viongozi wakubwa jeshini kuuawa chini ya saa 12 tangu mashambulizi yaanze

    Ni chini ya masaa 12 tangu mashambulizi yaanze mida ya saa tatu na nusu kwa saa za Afrika mashariki, Ayatollah na viongozi wakubwa wa Jeshi wameuawa. Habari hizo zilianza kama tetesi mida ya jioni na kuwa confirmed usiku. Reaction ya wananchi ipo tofauti kabisa, wameamua kusherekea mitaani.
  7. Troll JF

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Khamenei mzima yuko kwenye medani anaongoza Vita.

    Anasema Viongozi wote wa Nchi mpaka mda huu wako salama na Ayatollah Alli Khamenei anaongoza vikosi katika uwanja wa vita.
  8. M

    Kisa tu kutokuipenda Marekani au Israel au sababu za kidini, ni sawa kuisapoti serikali ya Iran iliyozima internet na kuua wananchi zaidi ya elf 30?

    Wakati Serikali ya Iran ilipozima intaneti na kuanza kuwamiminia risasi wananchi wa Iran waliokuwa wakidai haki zao, tukio hili halkupewa uzito, waliofyatliwa risasi walilaaniwa na hata kusingiziwa ni raia wa kigeni kutoka Israel na Marekani, wakachukuliwa kama wahaini wa taifa, wakati wale...
  9. Richard

    Tatizo ni kwamba Iran sio Libya wala Iraq na si Venezuela. Na Itasumbua sana kuuangusha utawala wa Iran kwa sasa

    Mashambulizi yalofanywa na Marekani ikisaidiwa na Israel, yamepiga katika miji 20 kati ya miji 31 ya Iran na hadi sasa hakuna idadi kamili ya watu walokufa. Pia mitandao ya internet yote imezimwa. Mjini Tehran maeneo yote nyeti ikiwemo wizara ya ujasusi yote yameshambuliwa na ndege za kivita za...
  10. Mhaya

    Sababu za Marekani kutaka Vita na IRAN

    1. Hatari ya silaha za nyuklia Marekani inaona mpango wa nyuklia wa Iran kama tishio kubwa—inamshutumu Iran kutaka kujenga silaha za nyuklia (na wakati huo Iran inasema ni kwa matumizi ya amani tu). Marekani inadai inataka kuzuia Iran isipate uwezo wa nyuklia kamili kwa maana ya tishio la...
  11. O

    Mamlaka ya Palestina imelaani mashambulizi ya Iran dhidi ya nchi za Kiarabu

    Palestinian Authority imelaani mashambulizi ya Iran dhidi ya nchi za Kiarabu, ikisema hatua hiyo ni ukiukaji wa mamlaka ya nchi husika, inahatarisha usalama wa raia, na inaweza kuongeza zaidi mzozo na kuyumbisha utulivu wa Mashariki ya Kati. Mamlaka hiyo imetoa wito wa kujizuia na kusisitiza...
  12. Boss la DP World

    Iran yatishia kuilipua Al Kaaba Endapo Saudi Arabia Itaendelea na Msimamo wake

    Kumekucha naona Iran wametishia kulipua makazi ya Allah endapo Saudi Arabia itafanya shambulizi lolote dhidi yake. Sijui Allah atapona na kama akipona sijui atahamia wapi, au iran watajenga Al Kaaba nyingine kwao?
  13. Lycaon pictus

    FIFA wataifungia USA kwa kuivamia Iran kama walivyoifungia Russia kwa kuivamia Ukraine?

    Tutarajie lolote kutoka FIFA? Kwanza kwa nini waliiban Russia na wanadai hawajihusishi na siasa?
  14. M

    Iran - Mkuu wa Usalama wa Taifa, Waziri wa Ulinzi, na Mkuu wa Jeshi wafariki baada ya shambulio la jeshi la anga la Israel

    Katika shambulio la kushtukiza lililotokea leo, Jeshi la Anga la Israel (Israel Defence Forces) limefanikiwa kuwalenga viongozi wakuu wa Jeshi la Iran, kwa msaada wa ushirikiano na Jeshi la Marekani. Mohammad Pakpour – Kamanda Mkuu wa Jeshi kubwa zaidi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC)...
  15. Mwl.RCT

    How a failed meeting in Geneva started a war with Iran

    Imagine you are sitting at a table in Geneva. It’s late February, 2026. For months, the world has been holding its breath. You are there to negotiate the limits of Iran’s nuclear and missile programs. But the talks stall. Progress flatlines. Therefore, a quiet, devastating decision is made...
  16. B

    Donald Trump: Vyombo Vyote Iran Iwe Polisi, Jeshi, mgambo wekeni silaha zenu chini la sivyo utakabiliwa na kifo cha uhakika

    Hotuba kamili ya Rais wa Marekani Donald Trump akitangaza vita dhidi ya Iran Muda mfupi uliopita, jeshi la Marekani lilianza operesheni kubwa za mapigano nchini Iran. Lengo letu ni kuwalinda watu wa Marekani kwa kuondoa vitisho vinavyotarajiwa kutoka kwa utawala wa Iran, kundi katili la watu...
  17. kali linux

    Iran kwa nini wanashambulia hadi Dubai? Je watapata wanachokitafuta?

    Daah hii balaa sasa, BBC imeripoti kwamba The Palm ya Dubai imeshambuliwa na Iran media zimeconfirm hilo. Je iran anachokitafuta atakipata? https://www.bbc.co.uk/news/live/cn5ge95q6y7t?post=asset%3Aa853ff12-7157-47ec-9e43-37c88fd7eb07#post
  18. Mhaya

    Kwanini Iran isipige kombola pale California

    Shida hapo ni kwa nini Iran hawezi kuthubutu kuishambulia Marekani direct, apige kombola pale New York.... Kama Iran anajiweza apeleke mashambulizi moja kwa moja pale California 😂😂😂😂 aache kupiga kambi za jeshi za Trump kwenye nchi za watu. Iran unaweza kuta akapiga kombola pale Kenya kwenye...
  19. Keyboard_Warrior

    USA: Venezuela vs Iran

    Oya, ina maana USA wameshindwa kurudia kile walichokifanya Venezuela kwa Iran? Yaani wameshindwa kwenda na makomando wao wa Delta force kumnyakua Ayatollah kama walivyomnyakua Maduro? Daaaaah!!!
  20. O

    Umoja wa Afrika (AU) umeonyesha wasiwasi mkubwa kuhusu mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran.

    Kamisheni ya Umoja wa Afrika imeonyesha wasiwasi mkubwa kuhusu mashambulizi ya kijeshi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran, ikisema hatua hiyo inaongeza ukali wa mzozo Mashariki ya Kati.
Back
Top Bottom