ipi

The Kumeyaay, also known as Tipai-Ipai or by their historical Spanish name Diegueño, are a tribe of Indigenous peoples of the Americas who live at the northern border of Baja California in Mexico and the southern border of California in the United States. Their Kumeyaay language belongs to the Yuman–Cochimí language family.
The Kumeyaay consist of three related groups, the Ipai, Tipai and Kamia. The San Diego River loosely divided the Ipai and the Tipai historical homelands, while the Kamia lived in the eastern desert areas. The Ipai lived to the north, from Escondido to Lake Henshaw, while the Tipai lived to the south, in lands including the Laguna Mountains, Ensenada, and Tecate. The Kamia lived to the east in an area that included Mexicali and bordered the Salton Sea.

View More On Wikipedia.org
  1. Heaven Seeker

    Kwa kipaji hiki alichonacho, unashauri ajiendeleze kwa namna ipi?

    Heshima kwenu Wakuu. Mtoto wa binamu yangu hakufanikiwa kupata ufaulu mzuri wa kuendelea na masomo ya kidato cha tano mwaka huu. Lakini kutokana na kipaji cha uchoraji alichonacho tukaona ni vema ajiendeleze kwa kuongezea taaluma juu ya kipaji chake. Kulitolewa wazo la kumpeleja VETA na...
  2. Mawematatu

    Awamu ya Tano kuondoka ada Ili mzazi ale keki ipi ya nchi hii

    Sikuona sababu yoyote kumuachia malaika wa watu na vijana waende shule hadi kidato cha nne Bure. Nchi yetu tangu uhuru tunaijenga. Wazee wetu walijenga nchi kwa nguvu nyingi wakiendelea kutangukia mbele ya haki. Sisi tusome Bure Bure bila hata senti kwa keki ipi tuliyohangaika nanyo...
  3. Greatest Of All Time

    Fainali mbovu ya UCL kwa upande wako ni ipi?

    Kwa mujibu wa Football Funnys wanasema Fainali ya Uefa Champions League (UCL) kati ya Spurs Vs Liverpool ndio fainali mbovu kuwahi kutokea katika historia ya ligi ya mabingwa. Spurs alilala 2-0 dhidi ya Liverpool kirahisi mno tofauti na matarajii ya wengi waliodhani itakuwa mechi ngumu! Kwa...
  4. B

    Tatizo la ukungu kwenye jicho la kuku, tiba yake ni ipi?

    Ndugu zangu, Kuku wangu wamekumbwa na tatizo la ukungu kwenye macho yao. Jicho alivimbi ,muda mwingi analifumba. Rangi ya kile kiini cheusi cha jicho kinakuwa kama kina ukungu. Je, nitumie dawa gani?
  5. tang'ana

    Ipi ni hadhi ya cheo cha Makamu wa Rais?

    Wakuu, Kuna picha nimeziona mitandaoni huko mpaka zimenishangaza, yani makamu wa Rais anafunga safari kutoka Dodoma kwenda kufanya ziara ya kukagua miche ya miti huko Kigoma! Hilo jukumu si hata mkuu wa wilaya angeweza tu kulifanya. Cheo cha makamu wa Rais kwa Tanzania kina hadhi gani?
  6. S

    NI CHANJO IPI INA UFANISI WIMBI LA NNE(OMICRON) ? ?

    Tunaomba wataalam watusaidie kujua hili mapema kadri ya wimbi hili la nne linavyo kuja kwa kasi Au kwa yeyote mwenye uwelewa huo
  7. Robert Heriel Mtibeli

    Wanamuziki acheni kulalamika hampewi sapoti. Mnataka sapoti ipi?

    WANAMUZIKI ACHENI KULIALIA HAMPATI SAPOTI; MNATAKA SAPOTI IPI? Kwa Mkono wa Robert Heriel. Imekuwa ni kawaida sasa watu hasa wa Tasnia ya muziki kulialia Mbuzi mee kila iitwapo leo. Ooh! Hatusapotiwi! Tunazimwa! Tunafanyiwa figisu figisu! Kuna Wasanii wanatukandamiza! Yaani KELELE kelele Kama...
  8. comte

    Ni kwa namna ipi polisi wanaweza kupata maelezo ya mtuhumiwa bila kumtisha au kumtesa?

    Msingi wa kesi za jinai ni maelezo yanayochukuliwa na polisi kutoka kwa watuhumiwa. Katika uchukuaji wa maelezo kutoka kwa watuhumiwa polisi wanatakiwa wasionekane wametumia vitisho wala nguvu. Ikithibitika kuwa polisi wametumia vitisho au nguvu kupata maelezo kutoka kwa mtuhumiwa, maelezo...
  9. GENTAMYCINE

    Ipi ni 'Logical' kuwaita kwa pamoja Mawaziri Wakuu Wastaafu uwasikilize au uwatembelee tu Mmoja Mmoja 'Makwao' kwa Kuwashtukiza?

