Rais wa Iran atoa statement nzito kwa dunia

Rais wa Iran atoa statement nzito kwa dunia

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
9,203
Reaction score
14,061
Wanatuita magaidi, lakini wao ndio magaidi halisi. Wanachinja mtu yeyote, popote, wakati wowote wanapotaka, na kisha wanazungumzia haki za binadamu. Aibu kwao."

Rais wa Iran
 
angalau yeye (raisi wa irani) havai hijab kama ayatolas, uelekeo mzuri ...
 
Back
Top Bottom