Iran imetufunza jambo kama taifa

Iran imetufunza jambo kama taifa

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
9,201
Reaction score
14,061
Kwamba umoja, mshikamano na kujipanga kiteknojia na kijeshi ni jambo muhimu sana.

Wananchi kukataa Propaganda za wanaharakati na nchi za magharibi ndio msingi wa uzalendo.

Tujifunze kwamba sote ni binaadam, hakuna mwenye nguvu wala mdogo, umoja na mshikamano hakuna lisilowezekana
 
Uzalendo Mkuu, Viongozi kua tayari kufa kwa ajili ya Taifa linaleta mshikamano.

Kama anko Magu, Alisema bora kufa kuliko kupigia magoti watu fulani fulani, same na Mr. Tall hapo jirani.
 
Kwamba umoja, mshikamano na kujipanga kiteknojia na kijeshi ni jambo muhimu sana.

Wananchi kukataa Propaganda za wanaharakati na nchi za magharibi ndio msingi wa uzalendo.

Tujifunze kwamba sote ni binaadam, hakuna mwenye nguvu wala mdogo, umoja na mshikamano hakuna lisilowezekana
Kwa Tanzania kwa tabia ya viongozi wetu naamini watanzania walipofika kufanya kama wa Venezuela dakika 2 nyingi na ugonjwa huu ni maradi yaliyoletwa na ccm.Iwapo kile chama kinachonyanyaswa na ccm kile cha kizalendokingekuwa uongozini hapa kwetu uzalendo nchini mwetu tungewazidi hata wairani!
 
Back
Top Bottom