Kati ya Mechanical na Electrical Engineering ipi ina uwanja mpana kwa ajira kwa sasa?

Electrical Engineer yuko wide zaidi.
Ila maisha bahati, hatupaswi kukariri.
Kuna watu wana diploma tu, tena ya ualimu ila wanalipwa mipesa mingi na wanaitwa mabosi kazini
 
Electrical Engineer yuko wide zaidi.
Ila maisha bahati, hatupaswi kukariri.
Kuna watu wana diploma tu, tena ya ualimu ila wanalipwa mipesa mingi na wanaitwa mabosi kazini
kipindi naanza chuo niliuliza swali kama la mtoa mada na nilijibiwa vizuri tu lakini ukubwa dawa sasa nimejionea mwenyewe.
 
Soma Electrical au mechatronics ila sio mechanical coz ilikuwa ya kitambo siku hizi ajira zinaenda zinapungua.
 
Unaweza soma kimoja kwa diploma then kwenye degree ukachukua electromechanical. Unakua unepiga ndege 2 kwa jiwe moja.
 
Soma Electrical au mechatronics ila sio mechanical coz ilikuwa ya kitambo siku hizi ajira zinaenda zinapungua.

Soma Electrical au mechatronics ila sio mechanical coz ilikuwa ya kitambo siku hizi ajira zinaenda zinapungua.
We takwimu zako unatoa wapi, Mechanical ni mtu anaeweza kufanya kazi sekta zote, kuanzia benki mpaka hospital, afu unasemaje ajira zinapungua. After all kozi zote zinalipa ndio maana zinafundishwa.
 
Soma Electrical...ina uwanja mpana...Mm ni Electrical...nnapofanyia kazi niko kitengo ambacho kuna mashine kubwa zina Umeme na zina ishu ya mechanical...Pia sisi kwny kitengo chetu tupo wa Electrical na wa Mecha pia wapo...Likitokea tatzo kama ni la mecha basi uwa tunaenda wotee haijalish ww electrical au mecha....Likitokea tatzo la Electrical..watu wa mecha wanakataa kwena wanasema kazi za umeme hawaziezii...ukisoma electrical unaeza pata kazi ad sehem yenye mitambo
 
Back
Top Bottom