    Halafu ilikuwaje Lowassa alitembelewa Yeye kwa muda mrefu ila kwa waliofuata ( hasa wa Jana ) wametembelewa tu kwa muda mfupi mfupi na kama vile tulikuwa tunatimiza Wajibu tu? Endeleeni na Unafiki wenu yaani Wazee wenye Hekima na wanaijua vyema nchi hii tokea Uhuru na msiowapenda mnawatembelea...
  10. Mwande na Mndewa

    Kati ya kuchoma vifaranga toka Kenya na kuchoma vibanda vya machinga ipi dhambi kubwa?

    Kati ya kuchoma vifaranga toka kenya na kuchoma vibanda vya machinga hapa ipi ni dhambi kubwa?
  11. M

    Hasa mliowahi kutembelea Israel tujuzeni: Je wakristo walioko Israel huabudu siku ipi? Jumapili au Jumamosi?

    Ningependa kufahamu mambo yafuatayo: Najua Israel kuna dini ya kiyahudi wanaoabudu Jumamosi. Lakini pia kuna wakristo wa kiyahudi walioamua kumwamini Yesu. Je hawa wakristo wa kiyahudi huabudu siku ipi kati ya jumapili na jumamosi?
  12. B

    Detention Register: Jaji Tiganga yuko Majaribuni - Kiza Kinene

    Kesi hii inayovutia hisia za wengi, zaidi ya weledi ilihitaji uhuru stahiki wa mhimili wa mahakama na uthubutu wa Jaji katika kutoa haki tupu na kwa mujibu wa sheria. Pungufu ya hivyo tunakoelekea mahakama haitaweza kukwepa lawama. Mezani tulipo kuna pingamizi ambalo kigezo chake kikuu ni kuwa...
  13. T

    Pius Msekwa: Mbunge akifukuzwa uanachama na chama chake hawezi kuwa mbunge kwa namna yoyote ile

    Kutokana na Spika Mstaafu kueleza kuwa Mbunge akifukuzwa uanachama na chama chake hawezi kuwa mbunge kwa namna yoyote ile. Kwa vile bungeni kuna wabunge 19 waliofukuzwa CHADEMA wanaoharibu pesa za wavuja jasho kwa kulindwa na mtu mmoja, napendekeza Spika ashitakiwe hata kwenye Mahakama ya...
  14. B

    Kesi ya Mbowe: Thamani ya ushahidi wa shahidi #4 ni ipi?

    Anita Valerian Mtaro shahidi #4 mkristo mwuuza pombe za kienyeji, alitimba mahakamani incognito ndani ya vazi la kiislam akiwa pia katupia barakoa lenye kumwachia macho ya kuweza kuona peke yake. Shahidi huyu wa upande wa mashtaka amesikika akisema alishuhudia zoezi zima la kukamatwa kwa...
  15. sky soldier

    Anuani (P.O. Box) za kutuma barua TRA & TAKUKURU hazipo, Je anuani ipi itumike

    Kuna barua lazima uiandike, kuisaini na kuiscan au kuipiga picha ilii utume maombi ya kazi, sasa naulizia ile sehemu ya kwenye barua ambayo unaandika adress ya shirika unaloomba ajira, je paandikwa adress ipi??
  16. Citizen B

    Kwa genius Tu: namba ipi inayofata?

    Wale Ambao mlikuwa hamkeshi Na Mbu darasani, miguu ikiwa kwenye beseni la maji kama Sisi ila mnaongoza ikija mitihani. Twende kazi 1,2,4,8,16,31,?
  17. Strictly Syrup

    Msaada: Njia bora zaidi ya kupokea fedha kutoka US ni ipi?

    Natumaini mnaendelea vema katika harakati za kuusaka mkate wa kila siku. Nimekuja hapa nahitaji msaada, kuna malipo natakiwa kupokea, lakini njia nilizokuwa natumia kupokea fedha kutoka kwa watu wengine wa hukohuko US leo zimenigomea kwa huyu mtu anayetaka kutuma malipo. Nimetumia sendwave...
  18. Dit000

    Aina ipi ya uzinzi ni tamu zaidi?

    1. UZINZI MATAWI YA JUU, mfano munatoka Tanzania mnapanda ndege munaenda China kufanyia uzinzi, au mnafanyia uzinzi kenywe hotel za 5 stars dau linakuwa kubwa kidogo kama 400,000/= kwa siku 2. UZINZI MATAWI YA KATI, mfano mnaenda kufanyia uzinzi kwenye lodge,gest za dau dogo kuanzia tsh 5000...
  19. sky soldier

    Kileleni kuna uchizi, una tabia ipi unapofika kileleni

    Sex ni moja kati ya starehe ambayo inafanya baadhi ya watu kuwa na hisia kali sana mpaka kufikia kushindwa kuweza kujihimili na kufanya vitu vya kushangaza, bila kujali cheo, umri, jinsia, n.k 1. Kuna kulia machozi pale mambo yanapokolea 2.Kuna kuanza kupiga kelele kwa lugha zao za makabila...
  20. FRANCIS DA DON

    Je, namba kubwa kuliko zote duniani ni ipi?

    Je, kunauwezekano tukaifahamu namba iliyokubwa kuliko zote kabisa? Na kama huo uwezekano haupo ni kwanini?
Back
Top Bottom